Mtu kukusalimia si kwamba unamzidi umri tu. Kunavitu vingi vinafanya mtu akusalim hata kama umri wako haustaili kusalimiwa. Mfano wadhifa, ukwasi, kujiheshim n.k usichukie kusalimiwa mzee mwenzangu. Afu kitu kingine fanya mpango utoke kwenu.Hapo nimekuelewa kaka, umenifanya nitafakari sana. Kuanzia sasa itabidi niishi kwa kufurahia ukubwa hatakama watu ndy wananipa huo ukubwa.
Mfano mdogo ni hivi ni viatu nilivyo vaa muda huu
Mimi Nina 33 ila ukiniangalia ni kama Nina 28...Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.
Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
Wewe inaonekana ni introvert MTU mwenye kupenda kukaa kimya?
Hii ni kweli na unapenda wisdom Hekima?
Is this true?
Nina kilo 58, sina kitambi sina pesa.Kama una mwili na kitambi na pesa za hapa na pale ni kawaida.
It's true. Napenda kujifunza busara na hekima pia. Japo hekima ni Mungu ndiyo humpatia mtu lakini ni matamanio yangu kuwa nayo. Pia nasikiliza sana kuliko kuongea au kuchangia mada hususan ninapokuwa kwenye maongezi na watu zaidi ya mmoja.
Thanks Brother, this is the kind of advice I was looking for. Thank you Again.Basi hiyo hali ya kupewa shikamoo usiikatae.
Ipokee kwa mikono miwili.
Wewe ni old soul
MTU mwenye hekima
Nimejaribu kuoana , watu watakuwa wanakupa shikamoo , kwa uneokana upo na utu Uzi ma Fulani
Sio jambo baya ni zuri Sana. Hongera
Kumbe coca ni hatari eehKijana acha kunywa COCACOLA utaazeeka sana. Nimekupa siri ya ndanii sana usifanye mchezo.
COCACOLA sijui PEPSI na MIRINDA na masoda mengineyo lakini haswa haswa COCA COLA, acha kabisa utageuka kuwa MBABU.
Usiweke uchafu mwilini, usinywe mapombe na matakataka.
Kula chakula kilicho hai kile ambacho unavuna kutoka shambani au kwenye mti. Utakuwa kijana na mwenye sura ya mtoto mpaka utatongozwa laivu na MABICHWA KOMWE.
COCA COLA / COCA CORA....
Mbona unatupia kijanja hope itakua sura na ngoziMfano mdogo ni hivi ni viatu nilivyo vaa muda huuView attachment 2976723
Appearance sidhani kama ni tatzo, labda lifestyleMbona unatupia kijanja hope itakua sura na ngozi
Weka yako kwanzaNakazia
Ndevu ni MUHIMU.Kiongozi kipara hicho ndo kinawachanganya watu, Na unapenda kuachaga ndevu za mashavuni kwann!? Sio salamu tu hata wanawake wa Rika lako wanakukataa.
Kiongozi kama huna kipara tusameheane tu..
HayaWeka yako kwanza
Kweli kabisa,mitazamo ndyo huleta utofauti mkubwa baina ya watu.Kweli binadamu tuko tofauti.
Aisee.Nina kilo 58, sina kitambi sina pesa.
HahahaMaghayo tia neno hapa bro