Ccm ukiona wanakupenda basi ujue wewe huna thamani kwenye demokrasia yetu.Kiukweli tushukuru sana Mungu, kuna watu waligombea urais, kama wangepata, by now taifa letu lingeisha sambaratika!. ZZK ndie mpinzani pekee ambaye kwa sasa anaweza kuwa rais wa JMT na tukabaki salama, intact.
P
Naunga mkono hoja.Hapa hakuna suala la uelewa bali nimehoji wa Zitto.
Zitto kama Zitto hana uwezo wa kuliunganisha taifa, hana uwezo wa kuongoza taifa huyu kwa vigezo vyote ni mwanasiasa nja.
Heheee kile kikosi wanajichekesha wenyewe.Kile siyo "Kikosi Kazi" bali ni "Kikosi mtu". Kikosi mtu kinafanya kwa maslahi ya mtu (yule aliyekiunda). Na ndiyo maana hakina back up ya kisheria wala kikatiba. Kipo kipo tu.
Alafu wao wanasema wamefurahi kulitumikia Taifa lao...Kikosi cha kula ubwabwa tu hicho n aliyekiweka anaweza kukipiga chini tu
HeheeheAlafu wao wanasema wamefurahi kulitumikia Taifa lao...
Kawe nilipata kura moko, tena kwa ndembe ndembe, EALA nilizungusha!.Ccm ukiona wanakupenda basi ujue wewe huna thamani kwenye demokrasia yetu.
Hivi Pascal ulipata Kura ngapi?
Wewe ni mtabiri??? Kikwete aliwahi kusema maneno kama yako akiwa anaaga Kenya lkn kikichofuata wote tunajua.Kiukweli tushukuru sana Mungu, kuna watu waligombea urais, kama wangepata, by now taifa letu lingeisha sambaratika!. ZZK ndie mpinzani pekee ambaye kwa sasa anaweza kuwa rais wa JMT na tukabaki salama, intact.
P
Huna akili! Zwazwa la CHADEMA! Mnamchukia Zitto lakini ukweli ni kwamba pamoja na mapungufu yake yote lakini Kwa sasa CHADEMA haina kabisa brain ya kariba ya Zitto Kabwe!Hapa hakuna suala la uelewa bali nimehoji wa Zitto.
Zitto kama Zitto hana uwezo wa kuliunganisha taifa, hana uwezo wa kuongoza taifa huyu kwa vigezo vyote ni mwanasiasa nja.
Huna akili! Zwazwa la CHADEMA! Mnamchukia Zitto lakini ukweli ni kwamba pamoja na mapungufu yake yote lakini Kwa sasa CHADEMA haina kabisa brain ya kariba ya Zitto Kabwe!
Sasa kama kikosi kazi unaona hakifai unafuatilia Cha nini?Zitto ana brain gani?. Angekuwa na brain asingeingia kwenye hicho kikosi kazi Cha mchongo.
Masikini pascal Mayalla, kwa bahati mbaya sana hakuna mlevi anayekiri kuwa yeye ni mlevi. Siku akikiri kwamba ni mlevi, yuko mbioni kuacha ulevi.Kiukweli kiwango cha uelewa wa mambo makubwa kwa Watanzania wengi ni mdogo, hivyo hauko peke yako wengi wenye avarage understanding, wako kama wewe, kati ya wapinzani wote waliopo sasa, Zitto ndio the one and only capable kuwa rais wa JMT na nchi ikabaki salama!. Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...
P
Mkuu Fumadilu Kalimanzila, hiki unachowaambia ni ukweli mchungu. Chadema hawezi kukubali walifanya makosa sana kupoteza zile think tanks zake mbili, Zitto na Kitila.Huna akili! Zwazwa la CHADEMA! Mnamchukia Zitto lakini ukweli ni kwamba pamoja na mapungufu yake yote lakini Kwa sasa CHADEMA haina kabisa brain ya kariba ya Zitto Kabwe!
Yaani hii tabia ya kususasusa itakuja kuwagharimu, mwanaume lazima usimame kidete kutetea kile unachoona kinafaa siyo kukimbia na kuanza kuchungulia
Mkuu Fumadilu Kalimanzila, hiki unachowaambia ni ukweli mchungu. Chadema hawezi kukubali walifanya makosa sana kupoteza zile think tanks zake mbili, Zitto na Kitila.
Kuna baadhi ya maeneo, mafanikio yabapatikana kwa team work, ili mfungaji bora afunge mabao, anahitaji watu wa kumletea mipira. JJMyika is another best brain in Chadema, tatizo he is alone, hana watu wa kumletea mipira, hivyo Chadema kuonekana kama wote waliobaki, ni empty shells.
P
Kwe team work kuna baadhi ni wazuri eneo fulani tuu, mfano strikers, defence, goal scores, goal keeper na sharp shooters, ila kunabaadhi ni all rounders ukimuweka popote ana fit, Zitto ni all rounder, anacheza nyuma, kati na mbele na kupiga bao.Huyo Kitila aliondoka huko ACT, je Zito atafungaje wakati wa kumletea mipira kaondoka? Mahaba niue nayo ni tatizo la aina yake.
Naunga mkono hoja.Masikini pascal Mayalla, kwa bahati mbaya sana hakuna mlevi anayekiri kuwa yeye ni mlevi. Siku akikiri kwamba ni mlevi, yuko mbioni kuacha ulevi.
Zamani ndio ilikuwa ukipanda mchicha unavuna mchicha, lakini sasa with maendeleo ya sayansi na teknolojia ya modern germination unapanda mchicha unavuna nyanya.Mimi ni moja katika wale wanaoamini ukipanda mchicha unavuna mchicha. Wewe ni moja katika watu wako tayari kushawishika unaweza kuvuna nyanya.
Duh...!.Nilipojiunga na JF niligundua toka mapema wewe ni mtu wa namna gani kwa maneno na matendo. You run with the hare and hunt with the hounds!
Wewe na Zitto mnaendana na hivyo sishangai hata kidogo kwa msimamo ulioutoa hapo juu. Unampenda Zitto na hivyo endelea kunywa naye chai.
Kiukweli mimi sio extra ordinary but just above the avarage. Zitto nimemfuatilia siku nyingi na hadi kujua ni kwanini manazi wa chama fulani, wanaweweseka sana kila wakisikia jina la Zitto!. Urais wa ZZK 2015 Kupitia Chadema: Kwa nini Wanatetemeka!, Kuweweseka! na Kutishika?!.Endelea kujiaminisha kwamba uelewa wako ni extraordinary, yawezekana imani hiyo itakuwezesha kuvuna nyanya baada ya kupanda mchicha!
Paskali usipooze mpira tell CHADEMA the bitter truth that they are not only empty shell but also disgrace to this Nation!Mkuu Fumadilu Kalimanzila, hiki unachowaambia ni ukweli mchungu. Chadema hawezi kukubali walifanya makosa sana kupoteza zile think tanks zake mbili, Zitto na Kitila.
Kuna baadhi ya maeneo, mafanikio yanapatikana kwa a good team work, ili mfungaji bora afunge mabao, anahitaji watu wa kumpelekea mipira.
Chadema bado ina few good brains akiwemo JJMyika, Heche, Mdee, Bulaya etc, ila haina wachezaji wa links nao is , hivyo Chadema kuonekana kama wote waliobaki, ni empty shells, wakati they are not!.
P
Mimi nina swali moja tu;Mjumbe wa Kikosi Kazi cha Prof. Mukandala Mhe. Zitto Kabwe yuko mubashara kipindi cha Kipima Joto ITV.
SWALI: Ripoti ya Kikosi Kazi kuhusu Demokrasia ya Vyama Vingi. Je, imejibu matarajio ya wananchi?
Karibu!
=======
Zitto Kabwe
Kwa mazingira ya Tanzania, mchakato wowote hauwezi kumkwepa Rais, wanaoongea wanachangamsha genge tu.
Tulichopendekeza kikosi kazi, Rais wa Tanzania kwa kushirikiana na Rais wa Zanzibar kuunda jopo la wataalam sababu mchakato wa Katiba ni wa kisheria.
Watu wanaosema tunamrudishia Rais mchakato wanachangamsha tu genge.
Deodatus Balile
Kuwepo kuaminiana, inavyoonekana vyama vya upinzani vimejeruhiwa, ndo maana hata Rais alisema hiyo siyo amri, sisi tumeonesha njia, ukisema Rais unamkwepa ipo siku tu utamhitaji.
Mimi ukinuiliza, mapendekezo haya ya kikosi kazi yanatoa mwanga. Mjadala wa kitaifa utarahisisha jambo hili, hata wabunge watakuwa sehemu ya mjadala wa kitaifa, Bungeni ni kupitia tu hivyo hawawezi kwenda kinyume cha mapendekezo ya mjadala wa kifaifa.
Nitoe wito, muda huo ukifika siyo muda wa kususa. Waje watoe maoni
Zitto Kabwe
Mchakato wa katiba unaongozwa na Sheria ya mabadiliko ya katiba, naona tunatiana tu hofu isiyo na msingi.
Wito wangu, hatua muhimu kuliko zote ni muswada wa mabadiliko ya katiba. Hatuwezi kujenga hoja barabarani, zinajengwa mezani. Taifa linajengwa kwa majadiliano, halijengwi kwa kukimbiana.
Deodatus Balile
Ikiwa kila mtu anakuja na kauli za iwe mvua iwe jua lazima apate anachotaka hatutafika. Tunataka mazungumzo, na yeyote anayedhani ana nia njema na nchi yetu aje na mapendekezo yanayopelea kwenye kikosi kazi, inaweza kuchukua muda.
Zitto Kabwe
Katiba yetu na sheria zetu hazikatazi mikutano ya hadhara, kikozi kazi kimesema katiba inaruhusu, ni haki ya chama cha siasa ndiyo maana tumesema iendelee, iruhusiwe kwa mujibu wa kisheria.
Mwanzoni kulikuwa na katazo, kwa waliokuwa wanalitekeleza walikuwa wanavunja sheria na sisi pia tuliokuwa tunatii agizo hili tulikuwa tunavunja sheria.
Tuliona kuna sheria zinaweza kutumika vibaya, mwaka 2019 yalifanyika mabadiliko, sehemu inayotoa haki ya vyama vya siasa kufanya mikutano kikachomekwa kipengele cha polisi kuingilia mikutano. Kikosi kazi kinataka hicho kipengele kiondolewe.
Tuligundua pia kuna kanuni za vyama vya siasa za mwaka 2019, kuna masharti ya hovyo sana. Kikosi kazi kikasema sheria hizi zifanyiwe marekebisho.
Rais anaweza kuamka na kuchagua makamishna wa tume ya uchaguzi, kikosi kazi kimesema hapana.
Matokeo ya Rais yahojiwe kwenye mahakama ya juu pindi itakapoanzishwa.
Uchaguzi uliopita baadhi ya wagombea walikatwa kwa sababu za kipuuzipuuzi tu, mapendekezo ya kikosi kazi ni kuwa watu wakienguliwa pasipo kufuata taratibu wahusika wawajibishwe kisheria.