Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.

Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
Muonekano wa uso wako ni kijeba swali fikirishi je unakunywa bombe au migodi kwa sana
 
Mkuu ungeweka picha yako ingekuwa rahisi kukushauri, inawezekana kwenye ulimwengu wa roho umepewa muonekano mwingine, Usione aibu katika kutafuta solution ya hali inayo kukera na kukukosesha amani
 
Mkuu ungeweka picha yako ingekuwa rahisi kukushauri, inawezekana kwenye ulimwengu wa roho umepewa muonekano mwingine, Usione aibu katika kutafuta solution ya hali inayo kukera na kukukosesha amani
Picha ni vigumu kuweka mkuu, ila sasa nimeanza kuelewa hii hali na hainikoseshi amani kama ilivyokuwa mwanzo
 
Back
Top Bottom