Watu wanaosema tunamrudishia Rais mchakato wa Katiba wanachangamsha Genge

Hapa hakuna suala la uelewa bali nimehoji wa Zitto.
Ili mtu kumwelewa Zitto ni lazima kwanza uwe na kiwango fulani cha uelewa!. Issue ya kumwamini mtu au kutomwamini ni very tricky, kwasababu huko ZZK anakoripoti, pia hao unao waamini nao wanaripoti pia!, the payroll is big and huge!, no one can tell for sure who is who!.
P
 
Fumbo la Imani hili
 
Usifananishe mbingu na nchi!. Zitto is a statesman, ana all signs za statemanship!.
P
 
Zitto anasema KATIBA yetu na Kikosi Kazi havikatazi Mikutano ya Hadhara sasa Nani kakataza Wakati KATIBA haikatazi?
 
Mr Pascal Mayalla may be, you're right...

Lakini kwangu mimi, nasema HAPANA KUBWA..

I know Zitto Kabwe to some extent...

Lakini he's not the best substitute ever compared na wale wengine walio nje ya serikali a.k.a wapinzani...

Let's be honest ingalau kwa dakika moja kwa kujibu swali hili...

Hebu ndugu Pascal Mayalla toa mapenzi yako binafsi (personal interests) kwa yeyote kati ya hawa wapinzani wawili, yaani Zito Kabwe na Tundu Lissu...

Kisha mchuke Zito Kabwe upande huu na kisha mchukue Tundu Lissu mweke upande ule. Then take a deep breath. Think very carefully...

Kisha waambie watu nani aweza kufaa kuwa kiongozi mkuu wa nchi hii iwapo tungepaswa kufanya maamuzi sasa au jana...?

I know exactly that both of them are human beings...

And therefore both of them have strengths and weaknesses ktk eneo fulani...

But, remember that, from the strengths and weaknesses, we get the BEST....

Kwa hiyo, hebu watazame hao watu wawili, kwa kutumia vigezo hivi tu vichache, then make your choice...

✓ Uaminifu na ukweli...
✓ Upendo kwa wengine/asiye na ubinafsi..
✓ Ujasiri wa kukabiliana na changamoto ..
✓ Ufahamu na uelewa mambo ya kisiasa, kisheria, diplomasia ya kimataifa na kiuchumi..
✓ Patriotism (aliye tayari kufa kutetea ukweli juu ya taifa lake)
✓Ushirikishaji ktk kufanya maamuzi nk nk..

Sasa tumia vigezo hivyo tu kufanya maamuzi yako ya nani ni bora zaidi ya mwenzake...

Nakuhakikishia kuwa, kama ukiamua kuitendea haki nafsi yako, utapata jibu kuwa Tundu Lissu is far more better than Zito Kabwe...

Don't think that I hate Zito Kabwe. No, I don't...
 
Kikosi kazi chini ya wachumia tumbo kina zitto! Siasa biashara nchi bado inasafari ndefu sana!
 
Nami nimebahatika kuwasikiliza vizuri,ni wajuvi wa kutetea hoja zao vizuri.

Katika mazungumzo yao,ni kama wanasisitiza mambo karibia yote Nchi hii yaongozwe kwa sheria,kwa lengo la kutoruhusu utashi binafsi wa kiongozi.

Wanachosahau hata wao kikosi chao,kiliundwa kwa utashi binasfi wa mtu mmoja tu.hakijaundwa kwa sheria yoyote.kwa hiyo mtu akisema kilikuwa kikosi kisichokuwa chini ya sheria yoyote,na kula pesa tu hatakosea.
Yani aliyekiunda kile kikosi akiamua yale maoni ya kikosi yakatupwe jalalani,hatakuwa amevunja sheria yoyote.
Nadhani ndiyo sababu aliwaambia mapendekezo yao siyo amri
 
Haya ni baadhi ya mapendekezo ya Kikosi Kazi.

1. Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wateuliwe na Raisi [ mwenyekiti wa Ccm.]

2. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uendeshwe na kusimamiwa na Tamisemi / Ofisi ya Raisi [ mwenyekiti wa Ccm ].

3. Watumishi wa umma [ makada wa Ccm ] waendelee kusimamia Uchaguzi wa Raisi, Madiwani, na Wabunge.

Kwa mapendekezo hayo matatu utaona kabisa kwamba Kikosi Kazi ni ujanja-ujanja na kupotezeana muda.
 
Kikosi cha kula ubwabwa tu hicho n aliyekiweka anaweza kukipiga chini tu
 
Huu ndio utumbo waliopendekeza?🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…