Watu wanaoongoza kwa kuchukiwa humu JF

Aisee
 
Chizi Maarifa ana sura la kutisha na makovu kama yote mwilini. Hana kuremba.... Anatema mate huku anafukia kule....
 
Ndugu Yangu Wapi Huko Ulikiwasha?
Aaargh nlikiwasha siku hiyo watu walitafutana kinyama.... Mtaani. Hata humu JF mugaka nlimvuruga sana akavurugika akachuka kinyama. Akawa hoi hawezi kukaa wala kusimama. Chapa nao sana.... Akasema basi yeshe... Ndo nikamwambia awe makini sana. Nisije nikamrudia tena kumfanya kitu kibaya...
 
Mmmh......
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].Mjomba Gwaji anasema hujawakopesha.
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa mie kuchukiwa mbona sio shida zangu?
 
Reactions: EEX
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…