Watu wanaoa ‘connection’

Watu wanaoa ‘connection’

Kuandika kingereza ndio educated?

Kuwa smart! leo palikuwa na taarifa za degree za mchongo. Hizo connection ndo mnaleta elimu butu vingereza vingi ila vichwa empty.

 
HeHe Kweli Kuna Kipindi Nlikua Nawazaga Kuoana Kishua na Kishua Mwenzako Mambo Yana Straighten Up….Ila its sumtyms not the case….[emoji1787][emoji38][emoji1787]

Majumba ya watu yana siri nyingi sanaa.

Baadae Nikaja Learn The Best Thing A Woman Can Ever Give A Man Is Peace of Mind. Amini

Nimeshaona Cases Nyingi Sanaa Kishua Kaoa Kishua alooo drama ni nyingi mnooo and yes wengi nao wajua wame divorce

Ila doesnt mean hamna successful marriages zipo ila zina changia na malezi ya both of them hasa mwanamke. Ukipata dem kishua sana ila kwao alilelewa Ki Kaxx Chances Man Utafurahia Sana Ndoa, This is from my experience after observing a number of families na relationships ambazo mimi nimepitia in the past.
 
Huyu mshikaji wangu wa pili ana oa mtoto wa kibopa . Yani pisi ya kawaida sana to the point tunajua amefata life completion na connection .
Wa kwanza alioa pisi moja ni zaidi ya kawaida ila sherehe kama zote zilifanywa , pisi ina elimu na pia ina connection na nyota sana . Every one around her made it . So you can imagine the party. I once dated the girl so I know

Now it’s a new trend . Money over anything . make it with your level or above your level .na Life has No chance of mistakes .
We men are now smarter than ever , beauty doesn't cut it Any more .

If you have a daughter, please do counseling mapema she should hold the right place .


Note : all my friends wapo educated enough , rich enough , they all went for more

Over and out 🫠
Hukupoteza muda shule

Kudos my bro 😶
 
Wanawake wa kishua.. wana stress chache kuliko wanawake wetu wa kuunga unga maisha.

Ndoa ya mwanamke wa kiswahili inatolewa macho na ukoo wake wote. Kila mtu mshauri wake. Kila mtu ndugu anawatembelea na kuleta maneno.

Familia za kishua ziko bize na mambo yao. Ndoa inakuwa haina usumbufu wa third party
 
Huyu mshikaji wangu wa pili ana oa mtoto wa kibopa . Yani pisi ya kawaida sana to the point tunajua amefata life completion na connection .
Wa kwanza alioa pisi moja ni zaidi ya kawaida ila sherehe kama zote zilifanywa , pisi ina elimu na pia ina connection na nyota sana . Every one around her made it . So you can imagine the party. I once dated the girl so I know

Now it’s a new trend . Money over anything . make it with your level or above your level .na Life has No chance of mistakes .
We men are now smarter than ever , beauty doesn't cut it Any more .

If you have a daughter, please do counseling mapema she should hold the right place .


Note : all my friends wapo educated enough , rich enough , they all went for more

Over and out 🫠
Kazi kweli kweli
 
Ma feminist hao😅 hivi hao mkiwaoa nao mnawaweka ndani na kuwaachisha kazi ili muwatawale? Au inakuwaje😅
Huyu mshikaji wangu wa pili ana oa mtoto wa kibopa . Yani pisi ya kawaida sana to the point tunajua amefata life completion na connection .
Wa kwanza alioa pisi moja ni zaidi ya kawaida ila sherehe kama zote zilifanywa , pisi ina elimu na pia ina connection na nyota sana . Every one around her made it . So you can imagine the party. I once dated the girl so I know

Now it’s a new trend . Money over anything . make it with your level or above your level .na Life has No chance of mistakes .
We men are now smarter than ever , beauty doesn't cut it Any more .

If you have a daughter, please do counseling mapema she should hold the right place .


Note : all my friends wapo educated enough , rich enough , they all went for more

Over and out 🫠
 
Back
Top Bottom