Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Kijana acha kunywa COCACOLA utaazeeka sana. Nimekupa siri ya ndanii sana usifanye mchezo.

COCACOLA sijui PEPSI na MIRINDA na masoda mengineyo lakini haswa haswa COCA COLA, acha kabisa utageuka kuwa MBABU.

Usiweke uchafu mwilini, usinye mapombe na matakataka.

Kula chakula kilicho hai kile ambacho unavuna kutoka shambani au kwenye mti. Utakuwa kijana na mwenye sura ya mtoto mpaka utatongozwa laivu na MABICHWA KOMWE.

COCA COLA / COCA CORA....
Kaka chakula cha kuvuna shambani kwa hapa mjini ni changamoto, lakini situmii sana vyakula vyenye sumu kali.
 
Sura yako ni ya utu uzima zaid
Au umechakaza mwili na ushaanza kukimbilia utu uzima na uzeeni

Kunawatu wanasura za kitoto/ujana
Kunawatu wanasura za utu uzima
Kunawatu wanasura za uzee

Kuna wale wenye maumbo ya kitoto/ujana
Kunawale wenye maumbile ya utu uzima au uzee

Mkuu ukifika 45 utaitwa kikongweee
 
Sio lazima uvune wewe. Hata matunda pia yapo, shida yamejazwa sumu tupu.

Hamia kijijini. Ni heri uhai na afya kuliko kujidunga maCOCACORA na matunda yenye sumuKUVU.
Ni kweli kaka, lakni kwa upande wa muonekano sina shida. Au labda nahisi ni mavazi yangu na staili yangu ya kuishi au kuongea na watu.
 
Sura yako ni ya utu uzima zaid
Au umechakaza mwili na ushaanza kukimbilia utu uzima na uzeeni

Kunawatu wanasura za kitoto/ujana
Kunawatu wanasura za utu uzima
Kunawatu wanasura za uzee

Kuna wale wenye maumbo ya kitoto/ujana
Kunawale wenye maumbile ya utu uzima au uzee

Mkuu ukifika 45 utaitwa kikongweee
Sidhani kama sura inaweza kuwa sababu, japo ndevu ninazo nyingi.
 
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.

Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
Kijana mambo yako mazuri. Ukiwa na pesa utaamkiwa hadi na wazee.
 
Ni kweli kaka, lakni kwa upande wa muonekano sina shida. Au labda nahisi ni mavazi yangu na staili yangu ya kuishi au kuongea na watu.
Mwonekano wako ni vile watu wanakuona na sio vile unavyojiona.

Pengine watu wanakuona mkubwa we hujui tu.

Au una upara unaong'aa kama KITENESI?

Na mandevu unayoo.
 
Back
Top Bottom