Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Kama hupendi, badirisha vitu hivi:
1. Style ya kunyoa nywele na ndevu.
2. Style ya kuvaa.
3. Style ya kuongea na kutembea.
4. Story zako
5. Watu unao hang now muda wa ziada
 
Hata Mimi tatizo ni kama lako sema tofauti kidogooo.... Watu wanadhani umri wangu ni mdogo sijui sababu ni nini.
 
mvi mkuu dah zimekuwahi hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…