Watu wanamhurumia Tundu Lisu kwa sababu alifukuzwa ubunge baada ya kushambuliwa kwa risasi !

Watu wanamhurumia Tundu Lisu kwa sababu alifukuzwa ubunge baada ya kushambuliwa kwa risasi !

Kinachoendelea kwa sasa kwa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu ni huruma ya wananchi kwa vile alifutwa kazi ya ubunge akiwa kwenye matibabu.

Ni vema hili likaeleweka huruma ikizidi inamfanya anayehurumiwa aonekane ni mtu maarufu hata kama hana umaarufu.
Na wengine wanaweza kumpigia kura kwa kumuhurumia tu hata kama hana uwezo wa kuongoza kwa nafasi anayogombea.

Kura za huruma hujilinda zenyewe hata kama ni chache.

Nimeisoma mahali fulani.

Maendeleo hayana vyama!
Halafu ukichukulia anachuana na aliyemsababishia Masahibu yote hayo na anamkimbiza
 
Lissu alipewa na anapewa tuhuma nyingi dhidi ya Uhuru na Amani ya Tanzania. Kuwa ananjama na watu wa ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania. Ingawa wa ndani ya Tanzania wanamtumia Lissu very systematically na wako very careful kutimiza agenda yao ya kumtikisa JPM na serikali yake ili wapoteze msimamo na kutokujiamini. Serikali na JPM na wanaomsaidia wakikosa misimamo na mambo kuvurugika, kwao wao wavurugaji ni neema imewatembelea.

Haya mambo anayofanya Lissu na wabia wake hayana tofauti na hujuma Tanzania iliyokuwa inafanyiwa na Makaburu, Wareno na wale ambao walikuwa na masilahi na makaburu enzi zile. Kwa nini njia zile zile zilizo tumika kwa Makaburu, Mreno na Iansmith wa Rhodesia zisitumike leo. Zikiwa zimeboreshwa na kwenda na wakati wasasa.

Lissu hujuma zake zina na mkono wa ndani na nje ya nchi. Ndani ya nchi ni mafisadi ambao maslahi yao yameguswa na wengine hawana uhakika kesho yao itakuwaje. Kumbuka tuliambiwa yuko mtu alikutana na Manji uarabuni. Msifikiri Manhi kalala na anafurahia huko aliko. Akikumbuka share ya asali yake iliyopunguzwa katika hili jungu la Tanzania, si rahisi akae asifanye kitu. Hakosi watu walio kwenye payroll yake wanaloeta figisu Tanzania. Huu ni mfano mmoja tu.

Ni rahisishe kwa hali ilivyo Lissu na cdm wamegeuka kuwa wajasiria ufisadi, watetea ushoga na mabeberuni. Hii ni biashara kamili isiyo rasmi Tanzania sasa kama ilivyo ya mihadarati. Robertisoni na wenzake ni wabia wa uwejezahi Tanzania kwa kupitia mbia wao Lissu na cdm. Bahati hawa ni vissible uwe na uhakika wako the invissible ndio wanao matamko ya balozi kana USA, etc.

IGP Sirro anafanya wajibu na kaziyake, hahitaji kupingwa kwa hizi propoganda. Wala si yeye tu wote wanaofanya kazi serikalini wanao wajibu huo na wabatakiwa wasaidiwe na Watanzania wazalendo, si kukatishwa tamaa. Unless mfanyakazi uwe umeahidiwa na Lissu na mafisadi kwamba Lissu akiwa Rais wewe ndio IGP wa serikali yake, hao hawakosi pia. Of which ni usaliti wa kioapo cha kazi yako and it ,amounts to fatal consequences. Ikijulikana.

Hii pia inawahusu wastaafu walio staafu kwa heshima, chochonde msidanganyike. Wako wanaopita huko na huko wakiwashawishi. Mfano, ni kwa mujibu wa JPM juzi hapo njombe alipokuwa anampongeza Waziri wa maji mtumbuliwa, ambaye yeye angalau eti kashinda vishawishi vya kufanya vitendo vya usaliti, hujuma, na uasi kwa serikali/Taifa

Si IGP, si Mwenyekiti wa NEC, Mkuregezi wa Takukuru na Wakuu wengine wote wa ngazi mbalimbali hata wafanyakazi wa idara za serikali. Kuweni macho na makini.

Some people are out there working tiredlessly day and night 24-7 making sure that you fail miserablly with your trusted noble duties to Tanzanians.

Utashangaa motives zao wengine ni husuda tu, wengine chuki kwa sababu JPM kasema ukweli kuwa wakati flani palitokea serekalini uzembe aeiou. Mwingine hakujua kwamba ipo siku wadhifa alikuwa nao serikalini atalazimika kuuacha. Suala la cheo/wadhifa ni dhamana lina kuendelea, kuongezeka, kushuka na hata kwisha. Yeye kwake ikitokea hayuko ni nongwa ni shonde. Kazi iliyo baki kwake ni kutafuta kuwakwamisha waliopo jszini ili washindwe, yaani hivyo. Yako mengi haya semwi "in The Bulldozzer tone.'

..stop this rubbish.

..UONGO wa namna hii kawadanganye watu wa vijijini ambao hawajasoma.

..sisi wengine tumesoma, na zaidi ni watu wazima.

..nimeshuhudia tawala zote za nchi hii kuanzia ya Mwalimu Nyerere.

..SIDANGANYIKI.
 
*Wito wa dharura, Mkutano na Waandishi wa Habari*

Chief, habari za muda huu?

Naomba kukutaarifu kuwa Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mhe. Tundu Lissu, atazungumza na vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa, nyumbani kwake, *Tegeta (Azania) jijini Dar es Salaam leo Ijumaa, Oktoba 2, 2020, *saa 10.30, jioni*, kuhusu jambo la dharura na muhimu katika kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazoendelea nchini.

Tunatanguliza shukrani na samahani kwa wito huu wa dharura sana. Asante sana.

*Tumaini Makene*
*Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano*
*Chadema*
 
Kama ndio CCM huko Lumumba ndio mna akili za kipumbafu namna hiyo basi mna kazi sana , kwahiyo Lissu alivyofukuzwa ubunge , kunyimwa matibabu na mafao yake mnaona ni sahihi ? Sasa watu wakimuonea huruma nyinyi kinawauma nini ? Wewe hujui kuwa Jiwe anachukiwa nchi nzima kwa ajili ya vitendo vyake na kauli zake za kifechuli ? Mtu usiongeze mishahara , usipandishe madaraja miaka mitano , ubomolee watu nyumba zao , ufukuze watu kazi kwa maonezi , ubambikie watu kesi , uibe hela za tetemeko la Kagera , wetu watekwe , wauwawe ,wapotezwe , wafungwe , upore hela za watu bureau de change , bank kwenye akaunti za matajiri , Hawa wote unafikiri watampigia kura Jiwe ? Kwa Akili zenu za Lumumba wakimpigia kura Lissu ni kwa sababu alifukuzwa ubunge akanyimwa na mafao ?
 
EjT_ozaWkAAOqaJ.jpeg
 
Back
Top Bottom