Watu wanamhurumia Tundu Lisu kwa sababu alifukuzwa ubunge baada ya kushambuliwa kwa risasi !

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kinachoendelea kwa sasa kwa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu ni huruma ya wananchi kwa vile alifutwa kazi ya ubunge akiwa kwenye matibabu.

Ni vema hili likaeleweka huruma ikizidi inamfanya anayehurumiwa aonekane ni mtu maarufu hata kama hana umaarufu.
Na wengine wanaweza kumpigia kura kwa kumuhurumia tu hata kama hana uwezo wa kuongoza kwa nafasi anayogombea.

Kura za huruma hujilinda zenyewe hata kama ni chache.

Nimeisoma mahali fulani.

Maendeleo hayana vyama!
 
Huwezi kuficha ulaghai kupitia huruma
 
Not at all! Wanamshangilia na kuahidi kumpa kura kwa vile atawakomboa na utumwa wa miaka 5! Wanategemea awakomboe kuliko wagombea wengine, siyo huruma ya risasi!
 
Not at all! Wanamshangilia na kuahidi kumpa kura kwa vile atawakomboa na utumwa wa miaka 5! Wanategemea awakomboe kuliko wagombea wengine, siyo huruma ya risasi!
Yeye mwenyewe amejikomboa?!
 
Bora Umepata akili, hiyo huruma ipo mpaka jeshini tukiacha kikundi cha Wahutu na Intarahamwe wachache
 
Kumbukeni watanzania Ni wanafiki, wanajaa Ila Kura hawawapi.

Najua Magu anashinda
 
SAFARI HII KURA YANGU MAGUFULI HAPATI,MZEE KATILI SANA
 
Hoja mbovu kabisa hii!
 
JPM alidhani maflyover, mareli, ma-ndege ndio vitu vya kuombea kura. Kwa dunia ya leo hivyo vitu sio vya kutishia watu; hata watoto wanaviona kila siku kwenye Tv,simu,games nk
Watu wanataka furaha, amani, haki, heshima, shibe - kuishi bila hofu... wameyakosa haya kwa miaka mi5.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…