Tume imemshindwa napna Wameshikumizwa polisi nao wajaribu tena...Lissu hajamchochea mtu yeyote.
..IGP Sirro aache kumuandama, kumsimanga, na kumtisha.
..Pia aache kupendelea CCM, bali atende haki, na aheshimu vyama na viongozi wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tume imemshindwa napna Wameshikumizwa polisi nao wajaribu tena...Lissu hajamchochea mtu yeyote.
..IGP Sirro aache kumuandama, kumsimanga, na kumtisha.
..Pia aache kupendelea CCM, bali atende haki, na aheshimu vyama na viongozi wote.
Tume imemshindwa napna Wameshikumizwa polisi nao wajaribu tena.
Not at all! Wanamshangilia na kuahidi kumpa kura kwa vile atawakomboa na utumwa wa miaka 5! Wanategemea awakomboe kuliko wagombea wengine, siyo huruma ya risasi!
Wote wamechanganyikiwa...IGP anamuandama bila sababu yoyote ya msingi.
..Na anamchukulia Tundu kuwa ni mhalifu hata kabla ya kutenda kosa.
Wakati TAL akifutwa kazi bila huruma huku akiendelea na matibabu, mbunge mwenzake Bwana Mwambe alitangaza kujiuzulu nafasi yake ya Ubunge na kujiunga na Chama tawala, ajabu ni kwamba mheshimiwa huyo alirejeshwa katika nafasi yake na kupewa stahiki zake zote. Hii inapatikana Tanzania tu. Maendeleo hayana vyama.Kinachoendelea kwa sasa kwa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu ni huruma ya wananchi kwa vile alifutwa kazi ya ubunge akiwa kwenye matibabu.
Ni vema hili likaeleweka huruma ikizidi inamfanya anayehurumiwa aonekane ni mtu maarufu hata kama hana umaarufu.
Na wengine wanaweza kumpigia kura kwa kumuhurumia tu hata kama hana uwezo wa kuongoza kwa nafasi anayogombea.
Kura za huruma hujilinda zenyewe hata kama ni chache.
Nimeisoma mahali fulani.
Maendeleo hayana vyama!
ExactlyHe is gathering followers in droves all over the country because of the substance in his speeches period! Hakuna cha huruma hapa; jamaa anagusa hisia za wananchi, sio huyo mwingine anaewatukana watu anaowaomba kura!!!
He is gathering followers in droves all over the country because of the substance in his speeches period! Hakuna cha huruma hapa; jamaa anagusa hisia za wananchi, sio huyo mwingine anaewatukana watu anaowaomba kura!!!
Naona TAL ndiye presidential material ukilinganisha na wagombea wenzake.
Kwani aliyemshambulia Nani? Hao ndio waliojiwashia Moto unaowaunguza leo.Kinachoendelea kwa sasa kwa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu ni huruma ya wananchi kwa vile alifutwa kazi ya ubunge akiwa kwenye matibabu.
Ni vema hili likaeleweka huruma ikizidi inamfanya anayehurumiwa aonekane ni mtu maarufu hata kama hana umaarufu.
Na wengine wanaweza kumpigia kura kwa kumuhurumia tu hata kama hana uwezo wa kuongoza kwa nafasi anayogombea.
Kura za huruma hujilinda zenyewe hata kama ni chache.
Nimeisoma mahali fulani.
Maendeleo hayana vyama!
Unakumbuka akiwa nje alisema nn alipoulizwa kuhusu kurudiwatu wanamfagilia Lissu kwa kuwa ndie mtu pekee nchini asiyemuogopa magufuli, hata baada ya kupigwa risasi hajabadili msimano
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Ninyi ndio wale bashiru alisema mjibu hoja za Lissu au tusubirie wengine?Kinachoendelea kwa sasa kwa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu ni huruma ya wananchi kwa vile alifutwa kazi ya ubunge akiwa kwenye matibabu.
Ni vema hili likaeleweka huruma ikizidi inamfanya anayehurumiwa aonekane ni mtu maarufu hata kama hana umaarufu.
Na wengine wanaweza kumpigia kura kwa kumuhurumia tu hata kama hana uwezo wa kuongoza kwa nafasi anayogombea.
Kura za huruma hujilinda zenyewe hata kama ni chache.
Nimeisoma mahali fulani.
Maendeleo hayana vyama!
Lisu anajibiwa na Polepole!Ninyi ndio wale bashiru alisema mjibu hoja za Lissu au tusubirie wengine?
Kinachoendelea kwa sasa kwa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu ni huruma ya wananchi kwa vile alifutwa kazi ya ubunge akiwa kwenye matibabu.
Ni vema hili likaeleweka huruma ikizidi inamfanya anayehurumiwa aonekane ni mtu maarufu hata kama hana umaarufu.
Na wengine wanaweza kumpigia kura kwa kumuhurumia tu hata kama hana uwezo wa kuongoza kwa nafasi anayogombea.
Kura za huruma hujilinda zenyewe hata kama ni chache.
Nimeisoma mahali fulani.
Maendeleo hayana vyama!
Hakuna cha huruma hapo CCM mmevuruga mambo Sana.Mmeua uchumi wa mtu mohamed mmoja 'we have suffered a lot from many uncertainties'Kinachoendelea kwa sasa kwa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu ni huruma ya wananchi kwa vile alifutwa kazi ya ubunge akiwa kwenye matibabu.
Ni vema hili likaeleweka huruma ikizidi inamfanya anayehurumiwa aonekane ni mtu maarufu hata kama hana umaarufu.
Na wengine wanaweza kumpigia kura kwa kumuhurumia tu hata kama hana uwezo wa kuongoza kwa nafasi anayogombea.
Kura za huruma hujilinda zenyewe hata kama ni chache.
Nimeisoma mahali fulani.
Maendeleo hayana vyama!
sijui, muulizeYeye mwenyewe amejikomboa?!
..Lissu hajamchochea mtu yeyote.
..IGP Sirro aache kumuandama, kumsimanga, na kumtisha.
..Pia aache kupendelea CCM, bali atende haki, na aheshimu vyama na viongozi wote.