King_mwanamalundi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2019
- 373
- 558
Wewe uliumbwa au ulizaliwa?Watu wanamkataa Alie waumba kweli wanadamu vibuli sana lakini ipo siku atajua kama yupo Mungu akitaka atajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe uliumbwa au ulizaliwa?Watu wanamkataa Alie waumba kweli wanadamu vibuli sana lakini ipo siku atajua kama yupo Mungu akitaka atajua
Papa wenu haamini kama mungu yupo?Ndio hao wenye akili ambao wao hawaamini kama muumba yupo, Sasa hivi wanahalalisha mutifuane mitaro kwa kuamini ni haki za binadamu..
Mimi sio mkatoliki,Papa wenu haamini kama mungu yupo?
Upo sawa ndo maana majambazi waporaji wauaji wachawi woote Wanasali na kuswali na ukienda huko urusi Korea kusini japani china hakuna Yesu Wala Muhammad na ndiyo wanatulea misaada ya dawa za malaria na kipindupindu sisi wente Mungu.Pia kuna wale wapuuzi wanaosema kuwa dini zimeleta maadili mema, jambao ambalo si kweli, mtu mwenye akili timamu haitaji dini wala imani yoyote kufanya mambo mema bali kuheshimu haki za wengine na sheria za kiutu.
Hatumuhitaji Mungu ili tufanye mema, hatutakiwi kufanya mema kwa kumuogopa Mungu bali kwa kujari utu wa wenzetu
Kipi kigumu kati ya kuamini na kutokuaminiKuamini kungekuwa rahisi robo tatu ya dunia wangekua wacha Mungu.
Kama hakuna ikulu basi raisi hayupo, kwasababu, anakotakiwa kuwepo tu hakupo, na hapa issue sio kumkosa ikulu,issue ni ikulu yenyewe kutokuwepo, sasa tunauliza hiyo ikulu haipo, je yeye atakuwa wapi, kwamba mlikosea kusema kuwa raisi yupo ikulu na kumbe sio kweli? Okay yuko wapi sasa? Mbona hamtuombi radhi kama mnajua mlikosea? Tunaomba kujua raisi alipo.Unachanganya mambo mkuu.
Kilichozungumziwa ni makazi ya Rais ambayo ni ikulu na si nchi, Mungu ambaye inaaminiwa kuumba huu ulimwengu tuliyopo ndio tunazungumzia hayo makazi yake ambayo inaaminika ni mbinguni.
Sasa ukienda ikulu na usimkute rais hiyo haina maana hakuna huyo rais au kama hakuna ikulu pia hatuwezi kusema hiyo nchi haina rais.
Kwahiyo kuna watu waliwahi kwenda huko kuitafuta hiyo ikulu?Kama hakuna ikulu basi raisi hayupo, kwasababu, anakotakiwa kuwepo tu hakupo, na hapa issue sio kumkosa ikulu,issue ni ikulu yenyewe kutokuwepo, sasa tunauliza hiyo ikulu haipo, je yeye atakuwa wapi, kwamba mlikosea kusema kuwa raisi yupo ikulu na kumbe sio kweli? Okay yuko wapi sasa? Mbona hamtuombi radhi kama mnajua mlikosea? Tunaomba kujua raisi alipo.
Huwa naona kama kutokuamini Mungu kuna husishwa moja kwa moja na kuwa na akili sana, hivi kwa nini inakuwa hivyo japo kwenye maisha ya kawaida hakuna huo utofauti kuonyesha kuwa wasioamini Mungu ndio wenye akili kuliko wenye kuamini Mungu?
Ukiwa na maana ipi hebu fafanua?Mkuu tatizo ni kwamba wanao amini katika Mungu kimsingi ni kwamba wamekataa kutumia AKILI zao timamu na kuamua KUAMINI tu linapokuja swala la MUNGU
Kuna mambo kwenye IMANI unatakiwa kujitoa ufahamu ili kuya amani
Ukiwa na maana ipi hebu faf
Ili twende sawa kidogo, kama hutajali naomba kujua unamuamini Mungu wa imani ipi ili nikupe mifanoUkiwa na maana ipi hebu fafanua?
Unajua imani ziko nyingi sana mkuu sasa sidhani kama unazijua imani zote duniani.Ili twende sawa kidogo, kama hutajali naomba kujua unamuamini Mungu wa imani ipi ili nikupe mifano
Issue sio kufa, je unakufa kifo gani? Kufa Kwa njaa utapenda ww ufe Kwa njaa?Okay,.Kifo pia kina faida zake nyingi Tu,......Wewe umeamua kufocus na hasara za kifo,.vipi kuhusu faida za kifo?
NB:- Uhai&kifo vyote hivyo vina faida na hasara. Both are scary & exciting!
Kati ya:-Issue sio kufa, je unakufa kifo gani? Kufa Kwa njaa utapenda ww ufe Kwa njaa?
Hii ndio changamoto ya kujadili na waamini Mungu mkuuUnajua imani ziko nyingi sana mkuu sasa sidhani kama unazijua imani zote duniani.