Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Hapo nimekuelewa kaka, umenifanya nitafakari sana. Kuanzia sasa itabidi niishi kwa kufurahia ukubwa hatakama watu ndy wananipa huo ukubwa.
Mtu kukusalimia si kwamba unamzidi umri tu. Kunavitu vingi vinafanya mtu akusalim hata kama umri wako haustaili kusalimiwa. Mfano wadhifa, ukwasi, kujiheshim n.k usichukie kusalimiwa mzee mwenzangu. Afu kitu kingine fanya mpango utoke kwenu.
 
Tuwekeze picha ya kufanana na wewe View attachment 2976713

Weka hata ya msaada ya mtandao
Mfano mdogo ni hivi ni viatu nilivyo vaa muda huu
IMG_20240429_150324_105.jpg
 
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.

Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
Mimi Nina 33 ila ukiniangalia ni kama Nina 28...
 
It's true. Napenda kujifunza busara na hekima pia. Japo hekima ni Mungu ndiyo humpatia mtu lakini ni matamanio yangu kuwa nayo. Pia nasikiliza sana kuliko kuongea au kuchangia mada hususan ninapokuwa kwenye maongezi na watu zaidi ya mmoja.
Wewe inaonekana ni introvert MTU mwenye kupenda kukaa kimya?

Hii ni kweli na unapenda wisdom Hekima?

Is this true?
 
It's true. Napenda kujifunza busara na hekima pia. Japo hekima ni Mungu ndiyo humpatia mtu lakini ni matamanio yangu kuwa nayo. Pia nasikiliza sana kuliko kuongea au kuchangia mada hususan ninapokuwa kwenye maongezi na watu zaidi ya mmoja.


Basi hiyo hali ya kupewa shikamoo usiikatae.

Ipokee kwa mikono miwili.
Wewe ni old soul

MTU mwenye hekima

Nimejaribu kuoana , watu watakuwa wanakupa shikamoo , kwa uneokana upo na utu Uzi ma Fulani

Sio jambo baya ni zuri Sana. Hongera
 
Basi hiyo hali ya kupewa shikamoo usiikatae.

Ipokee kwa mikono miwili.
Wewe ni old soul

MTU mwenye hekima

Nimejaribu kuoana , watu watakuwa wanakupa shikamoo , kwa uneokana upo na utu Uzi ma Fulani

Sio jambo baya ni zuri Sana. Hongera
Thanks Brother, this is the kind of advice I was looking for. Thank you Again.
 
Kijana acha kunywa COCACOLA utaazeeka sana. Nimekupa siri ya ndanii sana usifanye mchezo.

COCACOLA sijui PEPSI na MIRINDA na masoda mengineyo lakini haswa haswa COCA COLA, acha kabisa utageuka kuwa MBABU.

Usiweke uchafu mwilini, usinywe mapombe na matakataka.

Kula chakula kilicho hai kile ambacho unavuna kutoka shambani au kwenye mti. Utakuwa kijana na mwenye sura ya mtoto mpaka utatongozwa laivu na MABICHWA KOMWE.

COCA COLA / COCA CORA....
Kumbe coca ni hatari eeh
 
Back
Top Bottom