Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Je Starlink inakaa ndani? Ni Dishi linakaa juu ya bati, so kusema Router inakaa nje ndio upate network sio Excuse ya kuhalalisha.Asee sababu kubwa starlink inashika kila mahali ila hio mitandao ya simu nikanjanja sana asee mfano mimi natumia ya voda nikienda bagamoyo no network inakua aifanyi kazi kabisa.. tuachane na hilo dar hapa hapa kuna mahali nilipanga hakuna mtandao kabisa yanj mpka utoke nje au utegeshetegeshe router ndo upate mtandao hivo naweza sema internet bora kabisa ni fibre tu ila si haya makampuni ya simu.
1. Labda kama walibadilisha tena kuna mnaija mmoja alitoa uthibitisho wa kuvuka, alifika 6TB, ila sjajua sana.1. Starlink sio Unlimited, 1TB kuimaliza sio issue kwa hio speed hasa kama mpo 6 baada ya hapo speed inashushwa sana
2. Hio 200mbps ni business package ndio ina guarantee ambayo Bei yake ni Laki 3 ama zaidi kutokana na Eneo, ila speed ya kawaida ni as low as 40mbps ama Chini ya hapo, Atleast Kenya.
3. Kuna upload speed na ping ambazo sio nzuri, Kenya ping ni 100ms ama zaidi most of time, mkiwa 6 hio speed inakaribia 2G maana 3G nzuri kama Voda na Halotel Hadi 30ms zinafika.
4. Hapo Bado Mvua na Hali ya Mawingu Tegemea service outage.
tatizo ni ubora wa hudumaHabari wadau.
Binafsi nawashangaa sana watu wanaolalamikia kwa nini star link haipo ?
Chief-Mkwawa amelinganisha vizuri kuhusu bei za internet ya starlink vs bei za ISP wa bongo
bei za unlimited bongo now Airtel 70,000, TTCL 55,000, Vodacom 120,000, Zuku 69,000, Raha 50,000, Netsolution, 60,000, Tigo 70,000 etc je hizi bei sio rafiki ila Starlink ambayo Gharama za Manunuzi ni zaidi ya Milioni na bei ya mwezi ni 100,000-240,000 basic na zaidi ya laki 3 kwa Unlimited speed Business je ni rafiki bei zao?
Nimejitahidi sanaa kuelimisha wa tanzania ila hawaelewiii wabishi satellite sio kwa watqnzania masikini .....pia hutumika mbugani au vitani tanzania full coverage za mitandao ya simu hivyo hatuwezi pia gharama ziko juu sanaa hakuna wa tz wataweza watu wanaropoka tu dola 70 hadi 100 kila mwezi wataweza ??Habari wadau.
Binafsi nawashangaa sana watu wanaolalamikia kwa nini star link haipo ?
Chief-Mkwawa amelinganisha vizuri kuhusu bei za internet ya starlink vs bei za ISP wa bongo
bei za unlimited bongo now Airtel 70,000, TTCL 55,000, Vodacom 120,000, Zuku 69,000, Raha 50,000, Netsolution, 60,000, Tigo 70,000 etc je hizi bei sio rafiki ila Starlink ambayo Gharama za Manunuzi ni zaidi ya Milioni na bei ya mwezi ni 100,000-240,000 basic na zaidi ya laki 3 kwa Unlimited speed Business je ni rafiki bei zao?
Mkuu TTCL yangu ya copper 4mbps in theory kwa mwezi 1.2-1.3TB. so kama speed inashuka after 1TB still it's possible kufikisha 6TB, assume unapata 10mbps after speed kudrop kwa mtu mmoja ama wawili watatu sio mbaya ila watu 6 kuendelea itakua speed ndogo sana.1. Labda kama walibadilisha tena kuna mnaija mmoja alitoa uthibitisho wa kuvuka, alifika 6TB, ila sjajua sana.
2.Kwa video niliyoiona youtube channel ya Nigeria pia walikua wanapata 230mbps kwa 43$, kama wanepandisha pia sijafatilia sana.
3. Mengine inaweza kua kweli ila nimeskia kuna mijadala mahala kwamba ana ongeza satellite so wenda kwa issue ya kenya na ukanda wetu mambo yaka kaa sawa soon.
Kwa hiyo kama Voda na Airtel na hao watu wengine wanazo basi haitakiwi taasisi nyingine kuingia? Huwezi jua fupi, kama kila siku wapita njia ileile.Habari wadau.
Binafsi nawashangaa sana watu wanaolalamikia kwa nini star link haipo ?
Chief-Mkwawa amelinganisha vizuri kuhusu bei za internet ya starlink vs bei za ISP wa bongo
bei za unlimited bongo now Airtel 70,000, TTCL 55,000, Vodacom 120,000, Zuku 69,000, Raha 50,000, Netsolution, 60,000, Tigo 70,000 etc je hizi bei sio rafiki ila Starlink ambayo Gharama za Manunuzi ni zaidi ya Milioni na bei ya mwezi ni 100,000-240,000 basic na zaidi ya laki 3 kwa Unlimited speed Business je ni rafiki bei zao?
Nimekupata loud and clear mkuu.Mkuu TTCL yangu ya copper 4mbps in theory kwa mwezi 1.2-1.3TB. so kama speed inashuka after 1TB still it's possible kufikisha 6TB, assume unapata 10mbps after speed kudrop kwa mtu mmoja ama wawili watatu sio mbaya ila watu 6 kuendelea itakua speed ndogo sana.
Hio 230mbps ni pale inaanza unakuta Satellite nzima upo mwenyewe, hii internet ni shared the more mnavyoongezeka the more speed inashuka, unlike fiber ambayo waya mmoja unaenda Hadi 10Gbps. Mfano hii Airtel wqliyozindua juzi 5G unlimited backbone yake ni 180 Terabyte per second, kuijaza hio ni kama watu Milioni 10 Kila mtu awe online kwa speed ya 10-20mbps.
Kwa Kenya kifurushi Cha kawaida ni 25-100mbps download na 10mbps upload ila most of time unacheza around hio 40mbps. Ukitaka speed ya 200mbps kupanda ni business package.
Yes hata Mimi nimesikia Wana mpango wa kuongeza satellite satellite Ukanda wetu by mwezi wa 6 mwaka huu.
Jinsi ya kujiunga unlimited pleaseKwamba kina Airtel 70,000, TTCL 55,000, Vodacom 120,000, Zuku 69,000, Raha 50,000, Netsolution, 60,000, Tigo 70,000 etc bei sio rafiki ila Starlink ambayo Gharama za Manunuzi ni zaidi ya Milioni na bei ya mwezi ni 100,000-240,000 basic na zaidi ya laki 3 kwa Unlimited speed Business ni rafiki bei zao?
Mbona kuna app nyingi play store za kusngalia mpira azam tv?? Au unatumia High PhoneMsaada wakuu mimi niko na shida ya kuangalia mpira ligi ya bongo nina smartphone ina bando mchawi ni account ya azamTv max yangu kifurushi kimeisha sasa hapa usawa haukabi kwa mwenyewe azamTv decoder ambae hatumii kweny cm au hata anaetumia anisaidie ni angalie hata kwa leo tu wajameni.. Au aje tubadilishane anipe ya azamTv mimi nimpe ya Dstv.. Asante, Dm tafadhari.
Watu wanaongelea unlimited internet, hayo ya buku 1 buku mbili yanakujaje tena.Starlink ni bei ghali na ina urasimu kuipata. Ni watanzania wachache wanaoweza kumudu gharama za Starlink. Ikumbukwe Starlink hawana mabando ya buku au buku 2. Wao ni kuanzia zaidi ya laki 1 kwa mwezi. Anachofaidi mwenye starlink ni kasi ya internet na kupatikana popote.
Angalia location Yako kwanza kama ina fiber iwe priority ni fiber, katikati ya jiji na Maeneo kama mbezi Makampuni kama Zuku yapo, Maeneo kama Sinza nasikia Kuna Fiber ya Vodacom na Kuna provider wengine local maeneo tofauti. Kama fiber ipo ukiwapigia wanakuja, kama umehakiki fiber ya Kampuni Fulani ipo ukipost hapa utapewa contact za kupiga.Jinsi ya kujiunga unlimited please
Zipi hizo mkuu zinazoonesha mpira wa tz? Nitajie.Mbona kuna app nyingi play store za kusngalia mpira azam tv?? Au unatumia High Phone
Kuna halotel special wanaoption ya 15K Kwa Gb 18. Kwa sisi uchumi wa katiHabari wadau.
Binafsi nawashangaa sana watu wanaolalamikia kwa nini star link haipo?
Chief-Mkwawa amelinganisha vizuri kuhusu bei za internet ya starlink vs bei za ISP wa bongo.
Bei za unlimited bongo now Airtel 70,000, TTCL 55,000, Vodacom 120,000, Zuku 69,000, Raha 50,000, Netsolution, 60,000, Tigo 70,000 etc. Je hizi bei sio rafiki ila Starlink ambayo Gharama za Manunuzi ni zaidi ya Milioni na bei ya mwezi ni 100,000-240,000 basic na zaidi ya laki 3 kwa Unlimited speed Business. Je ni rafiki bei zao?