Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,425
- 5,227
Salum mwalimu hakugombea urais znz,znz alikua yule wa madevu(sorry simjui kwa jina)Kwanza Yeye mwenyewe amepigwa chini kwenye ugombea Urais Zanzibar..kaonekana hatoshi kamwachia maalim Seif was ACT..chama kingine kabisa...Sasa huyo ana impact gani..hata akiwa anashinda na kulala barabarani..Ni sawa na zero