Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
WATU WANAENDA KANISANI WAMEVAA VITU VYA AJABU UNATEGEMEA NINI?
Anaandika, Robert Heriel
Kuhani.
Angalizo, lugha itakayotumika inaweza kuwa Kali. Hivyo Kama sio mtu upendaye lugha Kali na Tata nakushauri uishie hapahapa. Kukaidi ni kiashiria utaendana na andiko hili na utaweza kukabiliana na matokeo.
Oooh! Mungu haangalii Mavazi, sijui Mungu haangalii mwili anaangalia roho. Wahuni wanawasikiliza wanacheeeka!
Sijui Kwa Yesu hakuna sheria, ni Neema tuu. Seriously! Come on!
Sisi kina Taikon utuvalie visketi havieleweki vimechora miraba ya chupi unategemea tukuchekee Sio? kisa ati umeokoa sijui kisa umsabato au sijui Mlutheri Come on!
Au kisa ni mtoto wa mchungaji au kisa ni Mke WA mchungaji Come on!
Utapasuka! NAMI nawaambia wahuni pasueni!
Shetani hajaribiwi Kama ilivyo Mungu.
Yaani umevaa nguo mipaja yote nje utegemee kina Taikon wakuachie ati kisa upo kanisani,
Sisi wanaume ni miungu kamwe HATUJARIBIWI!
Ukijipitisha na vinguo visivyoeleweka HATUTAKUACHA na HATUTANII!
Kuna watu wanaweza ona naongea vitu Kama mjinga, lakini watu wanamna hiyo hujifunza Kwa njia ngumu mpaka yawatokee... Yakuwatokea!
Sisi sio mahanithi.
Sisi ni wanaume shababi!
Sisi ni wanaume Rijali.
Tunaheshimu wanaojiheshimu, tunaruka na wanaotujaribu kwani hatujaribiwi.
Uki-beep Sisi tunapiga.
Tunachakata na tunapita kushoto.
Mwanaume kamili hawezi ruhusu binti zake wavae nguo zinazochora na kuonyesha umbo la binti yake. Ni Dalili kuwa Baba huyo Hana Akili na hakustahili kuitwa Baba.
Mwanaume kamili hawezi ruhusu mkewe Avae nguo zinachora miraba ya chupi na kuonyesha umbo lake alafu baadaye analalamika mkewe ati ni Malaya. Yaani kama Boya Fulani Hivi!
Wake zenu wakiparamiwa mnaanza kujifanya mnahasira, mara muue mara sijui mjiue😂😂😂 Kama kama mmelogwa hivi.
Mwanaume unaruhusuje Mkeo awe na mazoea na vijana wakiume au wanaume kama wewe sio Lofa. Labda uwe humpendi lakini kama unampenda huwezi ruhusu mazoea ya ajabu ajabu ya Vijana wa kiume na MKEO.
Vijana eleweni kuwa, Mwanamke ni mdhaifu Kwa mtu mwenye mazoea na ukaribu Naye.
Mkeo anataniwa taniwa unachekacheka kama boya.
Kikawaida wanawake huliwa kimasikhara😀😀 haohao wenye matani nao kiutani utani wanazama nyavuni.
Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa Wanawake wanaochepuka 90% ni Kwa sababu ya uzembe na makosa ya kiufundi ya Sisi wanaume. Hiyo 10% iliyobaki ni Wale wanaorudi Kwa ma-ex wao waliowapenda Kwa dhati, shida za kiuchumi au umalaya.
Uzembe WA Wanaume ni Kama ifuatavyo;
1. mwanaume kuacha kufanya wajibu wake.
Kumhudumia, kumtunza, kumuongoza, kumlinda na kumuadhibu pale anapokosea.
2. Show mbovu.
3. Kutokuwa na muda na mawasiliano mazuri naye
4. Kumpa uhuru uliopitiliza au Kuruhusu watu wamzoee Mkeo.
5. Kumfanya ajione huwezi kumuacha.
Kikawaida Wanawake husumbua na kuwa Malaya Kwa wanaume wasiojiamini na ambao wanaona hawawezi kuwaacha.
Mwanamke anatakiwa Ajue kuwa siku akichepuka ndio siku atakayoachwa bila kuweka kikao, hakuna cha wazazi, hakuna cha dini wala hakuna cha yeyote.
6. Kumwamini Mwanamke.
7. Kujifanya mtu wa dini Sana au msomi.
Watu wa dini hasa Wakristo ndio wanaonewa na Hawa kinadada lakini ukiwa Mhuni na Mwanaume WA shoka kamwe Mwanamke hawezi kukuletea upuuzi. Au kuleta mambo ya kisomi kwenye ndoa. NO Negotiations. Usiwe mtu wa kuweka mijadala pale unapotoa amri zako au Oda.
8. Kujifanya wote ni watawala ati wote mnatunga sheria 😂😂
Mwanaume ndiye anaweka sheria, masuala ya kujifanya wote ni watunzi wa sheria Hilo ni kosa kiufundi. Hivi unatupotunga Kwa pamoja sheria na Mkeo ni kwamba akili yako ni ndogo kiasi hicho. Mke ni Msaidizi tuu ni Kama makamu wa Rais. Anaweza kushauri lakini sio kutunga.
Mwanamke hautakiwi Kumwamini hata kidogo Ila unatakiwa umpende.
Endeleeni kumsingizia Yesu katika mambo ambayo hata yeye anashangaa, alafu mkichapiwa mnasema ni majaribu ati Shetani anawajaribu, hivi ninyi na Shetani Nani anamjaribu mwenzake,
Kwa mganga WA kienyeji mnaenda mmejistiri,
Mkienda Guest house mmejifunika msionekane lakini kanisani mnaenda miraba ya chupi imejichora utadhani ni makahaba kumbe ni waumini.
Tuacheni kumjaribu Shetani.
Nasisitiza yapo mambo makuu ambayo hayajaribiwi
1. Mungu
2. Shetani
3. Mwanaume
4. Mauti
5. Sumu
Nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Safarini, kuelekea Arusha
Anaandika, Robert Heriel
Kuhani.
Angalizo, lugha itakayotumika inaweza kuwa Kali. Hivyo Kama sio mtu upendaye lugha Kali na Tata nakushauri uishie hapahapa. Kukaidi ni kiashiria utaendana na andiko hili na utaweza kukabiliana na matokeo.
Oooh! Mungu haangalii Mavazi, sijui Mungu haangalii mwili anaangalia roho. Wahuni wanawasikiliza wanacheeeka!
Sijui Kwa Yesu hakuna sheria, ni Neema tuu. Seriously! Come on!
Sisi kina Taikon utuvalie visketi havieleweki vimechora miraba ya chupi unategemea tukuchekee Sio? kisa ati umeokoa sijui kisa umsabato au sijui Mlutheri Come on!
Au kisa ni mtoto wa mchungaji au kisa ni Mke WA mchungaji Come on!
Utapasuka! NAMI nawaambia wahuni pasueni!
Shetani hajaribiwi Kama ilivyo Mungu.
Yaani umevaa nguo mipaja yote nje utegemee kina Taikon wakuachie ati kisa upo kanisani,
Sisi wanaume ni miungu kamwe HATUJARIBIWI!
Ukijipitisha na vinguo visivyoeleweka HATUTAKUACHA na HATUTANII!
Kuna watu wanaweza ona naongea vitu Kama mjinga, lakini watu wanamna hiyo hujifunza Kwa njia ngumu mpaka yawatokee... Yakuwatokea!
Sisi sio mahanithi.
Sisi ni wanaume shababi!
Sisi ni wanaume Rijali.
Tunaheshimu wanaojiheshimu, tunaruka na wanaotujaribu kwani hatujaribiwi.
Uki-beep Sisi tunapiga.
Tunachakata na tunapita kushoto.
Mwanaume kamili hawezi ruhusu binti zake wavae nguo zinazochora na kuonyesha umbo la binti yake. Ni Dalili kuwa Baba huyo Hana Akili na hakustahili kuitwa Baba.
Mwanaume kamili hawezi ruhusu mkewe Avae nguo zinachora miraba ya chupi na kuonyesha umbo lake alafu baadaye analalamika mkewe ati ni Malaya. Yaani kama Boya Fulani Hivi!
Wake zenu wakiparamiwa mnaanza kujifanya mnahasira, mara muue mara sijui mjiue😂😂😂 Kama kama mmelogwa hivi.
Mwanaume unaruhusuje Mkeo awe na mazoea na vijana wakiume au wanaume kama wewe sio Lofa. Labda uwe humpendi lakini kama unampenda huwezi ruhusu mazoea ya ajabu ajabu ya Vijana wa kiume na MKEO.
Vijana eleweni kuwa, Mwanamke ni mdhaifu Kwa mtu mwenye mazoea na ukaribu Naye.
Mkeo anataniwa taniwa unachekacheka kama boya.
Kikawaida wanawake huliwa kimasikhara😀😀 haohao wenye matani nao kiutani utani wanazama nyavuni.
Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa Wanawake wanaochepuka 90% ni Kwa sababu ya uzembe na makosa ya kiufundi ya Sisi wanaume. Hiyo 10% iliyobaki ni Wale wanaorudi Kwa ma-ex wao waliowapenda Kwa dhati, shida za kiuchumi au umalaya.
Uzembe WA Wanaume ni Kama ifuatavyo;
1. mwanaume kuacha kufanya wajibu wake.
Kumhudumia, kumtunza, kumuongoza, kumlinda na kumuadhibu pale anapokosea.
2. Show mbovu.
3. Kutokuwa na muda na mawasiliano mazuri naye
4. Kumpa uhuru uliopitiliza au Kuruhusu watu wamzoee Mkeo.
5. Kumfanya ajione huwezi kumuacha.
Kikawaida Wanawake husumbua na kuwa Malaya Kwa wanaume wasiojiamini na ambao wanaona hawawezi kuwaacha.
Mwanamke anatakiwa Ajue kuwa siku akichepuka ndio siku atakayoachwa bila kuweka kikao, hakuna cha wazazi, hakuna cha dini wala hakuna cha yeyote.
6. Kumwamini Mwanamke.
7. Kujifanya mtu wa dini Sana au msomi.
Watu wa dini hasa Wakristo ndio wanaonewa na Hawa kinadada lakini ukiwa Mhuni na Mwanaume WA shoka kamwe Mwanamke hawezi kukuletea upuuzi. Au kuleta mambo ya kisomi kwenye ndoa. NO Negotiations. Usiwe mtu wa kuweka mijadala pale unapotoa amri zako au Oda.
8. Kujifanya wote ni watawala ati wote mnatunga sheria 😂😂
Mwanaume ndiye anaweka sheria, masuala ya kujifanya wote ni watunzi wa sheria Hilo ni kosa kiufundi. Hivi unatupotunga Kwa pamoja sheria na Mkeo ni kwamba akili yako ni ndogo kiasi hicho. Mke ni Msaidizi tuu ni Kama makamu wa Rais. Anaweza kushauri lakini sio kutunga.
Mwanamke hautakiwi Kumwamini hata kidogo Ila unatakiwa umpende.
Endeleeni kumsingizia Yesu katika mambo ambayo hata yeye anashangaa, alafu mkichapiwa mnasema ni majaribu ati Shetani anawajaribu, hivi ninyi na Shetani Nani anamjaribu mwenzake,
Kwa mganga WA kienyeji mnaenda mmejistiri,
Mkienda Guest house mmejifunika msionekane lakini kanisani mnaenda miraba ya chupi imejichora utadhani ni makahaba kumbe ni waumini.
Tuacheni kumjaribu Shetani.
Nasisitiza yapo mambo makuu ambayo hayajaribiwi
1. Mungu
2. Shetani
3. Mwanaume
4. Mauti
5. Sumu
Nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Safarini, kuelekea Arusha