Watu wanaolalamikia internet kufosi Starlink mbona Voda, airtel wana unlimited nzuri kwa 120,000 tu kwa mwezi

Watu wanaolalamikia internet kufosi Starlink mbona Voda, airtel wana unlimited nzuri kwa 120,000 tu kwa mwezi

Yaani ni aheri starlink iwepo walioithinisha starlink sio kwamba hawana akili. Binafsi hata wangesema kwa mwezi laki 5. Tunaweza kuji-adjust kuendana na uchumi huo na kizuri zaidi ni non-contract business ukiwa nayo sawa isipokuwepo sawa.
Kuna vijana katika clubs zao wanaweza wakajiunga na wakawa wanafanya business zao na maisha yanaenda.
Masuala ya kusema ni ghali, jua umezeeka na upo nje ya mfumo wa uchumi wa sasa.
Makampuni yaliyopo 100Mbps ni karibu laki nne kwa mwezi. TTCL ndio ingekuwa mkombozi wetu lakini wamejifungia wanakula mishahara hawawazi mfumo bora wa kiushindani na kutanua biashara.
Binafsi niliomba ninunue mimi cable za fiber ndio waniunge waligoma katakata wanataka ununue kwao afu km 5 milion 20
Nani anauza 100mbps laki 4? Kampuni karibia zote 100mbps ni around laki 2.

-Zuku 100mbps ni 250,000
-Ttcl 100mbps ni 200,000
-Raha 100mbps ni 250,000 (80mbps 125,000)
- Vodacom 100mbps 250,000 (200mbps fiber)
-Airtel 100mbps 200,000
-Tigo 100mbps 200,000
-gofiber 100mbps 200,000 etc.

Na hizo karibia zote ni 100mbps download na upload.
 
Habari wadau.

Binafsi nawashangaa sana watu wanaolalamikia kwa nini star link haipo?

Chief-Mkwawa amelinganisha vizuri kuhusu bei za internet ya starlink vs bei za ISP wa bongo.

Bei za unlimited bongo now Airtel 70,000, TTCL 55,000, Vodacom 120,000, Zuku 69,000, Raha 50,000, Netsolution, 60,000, Tigo 70,000 etc. Je hizi bei sio rafiki ila Starlink ambayo Gharama za Manunuzi ni zaidi ya Milioni na bei ya mwezi ni 100,000-240,000 basic na zaidi ya laki 3 kwa Unlimited speed Business. Je ni rafiki bei zao?

Wewe una uwezo wa kulipia hizo internet za kina Voda, Tigo n.k

Wapo watu hawana uwezo kabisa wa kulipia internet za Tigo, Voda etc, wala hawapigi kelele wewe mwenye uwezo ubaniwe huduma kwa kuwa una uwezo wa kulipia...

Wapo watu wengine wana uwezo wa kulipia internet ya Starlink, ni haki yao kutaka kitu bora hata kama wengine wanaona bei za huduma zipo juu...

Hili ni soko lenye uchumi huria, mwenye uwezo afanye kwa kadiri ya uwezo wake, kuna watu wana magari ya cc660 na wengine 4000+ na wote tunajaza mafuta kwenye vituo vilevile na kutembea barabara zilezile...

By the way baadhi ya hao ISP umewataja huduma zao za internet zipo mijini, na hata kwa Dar bado kuna maeneo hawafiki...

Huduma za Tigo, Airtel n.k nazo zipo na drawbacks kadha wa kadha, issue ya connectivity, availability na throughput bado havipo stable...Hawa ili wapatikane kwa same quality mwaka mzima kuna factors kibao kwa sababu wanaendesha networks zao kupitia operations ambazo ni manual wakitegemea engineers, kusitokee fiber cuts, kusiwe na microwave fading, sites ziwe na power muda wote, kusiwe na framelosses n.k
 
Habari wadau.

Binafsi nawashangaa sana watu wanaolalamikia kwa nini star link haipo?

Chief-Mkwawa amelinganisha vizuri kuhusu bei za internet ya starlink vs bei za ISP wa bongo.

Bei za unlimited bongo now Airtel 70,000, TTCL 55,000, Vodacom 120,000, Zuku 69,000, Raha 50,000, Netsolution, 60,000, Tigo 70,000 etc. Je hizi bei sio rafiki ila Starlink ambayo Gharama za Manunuzi ni zaidi ya Milioni na bei ya mwezi ni 100,000-240,000 basic na zaidi ya laki 3 kwa Unlimited speed Business. Je ni rafiki bei zao?
Wanalalamikia bei kulinganisha na ubora wa huduma au wanalinganisha ubovu wa huduma na bei?

Acha Starlink waje tutachagua.

BTW. Gharama kubwa kwako ni rahisi kwa mwingine.
 
Mimi nawaelewa sn ISP wengi nichangamoto nje ya mji,mm Kwa utumiaji wa hawa isp,nje ya mji weka Ttcl nyumbani kwako and town tumia unaofika vzr eneo lako,
 
MKATA KIU ,spingi wazo lako, na walasikubaliani nalo. Kwa sababu:
-uhitaji wa kasi ya internet,hutegemea pia na matumizi yake. Watu wa kawaida wenye uhitaji wa constant 2Mbps+, ni wangapi?
-Mpaka internet inakufikia, ni njia ndefu. Muuzaji nae anaangalia na wateja na mahitaji yao. Kuanzia vifaa mpaka miundo mbinu,na huku anahitaji faida.

-Hata hawa Voda, Airtel,.......wakiamua mbona kila aina ya bando unalotaka utapata? Kila muuzaji alielenga faida,anatumia vitu vijulikanavyo kama Bandwidth management tools. Kazi yake,ni kupunguza kasi ya intanet pale unapotumia. Kwa nchi zetu hizi,maji ya shida,umeme wa shida,unategemea faida wao wataipata wapi,kama kuendesha mitambo yao wanahitaji dizeli? Unakuta unauziwa intanet kwa kiwango cha 5Mbps. Hii,ni kubwa mno ukiipata. Ila sasa,ukienda kwenye matumizi,unajikuta unapata 125kbps. Ndo maana utakuta watu wanalalamika,kwamba, amelipia bando kubwa,na hawezi kufanya chochote.
Starlink,kama mtu anaejiweza,hana shida sana na hizo buku buku zetu. Kitakachoingia,ataongezea tu.
Ndo ujue tofauti ya biashara ya kizungu na ya kibongo.
Kwa sababu,hata hawa Voda,na wengineo,hununua na kutuuzia tena.
Starlink,anauza mwenyewe hahitaji madalali.

Kwa hiyo,uwepo wa Starlink,unaweza tu kuongeza ushindani, ila kwenye huduma bora,wasipotaka faida kubwa,au mazoea kwamba watumie tu hivo hivo, spidi inatosha.

Kwenye swala la mtandao, ni uzembe tu.
Wakiamua, taifa lote linaweza kuwa na mitambo ya kusambaza mtandao kila sehemu.
Nchi moja jirani,iliwekeza kwenye 4G, ikawa na kampuni inayouza hiyo internet tu. Yaani simcard ni kwa ajili ya internet(hupigi wala kupokea,sms hamna). Japo gharama pia za 4G zipo juu kidogo,ila kwenye swala la mtandao,walijitahidi. Sehemu ambayo huwezi kupiga na kupokea simu ya kawaida,internet unapata.

Kwa hiyo,tatizo tu ni wenye mitandao kutojali; japo kama nilivyosema hapo juu,kuna maeneo wakiona faida ni sufuri,hawajali atakujaga kukaa mwenye simu kubwa au laptop, na akiwepo,akiwa na uhitaji,wanamuwekea vidude vyao vya kumpa mtandao,ila kama gharama haziwezi,hana namna.

Kwa hiyo, Starlink si suruhisho,kwa upande mmoja, ila ni sababu ha kuongeza ufanisi na ushindani. Waliokataa uwepo wake,pengine 10% zao ni kubwa kwa wanaoendelea kwa sasa,na yeye ujanja ujanja hana na hawezi toa huo ujinga. Briefly, Afrika, njaa tu
 
Nani amekwambia watanzania wanaotaka starlink wana shida ya pesa au wanatafuta cheap internet?

Watu wanataka mtandao wenye speed, standard and reliable popote pale wanapotumia internet. Haya makampuni yetu ya sasa hayana hizo sifa, lakini starlink wana hizo sifa.
 
Mzee ile Starlink ni konyo..Wewe uko town ila kuna maeneo hapa TZ ni Town au nje ya mji kidogo tu ila Network ni taabu sana kuipata kwa Mitandao yetu hii...Ila Starlink ni Mwisho wa Matatizo inanasa mpaka Vijijini na Vitongoji vyooote Dunia hii...

Unlimited za mitandao yetu unapata sijui 20mbps ikizidi sana 90mbps labda Usiku ndo inafika 100+ ila Starlink mchana tu inagonga 200mbps hapo ndo iko vibaya sana


UNLIMITED zetu mkiunganishwa watu 10+ tu inapata wenge na kuslowdown ILA Starlink inauwezo wa Kuimili watu 200+ na wote mkapata network ya kasi

Itoshe kusema Huwezi kufananisha Starlink na Network ya Voda,Airtel n.k Elon Mushi kafanya mapinduzi makubwa sanaa
Ongezea, Starlink package kubwa, inaserve watu hadi 5000. Japo speed ya kudownload ni 20-50Mbps
 
Habari wadau.

Binafsi nawashangaa sana watu wanaolalamikia kwa nini star link haipo?

Chief-Mkwawa amelinganisha vizuri kuhusu bei za internet ya starlink vs bei za ISP wa bongo.

Bei za unlimited bongo now Airtel 70,000, TTCL 55,000, Vodacom 120,000, Zuku 69,000, Raha 50,000, Netsolution, 60,000, Tigo 70,000 etc. Je hizi bei sio rafiki ila Starlink ambayo Gharama za Manunuzi ni zaidi ya Milioni na bei ya mwezi ni 100,000-240,000 basic na zaidi ya laki 3 kwa Unlimited speed Business. Je ni rafiki bei zao?

====

Pia soma: Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania
Kuna swala la Coverage na speed haujalizingatia. Star link unaweza itumia hata ukiwa jangwani. Hizo umetaja hapo zina limit ya speed, bundles, limit ya location na kadhalika.

So don't compare the incomparable.
 
Mkonga wa Taifa is a single point of failure.
Haiwezekani mkonga ukate almost watanzania wote tukose mtandao.
Wadau wengine wana bread win kwa kutumia internet then inatokea siku tatu internet iko super slow.
Natambua hii ni mara chache kutokea, ila hili la juzi limetufundisha mengi.
 
Mkonga wa Taifa is a single point of failure.
Haiwezekani mkonga ukate almost watanzania wote tukose mtandao.
Wadau wengine wana bread win kwa kutumia internet then inatokea siku tatu internet iko super slow.
Natambua hii ni mara chache kutokea, ila hili la juzi limetufundisha mengi.
Mkonga wa Taifa has nothing to do na kilichotokea, Mkonga wa Taifa ni Fiber zetu hapa hapa Tanzania na waya zilizokatika ni msumbiji kwenda South Africa. Hata kungekua na mikonga 100 hapa nchini yote ingekata internet as long as route za isp zote zinapitia south.

Ingekua mwanza internet imekata dar ipo ungelaumu mkonga
 
Mkonga wa Taifa has nothing to do na kilichotokea, Mkonga wa Taifa ni Fiber zetu hapa hapa Tanzania na waya zilizokatika ni msumbiji kwenda South Africa. Hata kungekua na mikonga 100 hapa nchini yote ingekata internet as long as route za isp zote zinapitia south.

Ingekua mwanza internet imekata dar ipo ungelaumu mkonga
Kwa kuongezea hapa,Africa tuna international route 3
1: Tz<kenya>Djibouti<>Egypt to Europe .
2:TZ <>KE<> India then france
3:Tz <> moz/mauritius <>SA <> west African to EU
Tz ilipokosa mtandao,no1 &3 zilikua simekatika and ndio ISP wengi wa tz wanazotumia so wkt tupo down wakaaza hamisha huduma kupitia India na hio lazima uingee na nchi jirani ya Kenya wakuruhusu kwakua kuna kusaini mikataba upya ndio mana ilichukua muda
Option inayotakiwa ni kua na satellite za mtandao ili ardhini wakikata unapitia anga and mpk sasa hii option hakuna.
 
Kwa kuongezea hapa,Africa tuna international route 3
1: Tz<kenya>Djibouti<>Egypt to Europe .
2:TZ <>KE<> India then france
3:Tz <> moz/mauritius <>SA <> west African to EU
Tz ilipokosa mtandao,no1 &3 zilikua simekatika and ndio ISP wengi wa tz wanazotumia so wkt tupo down wakaaza hamisha huduma kupitia India na hio lazima uingee na nchi jirani ya Kenya wakuruhusu kwakua kuna kusaini mikataba upya ndio mana ilichukua muda
Option inayotakiwa ni kua na satellite za mtandao ili ardhini wakikata unapitia anga and mpk sasa hii option hakuna.
Satelite zipo nyingi tu, kabla ya Fiber na mitandao ya simu watu walitumia Satelite na mpaka sasa zipo, Tatizo ni ukitoa Low Orbit satelite kama Starlink, satelite za mbali ni Gharama na zina ping kubwa.

Mfano hawa Konect wanaojitangaza kila siku humu ni satelite pia.
 
Mzee ile Starlink ni konyo..Wewe uko town ila kuna maeneo hapa TZ ni Town au nje ya mji kidogo tu ila Network ni taabu sana kuipata kwa Mitandao yetu hii...Ila Starlink ni Mwisho wa Matatizo inanasa mpaka Vijijini na Vitongoji vyooote Dunia hii...

Unlimited za mitandao yetu unapata sijui 20mbps ikizidi sana 90mbps labda Usiku ndo inafika 100+ ila Starlink mchana tu inagonga 200mbps hapo ndo iko vibaya sana


UNLIMITED zetu mkiunganishwa watu 10+ tu inapata wenge na kuslowdown ILA Starlink inauwezo wa Kuimili watu 200+ na wote mkapata network ya kasi

Itoshe kusema Huwezi kufananisha Starlink na Network ya Voda,Airtel n.k Elon Mushi kafanya mapinduzi makubwa sanaa
Na huu ndo ukweli halisi.
 
Angalia location Yako kwanza kama ina fiber iwe priority ni fiber, katikati ya jiji na Maeneo kama mbezi Makampuni kama Zuku yapo, Maeneo kama Sinza nasikia Kuna Fiber ya Vodacom na Kuna provider wengine local maeneo tofauti. Kama fiber ipo ukiwapigia wanakuja, kama umehakiki fiber ya Kampuni Fulani ipo ukipost hapa utapewa contact za kupiga.

Ukikosa fiber ni 4G/5G hizi unaenda mTandao husika,
-Airtel wanahitaji 270,000 ambayo laki 2 ni Bei ya router na 70,000 mwezi wa kwanza, Ama kama una Tin na leseni zipo package za biashara ambazo wanakupa Router Bure na unalipia kwa mwezi 110,000.

-Tigo wanataka 650,000 ya router na Kila mwezi unalipa 70,000

-voda wanaanzia 120,000 ila wanahitaji Tin na kitambulisho.

TTCL wao wanaanzia 25,000 tu kwa copper na 55,000 kwa fiber ila ni pasua kichwa.
TTCL labda mijini
 
Mkonga wa Taifa has nothing to do na kilichotokea, Mkonga wa Taifa ni Fiber zetu hapa hapa Tanzania na waya zilizokatika ni msumbiji kwenda South Africa. Hata kungekua na mikonga 100 hapa nchini yote ingekata internet as long as route za isp zote zinapitia south.

Ingekua mwanza internet imekata dar ipo ungelaumu mkonga
Ni mkongo wa taifa
 
Back
Top Bottom