Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
likes tu vingine mchoyovyote unagawa kama pipi au likes tu ??
naomba nifanye maombi ya mnyororo hapana aisee .. nyie faidini na likes tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] ntafunga na kuomba huo ukarimu wa likes uhamie kwenye pesa
Mambo gani hayaaa sasalikes tu vingine mchoyo
Nina id Moja tu nayotumia nayo n hiimamaafacebook hii nayo ni ID yako pia?
ya kichoyo choyo zoea tuMambo gani hayaaa sasa
Muulize atakwambiaMmmh mi kwangu mageni haya
hv yule mamaafacebook wa miaka ile ndiyo wewe ama we mpyaNina id Moja tu nayotumia nayo n hii
Nitamuuliza kama kweliMuulize atakwambia
Yeah am back ndio mana nikaipa IIhv yule mamaafacebook wa miaka ile ndiyo wewe ama we mpya
afadhali nimekuona,unakumbuka mara ya mwisho tuliongea nnYeah am back ndio mana nikaipa II
Aseee skumbukiafadhali nimekuona,unakumbuka mara ya mwisho tuliongea nn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lol DJ umemsahau my love wangu piaWanaotoa likes ambao hujawaorodhesha hapo.
*geniveros
*miss chagga
*Atug
*Supermarket
*Iceman 3D
*Zamiluni zamiluni
*Hance mtanashati
*Bonny
*jje's
*me too
*daby
*mamaafacebook
*scorpio me
*sakaya
*Shunie narudia kumtaja
Hawa jamaa[emoji115] hawana kinyongo asee, kama kitu kidogo kama kumpa mtu like kinakushinda basi
1.unajiona superstar maarufu
2.una roho mbaya
3.unajishtukia labda unahisi ataona anakutaka yani like=love.
***kumgongea mtu likes mara kwa mara kunaongeza urafiki, upendo na undugu.
Yule anakupa likes wewe tu baby wake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lol DJ umemsahau my love wangu pia