SI KWELI Watu wamepigana wakati wa Usaili wa Kada ya Afya nchini Tanzania

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mkuu Hata kama jamaa katukanwa ndio amfanyie hivi huyo binti? Hii kauli Yako haina tofauti na Ile kauli ya aliyekuwa RPC wa Dodoma kwamba binti aliyebakwa na kulawitiwa alikuwa anajiuza.
Kwahiyo mkuu huyo binti ana haki ya kutukana? Yani hapo mnaona mwenye kosa mwanaume tu na sio kwamba wote wana makosa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…