Uchaguzi 2020 Watu wanamtazama Lissu tu, lakini Kuna huyu anafanya maangamizi balaa

Uchaguzi 2020 Watu wanamtazama Lissu tu, lakini Kuna huyu anafanya maangamizi balaa

Jomba huyo mtoto ana sera gani za kuisambaratisha CCM..manake hatuoni sera za chama hiki..wanatalatapa tu
Sera yao mojawapo ni kuuza ndege zote alizonunua Magu na pesa yake kusambaza maji Nchi nzima husan kule ambapo maji ni shida kubwa kama huko Chato.
 
Ndugu zangu,watu wanamtazama Lissu tu, lakini Kuna kijana anaitwa Salum Mwalimu.
Huyu Salum anafanya maangamizi kwa CCM balaa.

Anajua kuongea, ana hoja, anasikilizwa, anachambua.

Kwa kifupi CHADEMA wanaisambaratisha CCM kabisa.
Salum ana kipaji cha kutoa hamasa ila hajawahi fanikiwa kuongoza popote alipopita
Tundu ana kipaji cha kutengeneza uwongo na mrongo hawezi kuwa rais
 
Kwanza Yeye mwenyewe amepigwa chini kwenye ugombea Urais Zanzibar..kaonekana hatoshi kamwachia maalim Seif was ACT..chama kingine kabisa...Sasa huyo ana impact gani..hata akiwa anashinda na kulala barabarani..Ni sawa na zero
Unaona ulivokuwa huna taarifa...tangu lini mwalimu alikuwa anagombea Urais zanzibar
 
Huyu Mwalimu ni mwalimu kweli, anajua sana kufundisha, anazuia wananchi kushangilia ili afundishe.

Amesahaulika ila amefanya kazi kubwa sana.
 
KURA ZA UBUNGE NA URAISI ZITASAFIRISHWA KWENDA KUHESABIWA JIMBONI, HAZITAHESABIWA KWENYE VITUO VYA KUPIGIA KURA

KURA ZA UDIWANI ZITASAFIRISHWA KWENDA KUHESABIWA MAKAO MAKUU YA KATA (KATANI)

WAPINZANI HAMPATI KITU.

KUWENI MAKINI
Nchi itawaka moto hii msicheze na uchaguzi mkuu huu, watu wamejiandaa kwa shari au kwa kheri.

Kwanza nani mwadilifu wa kuaminika kubeba masanduku ya kura?

We have Already lost our trust worth to TISS,JWTZ, POLICE.
 
Lissu alikosa kitu kimoja tu ili aimalize CCM na icho kitu ameshakipata. Ni Sheikh Ponda Issa Ponda.
Kuna nguvu kubwa sana nimeiona ya ushawishi ya Sheikh Ponda Issa Ponda ambayo imehitimisha kuwa Ccm haiwezi shinda mwaka huu, iwe kwa mtutu na ghiriba au kwa haki
Kuna Lissu. Amekuja Maalim Seif na ACT, nguvu ikaongezeka! Ametua Ponda ndio kathibitisha ushindi. Iwe iweje ushindi ni lazima. Labda tu hii tume, lakini kama kila kura ingepewa haki bila zingine kukatwa au kuongeza Lissu ni raisi ajaye.
 
Kama Chadema watafikisha wabunge 10 Nita amini Salum mwalim akifanya kazi nzuri.
Mlianza kwa kusema wawili (2) sasa imekuwa 10?

Tafsiri ya hii maana yake ni kuwa 10 × 10 + Mr. President...!!
 
Yaani CCM wanatumia nguvu nyingi Sana ili kushinda Uchaguzi.Ila uchaguzi ukiwa huru na haki.CCM jiandaeni kukabidhi madaraka
 
Huyu sijui Babeli gani juha wa kiwango cha lami! Zanzibar kuna mgombea anaitwa Saidi Issa Mohamed. Kama huna ushahidi usipende kuropoka hovyo.
Huyohuyo Sasa mmemuona hatoshi kwenye nafasi hiyo kwanini...tafakari jomba
 
Ndugu zangu,watu wanamtazama Lissu tu, lakini Kuna kijana anaitwa Salum Mwalimu.
Huyu Salum anafanya maangamizi kwa CCM balaa.

Anajua kuongea, ana hoja, anasikilizwa, anachambua.

Kwa kifupi CHADEMA wanaisambaratisha CCM kabisa.
Nimemsikiliza. Kijana anakipaji cha kujenga na kuelezea hoja. " I dare say: He is a role model to the new generation".
 
Guys ccm wako serious sana tusijipe moyo kishabiki.Huku level za chinj jmaa wanapita nyumba kwa nyumba wakituita kwenye mikutano ya vitongoji .Jamaa wanawafafanulia watanzania kuhusu ishu zote ambazo upinzan wanazilalamikia.
Niko kwenye mkutano hapa jamaa angu kanifuata ni mjumbe mpaka nikaona aibu kumchomolea.
Duh! , Hebu tumegee wamefafanua vipi kuhusu -kazi za wasio julikana, fao la kujitoa, bei za mazao yetu, kikokotoo kipya, ajira,....
 
CCM wanafanya ulaghai sio ufafanuzi,
Ofcz kuna mambo mengine walikua wanafanya ulaghai tu sema kwakua wengi understanding yao ni ya chin sana (na huu ndio mtaji wao) huku nje ya mji mikoan ambako akina mama ndio wahudhuriaji basi wala hawahoji.
Mfano ulionichekesha;

mwenyekiti wa kata kaziongelea flyover za ubungo na tazara halaf akasema zile folen ndio zilikua zinachelewesha uchumi kufika huku wetu.Sasa utafika kiwepesi.
😂😂😂😂
 
Hahaha umestuka eh?

Hata mimi nilitaka kuleta mada za kumsifu huyo kijana lakini nikaona ninyuti tu ili nisiwastue.

Mikoa ya Kusini ambako walimfanyia Lissu figisu asihutubie, Salum Mwalumu aliiga kazi nzuri sana!
Ok, hata hivyo muda umeshakwisha na Salum keshaharibu Sana.
Dogo anajua kushawishi acha kabisa.
 
Salum ana kipaji cha kutoa hamasa ila hajawahi fanikiwa kuongoza popote alipopita
Tundu ana kipaji cha kutengeneza uwongo na mrongo hawezi kuwa rais
Nakuambia hivi Mungu jaalia Tundu atangazwe kuwa Mshindi.
Baada ya mwaka mmoja utaanza kujuta dhambi zako ,za kusema vibaya na kumkataa.

Lissu ataongoza kwa kufuata katiba Mpya.
Na katiba mpya ndio jibu la matatizo,hivyo Mambo yatanyoooka na WanaCCM watafaidika ikiwa Ni pamoja na wewe.

Magufuli anaongoza kwa kufuata akili yake na bahati mbaya akili zake lol.
Bora angekua na akili kama za Nyerere.
 
Back
Top Bottom