SI KWELI Watu wamepigana wakati wa Usaili wa Kada ya Afya nchini Tanzania

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Ingekua na sauti ingependeza sana
 
Hapana mkuu Hana haki ya kumtukana ila hata kama katukanwa hakupaswa ku react namna hiyo na ukizingatia ni Afsa utumishi .
Wote wana makosa, hii tabia ya kulea ujinga wa wanawake ionekane wao ni malaika inawapoteza hata wao wenyewe. Bahati mbaya kakabwa hapo kakata pumzi hapati faida yeyote.

Ndio maana kina dronedrake wameamua hawaoi. Kila jambo likija mbele ya meza baina ya mwanaume na mwanamke, hakuna anayehangaika na kosa la mwanamke, mwanaume ndio anaonekana shetani tu.
 
Vipi hapo kazini kwako, mnaruhusiwa kumtukana kiongozi/boss wako?

Wewe ukitukana na boss akikuchapa vibao wote mnakosa, na ndiyo mapungufu ya binadamu hayo. Ila sio mmoja aonekane kakosea alafu mwingine apewe excuse.
 
itamcost heavily! Hata mahakamani binti atashinda! Then civil case alipwe fidia. Kesi nzuri sana hii
Najua itamgharimu, point yangu ni kwamba kesi kama hizi tuziangalie pande zote mbili, wakati tunapinga mabinti kufanyiwa vitendo vya kinyanyasaji pia tuwakumbushe wao pia wanawajibika kujilinda wasiwe chanzo cha wao wenyewe kufanyiwa hivi vitendo.

Tukisema tuwakemee tu hawa wanyanyasaji wakati tumewaachia mabinti na wadogo zetu wa kike uhuru wa kutukana watu, kula hela za wanaume na kutembea na waume za watu haya matukio yataendelea kuwepo tu.
 
Busara na hekima zinahitajika sana kwenye haya mambo.

Unakuta dada ana mda mrefu yuko mtaani, kaanza kujiandaa mapema na nauli kakopa au kuomba kwa watu akafanye interview na inawezekana paper imemgonga.

Kwenye hii hope yake labda anaweza akapata kazi msimamizi nae anamletea vikwazo vingine havielewi anajikuta anabishana hovyo. Msimamizi anashindwa kuelewa hali aliyonayo dada nae anatumia nguvu badala ya hekima. Au nae alivurugwa huko nyumbani alipotoka?

Ni huzuni
 
Point yangu ni ile ile, ukimchokoza mtu kwa kauli chafu akikisha una nguvu za kudhibiti, kama nguvu hauna basi kotakachofuata usianze kulilia maana utakua umejitakia mwenyewe
 
Wapi kazini kwako uliambiwa umtukane boss/kiongozi wako? Work ethics ndiyo zinasema hivyo?

Kwanini binti aende extra mile kuliko wengine wote?

Binti kuepusha shari, angeweka mtihani wake asipe mwenyewe bila kuitiwa security. Hii ingeepusha yeye kutamka maneno mabaya. Kisheria pia ni kosa kutoa lugha za matusi, kwahiyo boss akishtaki na ushahidi upo anashinda labda binti atoe "rushwa" au asaidiwe na mtu kama wewe.
 
Vipi hapo kazini kwako, mnaruhusiwa kumtukana kiongozi/boss wako?

Wewe ukitukana na boss akikuchapa vibao wote mnakosa, na ndiyo mapungufu ya binadamu hayo. Ila sio mmoja aonekane kakosea alafu mwingine apewe excuse.
Hawa wanawake wa kisasa wanacheza rafu nyingi sana, tatizo wakikutana na mtu ambae hawezi kuvumilia ujinga ndipo hapo wanaonekana victims kumbe wao wenyewe ndio chanzo.
 
Angekuwa ndiyo wakati wa usaili wa walimu afu hili likatokea ungeona matusi ambayo yangerushwa humu hasa juu ya walimu ,,, lkin kwasababu ni kada ya afya huwezi ona hayo yakitokea
 
Ukijiona unashindwa kuzuia hasira zako hata kwa vitu vidogo ujue we ni dhaifu sana, huyo mzee kwa umri wake ilistahili awe na busara hilo shambulio alilolifanya la kumkaba shingo hakustahili kulifanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…