Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
- Thread starter
- #101
Kabla ya mzungu kuja jamii za kiafrika na tanzania ikiwemo tulikuwa tumejiorganize inform of clan ank kingshipMlikua mnafanya nini kabla ya mzungu kuja?
Mna rekodi yoyote??
Mlikua mnavaa nini ili mwanaume asiwake tamaa kwa mwanamke?
Katika kila clan alikuwepo clan chief ambae alikuwa ndio kiongozi wa rituals and cult. Mfano chief wa wazigua alikuwa akiitwa bwana heri, wa wahehe mkwawa n.k
Kwenye inshu ya maadili jamii ilikuwa binded na miiko ya jamii husika na kulikuwa na matambiko na makafara yakifanyika kwa mwenye kuvunja miiko hiyo