Watu wameendekeza tamaa kwa kisingizio cha usasa

Watu wameendekeza tamaa kwa kisingizio cha usasa

Sijakuelewa na hujanijibu
Ukitaka kutatua tatizo angalia chanzo cha tatizo shughulika nacho kwanza ili uweze kutatua hilo tatizo kiurahisi

Chanzo cha matatizo ya kiuchumi na kijamii ya nchi za Afrika ni ubeberu yaani umepewa uhuru bandia uone upo huru ila ukizingua tu unaalikwa vatican kwa papa

Kwaiyo mkuu viongozi sio kuwa wote hawajielewi au kuwa Afrika nzima hatujielewi ila mifumo ya kiutawala wanatupangia wao ko inahitajika second revolution ili tuweze kujikomboa

Na revolution yenyewe ni kuanza na kizazi chetu tuwaambie uzungu sio usasa(civilization) ila ni ushamba wa kuacha mila zetu ambazo tungezifuata toka mwanzo asaiv tungekuwa mbali sana
 
Ukitaka kutatua tatizo angalia chanzo cha tatizo shughulika nacho kwanza ili uweze kutatua hilo tatizo kiurahisi

Chanzo cha matatizo ya kiuchumi na kijamii ya nchi za Afrika ni ubeberu yaani umepewa uhuru bandia uone upo huru ila ukizingua tu unaalikwa vatican kwa papa

Kwaiyo mkuu viongozi sio kuwa wote hawajielewi au kuwa Afrika nzima hatujielewi ila mifumo ya kiutawala wanatupangia wao ko inahitajika second revolution ili tuweze kujikomboa

Na revolution yenyewe ni kuanza na kizazi chetu tuwaambie uzungu sio usasa(civilization) ila ni ushamba wa kuacha mila zetu ambazo tungezifuata toka mwanzo asaiv tungekuwa mbali sana
kwahiyo hapa kinachotukwamisha ni hizo mila zao??

Una hakika tukiacha mila zao tutapiga hatua kama taifa??

Ushoga, kuvaa vimini, kuvaa mlegezo, kusuka brazilian hair, Peruvian hair ndio kunafanya Africa iwe hivi??

Je western wamekuzuia kufuata mila na desturi zako?? Kivipi??
Mbona umepewa uhuru sana mkuu??

Mbona mnaoana kwa kutoleana mahari, mnatambika, mna lugha za makabila , mna machifu, mna wazee wa mila.
Kwanini muhisi western wanawalazimisha kufata mila zao??
 
Ukitaka kutatua tatizo angalia chanzo cha tatizo shughulika nacho kwanza ili uweze kutatua hilo tatizo kiurahisi

Chanzo cha matatizo ya kiuchumi na kijamii ya nchi za Afrika ni ubeberu yaani umepewa uhuru bandia uone upo huru ila ukizingua tu unaalikwa vatican kwa papa

Kwaiyo mkuu viongozi sio kuwa wote hawajielewi au kuwa Afrika nzima hatujielewi ila mifumo ya kiutawala wanatupangia wao ko inahitajika second revolution ili tuweze kujikomboa

Na revolution yenyewe ni kuanza na kizazi chetu tuwaambie uzungu sio usasa(civilization) ila ni ushamba wa kuacha mila zetu ambazo tungezifuata toka mwanzo asaiv tungekuwa mbali sana
Halafu tusiende mbali sana mkuu, mliruhusu vipi kutawaliwa na watu mliowazidi maarifa??

Yaani ni kama hii leo TZ ikaitawale US, then baadae huko US aje kulalamika kua sisi TZ tulimkwamisha kimaendeleo, US anaweza ruhusu sisi tumtawale kwa sasa??

Hizi nadharia ni za uongo kabisa, wenzetu empire zao zilikua kubwa, walianza kujitambua na kutambua mipaka ya nchi mda mrefu, walianza kuongea lugha moja kama taifa mda mrefu, sasa huku hata taifa halikuwepo kila koo na lugha yake, tamaduni zake, sheria zake nk.
How comes muwe strong wakati hamjaungana, hamjuani, hamchangamani??

Tusifarijiane kwa historia feki.
Ndo haya haya ya kusema Yesu alikua mweusi, sijui Adam alikua mweusi, ni kujitaftia vifaraja vya kipuuzi na ni dalili za uvivu.
 
kwahiyo hapa kinachotukwamisha ni hizo mila zao??

Una hakika tukiacha mila zao tutapiga hatua kama taifa??

Ushoga, kuvaa vimini, kuvaa mlegezo, kusuka brazilian hair, Peruvian hair ndio kunafanya Africa iwe hivi??

Je western wamekuzuia kufuata mila na desturi zako?? Kivipi??
Mbona umepewa uhuru sana mkuu??

Mbona mnaoana kwa kutoleana mahari, mnatambika, mna lugha za makabila , mna machifu, mna wazee wa mila.
Kwanini muhisi western wanawalazimisha kufata mila zao??
Unachotaka ni kukuza mjadala ila unarudia ambayo nishaeleza, hivi kama makabila fulani yalikuwa na utamaduni wa kukeketa siku izi wanaruhusiwa?( Najua utauliza ko kukeketa ndio bora? (Hapa nimetoa mfano wa mila tu ambayo hairuhusiwi kutekelezwa)

Na kingine kwanini useme mbona tumepewa uhuru wa kutosha! Na nani? Na kwanini?

Hapo nimetoka kusema matatizo ya kiuchumi na kijamii yanasababishwa na ubeberu nimekuja kuelezea ya kijamii maana maada yangu ndo imejikita hapo

Au wewe unaona ili jamii iendelee kiutamaduni hadi wawe wanasagana na kuwa mashoga mkuu?
 
Halafu tusiende mbali sana mkuu, mliruhusu vipi kutawaliwa na watu mliowazidi maarifa??

Yaani ni kama hii leo TZ ikaitawale US, then baadae huko US aje kulalamika kua sisi TZ tulimkwamisha kimaendeleo, US anaweza ruhusu sisi tumtawale kwa sasa??

Hizi nadharia ni za uongo kabisa, wenzetu empire zao zilikua kubwa, walianza kujitambua na kutambua mipaka ya nchi mda mrefu, walianza kuongea lugha moja kama taifa mda mrefu, sasa huku hata taifa halikuwepo kila koo na lugha yake, tamaduni zake, sheria zake nk.
How comes muwe strong wakati hamjaungana, hamjuani, hamchangamani??

Tusifarijiane kwa historia feki.
Ndo haya haya ya kusema Yesu alikua mweusi, sijui Adam alikua mweusi, ni kujitaftia vifaraja vya kipuuzi na ni dalili za uvivu.
Hapana mkuu sema wewe umekata tamaa na amini hata hao marekani wa leo walikuwa wametawaliwa ila leo wanajisimamia

Nguvu za kidola zina historia ya kufa na kufufuka hata hao roma ilikuwa empire kubwa ila wakaja kupigwa na mwarabu wakarudi kujipanga tena

Sema waafrika tumekata sana tamaa lakini amini kuwa mapinduzi ya kimfumo huanza na mapinduzi ya kifikra
 
Unachotaka ni kukuza mjadala ila unarudia ambayo nishaeleza, hivi kama makabila fulani yalikuwa na utamaduni wa kukeketa siku izi wanaruhusiwa?( Najua utauliza ko kukeketa ndio bora? (Hapa nimetoa mfano wa mila tu ambayo hairuhusiwi kutekelezwa)

Na kingine kwanini useme mbona tumepewa uhuru wa kutosha! Na nani? Na kwanini?

Hapo nimetoka kusema matatizo ya kiuchumi na kijamii yanasababishwa na ubeberu nimekuja kuelezea ya kijamii maana maada yangu ndo imejikita hapo

Au wewe unaona ili jamii iendelee kiutamaduni hadi wawe wanasagana na kuwa mashoga mkuu?
Ushoga na kusagana kunaathiri vipi uchumi wa nchi yako??

Utandawazi umekua san 2000's kabla ya hapo hizo mila zimewasaidia nini??

Ona mziki wa hip hop unavowaingizia pesa vijana, ona jinsi vijana wanapata ajira kupitia hilo.

Nenda kariakoo uone mabero ya nguo toka ughaibuni yanavyouzwa, yanaingiza pato la taifa achilia mbali ajira lukuki kwa vijana.
Hapo hata wewe umekula nguo safi toka ughaibuni, babu zetu walivaa suti? Boxer je?

Halafu ushoga na usagaji ni mila za western?? Yaani wana tamaduni hizo?
Hebu nieleweshe hapo unaposema ni mila za western, walau unambie hata mila yao nyingine.
 
Hapana mkuu sema wewe umekata tamaa na amini hata hao marekani wa leo walikuwa wametawaliwa ila leo wanajisimamia

Nguvu za kidola zina historia ya kufa na kufufuka hata hao roma ilikuwa empire kubwa ila wakaja kupigwa na mwarabu wakarudi kujipanga tena

Sema waafrika tumekata sana tamaa lakini amini kuwa mapinduzi ya kimfumo huanza na mapinduzi ya kifikra
Kwani mkuu hizi mambo za ushoga si zimepamba moto this time, kilichotukwamisha toka 1961 mpaka 2000 ni kuiga tamaduni za west??

Kua mkweli hapo aisee.
 
Ushoga na kusagana kunaathiri vipi uchumi wa nchi yako??

Utandawazi umekua san 2000's kabla ya hapo hizo mila zimewasaidia nini??

Ona mziki wa hip hop unavowaingizia pesa vijana, ona jinsi vijana wanapata ajira kupitia hilo.

Nenda kariakoo uone mabero ya nguo toka ughaibuni yanavyouzwa, yanaingiza pato la taifa achilia mbali ajira lukuki kwa vijana.
Hapo hata wewe umekula nguo safi toka ughaibuni, babu zetu walivaa suti? Boxer je?

Halafu ushoga na usagaji ni mila za western?? Yaani wana tamaduni hizo?
Hebu nieleweshe hapo unaposema ni mila za western, walau unambie hata mila yao nyingine.
Mkuu hivi unaweza tukizungumzia maendeleo katika nyanja ya (culture) utamaduni tunazungumzia kitu gani? Ili tuache kuchanganya na ya kiuchumi( maana mm nimejikita sana kwenye culture (malezi na utamaduni)

Ushoga ni utamaduni wa westerns ndio kwani husikii papa kaubariki

Na pia kuhusu ushoga ni mambo ambayo kwa Afrika sio mila zetu na baadhi ya nchi zinatumia mechanisms kama kuwaua mashoga ili kuzuia kwa kizazi cha kipuuzi lakini badala yake Westerns wanazuia kwa kigezo cha human rights.
 
Kwani mkuu hizi mambo za ushoga si zimepamba moto this time, kilichotukwamisha toka 1961 mpaka 2000 ni kuiga tamaduni za west??

Kua mkweli hapo aisee.
Maendeleo yamegawanyika katika nyanja zifuatazo:

Kiuchumi(economically)

Kisiasa(politically)

Kiutamaduni(culture)

Sasa mkuu mimi nimeshika bango la utamaduni na kuwepo kwa mmomonyoko wa maadili kwa ajili ya kuiga westerns culture kwa kuamini ndio usasa na kuacha mila zetu kwa kuamini kuwa ni ukale leta arguments
 
Ushoga na kusagana kunaathiri vipi uchumi wa nchi yako??

Utandawazi umekua san 2000's kabla ya hapo hizo mila zimewasaidia nini??

Ona mziki wa hip hop unavowaingizia pesa vijana, ona jinsi vijana wanapata ajira kupitia hilo.

Nenda kariakoo uone mabero ya nguo toka ughaibuni yanavyouzwa, yanaingiza pato la taifa achilia mbali ajira lukuki kwa vijana.
Hapo hata wewe umekula nguo safi toka ughaibuni, babu zetu walivaa suti? Boxer je?

Halafu ushoga na usagaji ni mila za western?? Yaani wana tamaduni hizo?
Hebu nieleweshe hapo unaposema ni mila za western, walau unambie hata mila yao nyingine.
Na pia mkuu upo tayari mama ako, dada ako, mtoto wako, mdogo wako wa kike wajiuze na wawekwe uchi kwenye miziki eti kisa wanapata pesa?

Upo tayari hadi wewe uwe shoga may be( kwa kigezo kuwa ni uhuru wako) kisa tu eti unaingiza pesa? Kuna mambo mengine ukisapoti hebu angalia upande wako inakuwaje
 
Na pia mkuu upo tayari mama ako, dada ako, mtoto wako, mdogo wako wa kike wajiuze na wawekwe uchi kwenye miziki eti kisa wanapata pesa?

Upo tayari hadi wewe uwe shoga may be( kwa kigezo kuwa ni uhuru wako) kisa tu eti unaingiza pesa? Kuna mambo mengine ukisapoti hebu angalia upande wako inakuwaje
Ndgu yangu, sasa hayo si ni maamuzi ya mtu binafsi, kwani serikali ikiruhusu ushoga wewe utakua shoga??
Mbona haijaruhusu na bado watu wanafukuana mitaro!!?

Sasa hao ndgu zangu watajiuza kwa kulazimishwa au kwa matakwa yao wenyewe, yaani we jamaa hadi kujiuza unasema ni mila za wazungu, kichekesho hiki ujue.

Wewe una dini, Mkristo au muislam??
Kama jibu ni NDIYO basi huu mjadala uishie hapa.
 
Ndgu yangu, sasa hayo si ni maamuzi ya mtu binafsi, kwani serikali ikiruhusu ushoga wewe utakua shoga??
Mbona haijaruhusu na bado watu wanafukuana mitaro!!?

Sasa hao ndgu zangu watajiuza kwa kulazimishwa au kwa matakwa yao wenyewe, yaani we jamaa hadi kujiuza unasema ni mila za wazungu, kichekesho hiki ujue.

Wewe una dini, Mkristo au muislam??
Kama jibu ni NDIYO basi huu mjadala uishie hapa.
Sasa kama hata mwanao akijiuza sawa tu kwakuwa anajiuza mwenyewe! Ni kweli haina haja ya kuendelea na mjadala aisee

NB: Hakuna sehemu nimesema kujiuza ni mila.
 
Huko makanisani ndio mavazi ya kipuuzi yamejaa sana bila kuyasema haya kwenye mijadala mbali mbali usidhani yatakoma eti kisa kuna dini na makanisa ifike kipindi kwanza tukubali kubadilika na pia tuwabadilishe na wengine kwa kutumia njia mbalimbali ili kujenga jamii yenye maadili
 
Sasa kama hata mwanao akijiuza sawa tu kwakuwa anajiuza mwenyewe! Ni kweli haina haja ya kuendelea na mjadala aisee

NB: Hakuna sehemu nimesema kujiuza ni mila.
Mkuu punguza kutupia watu lawama kwa kufeli kwako, kufeli kwako kunatokana na akili yako kua fupi, isiyoona fursa kama wengine.

Mwanao awe shoga au malaya halafu uwalaumu wazungu na serikali realy?? Utakua sawa upstairs kweli??

Halafu usitumie hisia kuamua mambo, mpaka huyo mwanangu anakua malaya basi kuna mahali kwenye malezi yangu sikua sawa na siwez kuwalaum wazungu eti ndo wamemharibu mwanangu!!.
 
Sasa kama hata mwanao akijiuza sawa tu kwakuwa anajiuza mwenyewe! Ni kweli haina haja ya kuendelea na mjadala aisee

NB: Hakuna sehemu nimesema kujiuza ni mila.
Wewe dini gani mkuu??
Au dini haikuja na ngozi nyeupe??
Dini ni utamaduni wako??
 
Mbona nguo fupi na ukahaba wala havihusiani? Punguza ushamba!
 
Maendeleo yamegawanyika katika nyanja zifuatazo:

Kiuchumi(economically)

Kisiasa(politically)

Kiutamaduni(culture)

Sasa mkuu mimi nimeshika bango la utamaduni na kuwepo kwa mmomonyoko wa maadili kwa ajili ya kuiga westerns culture kwa kuamini ndio usasa na kuacha mila zetu kwa kuamini kuwa
Kwanini usichukulie hilo kama ni maendeleo badala yake wewe unasema ni mmomonyoko wa maadili??
Huoni kua kuna fursa nyingi kuliko kushikilia huo utamaduni wako usiokunufaisha na chochote!!

Ndio maana nikakuuliza huo utamaduni wako uliokua nao kabla hata ya mkoloni umekusaidia nini??
Nikakupa faida kiduchu za huo unaoita usasa ila wewe hujaleta faida yoyote ya huo utamaduni wako.
 
Mkuu punguza kutupia watu lawama kwa kufeli kwako, kufeli kwako kunatokana na akili yako kua fupi, isiyoona fursa kama wengine.

Mwanao awe shoga au malaya halafu uwalaumu wazungu na serikali realy?? Utakua sawa upstairs kweli??

Halafu usitumie hisia kuamua mambo, mpaka huyo mwanangu anakua malaya basi kuna mahali kwenye malezi yangu sikua sawa na siwez kuwalaum wazungu eti ndo wamemharibu mwanangu!!.
Mkuu kiumbe hai huathiriwa na mazingira huwezi kusema utawafunza wakwako tu na mwingine asifunze wakwake halafu wakwako akasalimika hiyo ni ngumu ingekuwa hivyo mmomonyoko wa maadili usingekuwa kwa kasi namna ilivyo sasa ukilinganisha na miaka ya 1999 kushuka chini
 
Back
Top Bottom