Sio wawili tena?Kama Chadema watafikisha wabunge 10 Nita amini Salum mwalim akifanya kazi nzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wawili tena?Kama Chadema watafikisha wabunge 10 Nita amini Salum mwalim akifanya kazi nzuri.
Miaka yote kikwazo chetu ni NEC, wanachukua kura zetu kisha wanaziboresha na kuziweka kwenye kifungashio cha kijani.Bado sikumbili watanzania wakatimize hakiyao ya msingi
Niliwahi sema hum kwamba dam changa ya chadema sio mchezo, mbwe sio mtu wa kawaida, Moto ,moto si wa kawaida alafu ka relax ,mbowe ulichowafanyia ccm si Cha nchi hiiNdugu zangu,watu wanamtazama Lissu tu, lakini Kuna kijana anaitwa Salum Mwalimu.
Huyu Salum anafanya maangamizi kwa CCM balaa.
Anajua kuongea, ana hoja, anasikilizwa, anachambua.
Kwa kifupi CHADEMA wanaisambaratisha CCM kabisa.
Mkuu ni kweli Leo nilienda kusalimia wazee wangu.nimemkuta mgombea udiwani Wa ccm anamsaundisha Mzee,kuwa watatoa usafirri kwa wasiojiweza kuwapeleka kituoni kupiga kura na kuwarpudisha home.Guys ccm wako serious sana tusijipe moyo kishabiki.Huku level za chinj jmaa wanapita nyumba kwa nyumba wakituita kwenye mikutano ya vitongoji .Jamaa wanawafafanulia watanzania kuhusu ishu zote ambazo upinzan wanazilalamikia.
Niko kwenye mkutano hapa jamaa angu kanifuata ni mjumbe mpaka nikaona aibu kumchomolea.
Kweli upumbavu mzigo aliekua mgombea urais zenji n makam mwenyekiti n sio makam katibu mkuu rubishKwanza Yeye mwenyewe amepigwa chini kwenye ugombea Urais Zanzibar..kaonekana hatoshi kamwachia maalim Seif was ACT..chama kingine kabisa...Sasa huyo ana impact gani..hata akiwa anashinda na kulala barabarani..Ni sawa na zero
Sisi ambao tuna connection tumeshajua hata vyombo vyenye bunduki vitakuwa upande wa wananchi.Ndugu zangu,watu wanamtazama Lissu tu, lakini Kuna kijana anaitwa Salum Mwalimu.
Huyu Salum anafanya maangamizi kwa CCM balaa.
Anajua kuongea, ana hoja, anasikilizwa, anachambua.
Kwa kifupi CHADEMA wanaisambaratisha CCM kabisa.
Jifarijini bado siku tatu mtapoteanaNdugu zangu,watu wanamtazama Lissu tu, lakini Kuna kijana anaitwa Salum Mwalimu.
Huyu Salum anafanya maangamizi kwa CCM balaa.
Anajua kuongea, ana hoja, anasikilizwa, anachambua.
Kwa kifupi CHADEMA wanaisambaratisha CCM kabisa.
Wewe huzijui siasa kabisa. Kiufupi hujui kitu kabisa kuhusu uchaguzi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano na serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Hujui.Kwanza Yeye mwenyewe amepigwa chini kwenye ugombea Urais Zanzibar..kaonekana hatoshi kamwachia maalim Seif was ACT..chama kingine kabisa...Sasa huyo ana impact gani..hata akiwa anashinda na kulala barabarani..Ni sawa na zero
Mbowe kachooka, mnyika hoi, viongozi wote wa saccos kimyaa! Wabunge 5 watatoa wapi?[emoji16][emoji16][emoji16]umeandika kama unatania mimi nakazia,wakifika watano nitakubaoiana na mleta mada.
Ndiyo, alisoma mbagala uandishi wa habari akapata certificate.Unamjua Salum?
Kati ya Mwalimu na Mnyika mmoja anatakiwa kupokea kijiti cha urais Lissu atakapomaliza miaka yake 10
Pamoja na Kongole ( Sifa ) zako zote kwa Salum Mwalimu ila kwa tunaomjua katika 'Tasnia' ni kwamba 'Jamaa' ni mwana CCM Mwenzetu mzuri tu.Ndugu zangu,watu wanamtazama Lissu tu, lakini Kuna kijana anaitwa Salum Mwalimu. Huyu Salum anafanya maangamizi kwa CCM balaa.
Anajua kuongea, ana hoja, anasikilizwa, anachambua.
Kwa kifupi CHADEMA wanaisambaratisha CCM kabisa.
Bangi kaziniNdugu zangu,watu wanamtazama Lissu tu, lakini Kuna kijana anaitwa Salum Mwalimu. Huyu Salum anafanya maangamizi kwa CCM balaa.
Anajua kuongea, ana hoja, anasikilizwa, anachambua.
Kwa kifupi CHADEMA wanaisambaratisha CCM kabisa.
mwalimu hajulikani hata alipo.wiki jana aliishiwa nauli na wapambe wake wakisubiri pesa makao makuu,kama si yule bwashee mfanyabiashara ya vipuri,saa hizi mwalimu angekua kajitoaNdugu zangu,watu wanamtazama Lissu tu, lakini Kuna kijana anaitwa Salum Mwalimu. Huyu Salum anafanya maangamizi kwa CCM balaa.
Duuuuuuu unamdanganya nani? Kwa lipi Watanzania watawapigia CHADEMA??? Wanapinga miradi yote ya maendeleo; sasa watawaendeleza vipi??????? Eti Salum Mwalimu ninayemjua awe Makamu wa Rais???? Kichekesho cha karne.Ndugu zangu,watu wanamtazama Lissu tu, lakini Kuna kijana anaitwa Salum Mwalimu. Huyu Salum anafanya maangamizi kwa CCM balaa.
Anajua kuongea, ana hoja, anasikilizwa, anachambua.
Kwa kifupi CHADEMA wanaisambaratisha CCM kabisa.
Hivi ni watanzania wangapi na ambao wanaweza kubadilishwa kwa maneno ya mgombea?! You are talking of undecided voters ambao wanabadilishwa na maneno au ushawishi wa mgombea ...yaani eti CCM au Chadema kindakindaki abadilishwe na maneno ya JPM au kibaraka Lissu?!?! For your information kwa nafasi ya urais mamilioni ya Watz walishaamua kabla ya kampeni ni Nani watampa kura na wengi Wao hata kwenye mikutano ya kampeni hawafiki...vichinjio vyao viko mfukoni tayari kwa matumizi ya Oktoba 28...electoral politics za Africa ni tofauti mno na zile za ulaya...Ndugu zangu,watu wanamtazama Lissu tu, lakini Kuna kijana anaitwa Salum Mwalimu. Huyu Salum anafanya maangamizi kwa CCM balaa.
Anajua kuongea, ana hoja, anasikilizwa, anachambua.
Kwa kifupi CHADEMA wanaisambaratisha CCM kabisa.