Watu wanaamini kuna Mungu na shetani kwa sababu kuamini ni rahisi kuliko kufikiri

Watu wanaamini kuna Mungu na shetani kwa sababu kuamini ni rahisi kuliko kufikiri

H

Hakuna haja ya kuifuta hiyo imani kwa sababu kila mtu ana haki ya kuamini anachokiamini

Issue inakuja pale wenywe hizi imani kuhukumu wengine na hata kutoa tathimini ya kila jambo kwa kila mtu kupitia hizi imani , watu wa hizi imani hawatambui kama ni imani tu , na sio mahakama ya kuhukumu kila kitu kwa kila mtu .
Imani sio story za sungura na fisi ambazo kila mtu anajua ni za kubuni tu, unajua mkuu acha hii tabia ya kulichukulia neno imani kama kitu ambacho kinahusu masuala ya dini na Mungu tu basi.
 
Imani sio story za sungura na fisi ambazo kila mtu anajua ni za kubuni tu, unajua mkuu acha hii tabia ya kulichukulia neno imani kama kitu ambacho kinahusu masuala ya dini na Mungu tu basi.
Funguka mkuu , kuna kitu kama unataka kueleza toka mwanzo ila unazunguka tu.
 
Hoja nyepesi mno hazina hata mashiko wala ushawishi.
Kuna watu humu wakiandika hoja zao kuhusu kutokuwepo kwa Mungu usipojiangalia utajikuta umeelekea kibla ila kwa vihoja hivi vyako vyepesi namna hii kajipange upya pengine ukawa na ujinga mwingi kichuani kuliko uerevu unaojifikiria.
Hoja nyepesi ndio zinabadili dunia, fuatilia
 
Angalia dunia.angalia mifumo ya dunia.kila kitu kimeundwa kwa ustadi mkubwa.Mungu aliona watu watahitaji maji akaweka mifumo ya mvua.akaona binadamu wake wanahitaji chakula na hewa safi akaleta mimea.kila kitu kimewekwa kwa ustadi mkubwa kwahiyo hauhitaji degree kuona uwepo wa Mungu.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Vinaweza vikawa vimeanzishwa kwa njia tofauti na Mungu,
 
Mungu huyo kama alitaka aaminiwe na binadamu wote, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mwamini na kumtii siku zote?

Mungu huyo akiaminiwa anapata faida gani?

Na asipo aminiwa anapata faida gani?

Kwa hiyo Mungu huyo aliumba binadamu waje wamwamini tu?

Kama Mungu huyo aliumba binadamu wote tuje tumwamini na wengine hatumwamini basi kazi yake ya uumbaji ina kasoro na dosari.

Maana Mungu huyo ameshindwa kufanya sisi Atheists tumwamini.

Na automatically Mungu huyo hawezi yote.
When your Lord said to the angles indeed, I will make upon the earth a successive authority "the said " will you place upon it one who causes corruption therein and shelds blood, while we declare your praise and sanctify you?" Allah said indeed,
I know that which you do not know
Qur-an (2:30)

So kuto muabudu wewe na wenzio wala sio shida kwake
Akili mukichwa
 
Imani ni matokeo ya ujinga wetu! Kuna pengo katika ufahamu wetu. Tumeshindwa kupata majibu ya maswali yetu wenyewe. Tumeshindwa kujua ni nini kilitokea ikawa hivi na vile.Tukabuni majibu. Kila jamii ikabuni jibu lake. Lakini kama kuna jamii iliyobuni uwongo na ambao umedumu kwa muda mrefu mpaka sasa ni ile iliyodai eti watu wote baba na mama yao ni Adam na Hawa. Ni ujinga tu! kama jamii hiyo ingejua kwingineko kuna watu wasiofanana nao kamwe wasingekubali eti ngozi nyeusi ina undugu na Myahudi alivyo mmbaguzi! Imani na ukweli ni vitu viwli tofauti . Imani sio ukweli,na ndio maana kuna Imani mbalimbali. Ikiwa Imani ni ukweli kusingekuwa na tofauti. Sisi tunafhani muumbaji wa kila kitu anawaza kama sisi tumemtilia maneno yetu tukasema kasema yeye. Tunafhani tunaweza kumyumbisha tunavyotaka. Asubuhi tunaomba jua, mchana tunaomba upepo. Ni ujinga wetu tu! Muumbaji hawezi kuwa random,kazi imekamilika na hairudiwi tena!
 
Imani ni matokeo ya ujinga wetu! Kuna pengo katika ufahamu wetu. Tumeshindwa kupata majibu ya maswali yetu wenyewe. Tumeshindwa kujua ni nini kilitokea ikawa hivi na vile.Tukabuni majibu. Kila jamii ikabuni jibu lake. Lakini kama kuna jamii iliyobuni uwongo na ambao umedumu kwa muda mrefu mpaka sasa ni ile iliyodai eti watu wote baba na mama yao ni Adam na Hawa. Ni ujinga tu! kama jamii hiyo ingejua kwingineko kuna watu wasiofanana nao kamwe wasingekubali eti ngozi nyeusi ina undugu na Myahudi alivyo mmbaguzi! Imani na ukweli ni vitu viwli tofauti . Imani sio ukweli,na ndio maana kuna Imani mbalimbali. Ikiwa Imani ni ukweli kusingekuwa na tofauti. Sisi tunafhani muumbaji wa kila kitu anawaza kama sisi tumemtilia maneno yetu tukasema kasema yeye. Tunafhani tunaweza kumyumbisha tunavyotaka. Asubuhi tunaomba jua, mchana tunaomba upepo. Ni ujinga wetu tu! Muumbaji hawezi kuwa random,kazi imekamilika na hairudiwi tena!
Lakini pia sio kila kisicho cha imani ni ukweli, sijui kwa nini tunashambulia sana hili neno imani?
 
Kuna tofauti kubwa kati ya uwezo wa kufikiri na uwezo wa kukariri.

Ubongo usiokuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri unapenda majibu mepesi.

Mfano unaweza kumwambia mtu mwenye akili ya kutosha kuwa, kuiba sio vizuri kwa sababu kuna matokeo mabaya kama kufungwa, kupigwa n.k na akakuelewa,

Ila mjinga ni lazima umuogopeshe kuwa kuiba ni dhambi, hivyo hataiba kwa kuhofia anatenda dhambi.

Hivyo ni rahisi sana kumuaminisha mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiri kuwa kuna nguvu isiyoonekana na akaamini.

Sababu nyinginezo ni kama
  • Kurithishwa utamaduni, pale mtoto anapozaliwa analazimishwa aamini imani ya wazazi kwa kubatizwa n.k
  • Woga, watu wengi wanaogopa kutokana na vitisho mbalimbali mfano kutengwa kwenye jamii zao
  • Kifo, wengi hawakubaliani na ukweli kwamba ni lazima kiumbe hai afe, hivyo wanatamani wapate maisha mengine baada ya kifo.
  • Majibu ya kisayansi hayafariji kama ya kidini n.k.
Kuamini ni kazi ngumu na yenye kutumia akili nyingi zaidi kuliko kufikiri maana kufikiri kuna ukomo kutegemea uwezo wa ubongo. Lakini kuamini kwa dhati ni kushughulika na kitu ambacho hakionekani kwa macho (invisible), hakigusiki (intangible), hakiingii akilini, hakisikiki (inaudible), yaani milango ya maarifa haiwezi ku-grasp, lakini imani inaelewa abstract phenomena kwa hakika beyond doubt, kwa mfano, kwamba Mungu yupo ingwa hakuna aliyemwona. Kwa hiyo thinking has its horizon but belief is infinity. Kufikiri kuna mpaka wake lakini imani ni more complex, kuamini kwamba kuna sayari nane wakati tumeiona hii moja tu dunia, maana hatufikirii kwamba kuna sayari nane tunaamini hivyo hata kama tumeambiwa tu na wachache walioziona na kuzihesabu.
 
Mkuu unapinga kuwepo kwa Mungu au unapinga mambo yenye kuhusishwa na Mungu? Sijaelewa.
Bila shaka hapingi uwepo wa Mungu ila ameshindwa kabisa kuelewa kama Mungu yupo yaani imemuwia vigumu kuweza kuelewa kitu ambacho hajakiona kwa macho. Anajua kwamba magari, majumba, nk, yapo kwa sababu ameyaona kwa macho.
 
Huwa naona kama kutokuamini Mungu kuna husishwa moja kwa moja na kuwa na akili sana, hivi kwa nini inakuwa hivyo japo kwenye maisha ya kawaida hakuna huo utofauti kuonyesha kuwa wasioamini Mungu ndio wenye akili kuliko wenye kuamini Mungu?
Kwa kawaida mtu mwenye akili ndogo hawezi kuelewa kitu ambacho hakakiona kwa macho, kuamini kwamba Mungu yupo ni kuiruhusu akili ione badala ya macho. Mtu mwenye akili ya kawaida husubiri macho yapige picha ya kitu yapeleke hiyo picha kwenye ubongo kwa ajili ya kukitambua. Lakini mtu mwenye akili nyingi ubongo wake hausubiri picha kutoka kwenye macho badala yake ubongo unatafakari na kuwa na uhakika na vitu ambavyo macho hayawezi kuviona kamwe. Macho hayawezi kumuona Mungu lakini ukiwa na akili nyingi ubongo unamuona Mungu waziwazi kwa hakika kabisa.
 
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Faith is the practice of training the mind to ignore facts, evidences and logic.

Watu hawana uhakika wala uthibitisho wa uwepo wa Mungu na shetani zaidi ya mawazo yao ya kufikirika tu na hadithi za kusadikika, kusimuliwa na kurithishwa.

Watu wame aminishwa kwamba kuna invisible creature beyond the sky anaitwa Mungu.

Hadithi hizi ni sawa na Hekaya za Abunuwasi na riwaya za Alfu Lela ulela.
Tenavunaambiwa ukimuua kafir mbinguni utapewa zawadi ya mwanamke bikira chuchu saa 6.

Halafu anadhuru nafsi ya mwingine kwa ahadi hewa.

Dini ni falsafa fulani iliyoandaliwa kuwatisha watu ili watawalike kwa urahisi.

Hasa hii dini ya makanisani na misikitini.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Bila shaka hapingi uwepo wa Mungu ila ameshindwa kabisa kuelewa kama Mungu yupo yaani imemuwia vigumu kuweza kuelewa kitu ambacho hajakiona kwa macho. Anajua kwamba magari, majumba, nk, yapo kwa sababu ameyaona kwa macho.
Kwahiyo wenye kuabudu ng'ombe kama mungu wakimuonyesha huyo ng'ombe na akamuona atakubali kuwa kweli huyo ng'ombe ni mungu?
 
Bila shaka hapingi uwepo wa Mungu ila ameshindwa kabisa kuelewa kama Mungu yupo yaani imemuwia vigumu kuweza kuelewa kitu ambacho hajakiona kwa macho. Anajua kwamba magari, majumba, nk, yapo kwa sababu ameyaona kwa macho.

Tenavunaambiwa ukimuua kafir mbinguni utapewa zawadi ya mwanamke bikira chuchu saa 6.

Halafu anadhuru nafsi ya mwingine kwa ahadi hewa.

Dini ni falsafa fulani iliyoandaliwa kuwatisha watu ili watawalike kwa urahisi.

Hasa hii dini ya makanisani na misikitini.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Hiyo dhana ya dini kuwatisha watu sijui iwatawale sijawahi kuielewa.
 
Sio mambo tu hata sifa za huyo Mungu ni uthibitisho tosha kwamba Mungu huyo Hayupo.

Watu wanadai Mungu ni mkamilifu, Sasa Mungu Mkamilifu Aliumbaje Dunia yenye uovu na binadamu wenye uwezo wa kutenda uovu?

Mungu ni muweza wa vyote, Sasa Mungu muweza wa vyote Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasio na uwezo wa kutenda dhambi, watakao mtii na kumwamini siku zote?

Mungu ni mwenye kujua yote, Sasa Mungu mjuzi wa vyote, Hakujua kwamba shetani, uovu, dhambi, ukatili,uasi na mabaya yatakuja kuwepo duniani ayadhibiti na kuyazuia mapema yasitokee?

Yani hapa Huitaji akili nyingi kujua kwamba Mungu huyo mwenye sifa tajwa hapo juu HAYUPO.
Soma biblia dogo, Ukimaliza uje na hoja zingine.
 
Umegonga msumari kwenye kichwa. Jinsi watu wanavyozidi kutumia akili kufikiri itabidi dunia ishikiliwe kimaadili na ubinadamu.
Ndio hao wenye akili ambao wao hawaamini kama muumba yupo, Sasa hivi wanahalalisha mutifuane mitaro kwa kuamini ni haki za binadamu..
 
Kubadilika huku kwa watu bado haku thibitishi na kuonesha Mungu huyo yupo.

Swali ni je, Mungu huyo Alishindwaje kuumba binadamu watakao mtambua yeye yupo kwa wakati wote?

Kama lengo la huyo Mungu ni kutambuliwa yupo, Alishindwaje kuumba Binadamu watakao mtambua yeye yupo siku zote?

Kwa nini binadamu wengine hatumtambui Mungu huyo kama yupo?

Je Mungu huyo hakujua kwamba sisi Atheists tutakuja kumtambua yeye hayupo atudhibiti mapema na kutufanya tumtambue yupo?

Mungu huyo akisha tambuliwa yupo inamsaidia nini?

Kwani Mungu huyo hajitambui yupo mpaka sisi binadamu tumtambue yupo ndio ajue kwamba yupo?
Article ya jamaa nlikua nasubiri majibu yenu kwa hamu, Hatimae umejibu tofauti kabisa na maandishi yake yanachomaanisha,

Tuliza akili usome vizuri maandishi yake, Then jibu inavyotakiwa bila kuhama hama.
 
Kwasababu, nimekuuliza wewe raisi yuko wapi? Ukaniambia nenda ikulu utamkuta(kumbuka hapa mimi nilishaukataa uwepo wa huyo raisi ) okay! Ili kuthibitsha maneno yako Nikatumia gharama zangu kufika huko ikulu, sasa, sijaikuta na hiyo ikulu, raisi nitamkuta? , labda tutumie huu mfano, umeambiwa, samia hassan suluhu ni raisi wa tanzania let say wewe upo Mexico ukamuuliza huyo mtu tanzania ilipo akakuelekeza njia ya kufika lakini hata hiyo tanzania kumbe haipo je huyo raisi wa tanzania atakuwepo?
Wewe umewahi kwenda Mbinguni na hukuikuta ? Yani haipo ?
 
Back
Top Bottom