Watu wanaoweza kumla Mwanamke wako bure kabisa

Kuna sisi ndugu wa mume ambao tupo tupo hapo home kwa broo na huku broo kaenda masomoni Urusi mwaka wa pili sasa. msitusahau tupeni heshima yetu kwenye huu uzi. Asanteni.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aiseee...Kaenda masomoni urusi au sio mkuu, ila ndoa ni ngum, NYIIEEE
 
Umesahau dereva bajaji
 
Mi mwenzio wa mlee tuu maana sina hata hisia nae...
Tena nlivyo hata nikiwafuma naweza wapisha nikaendelea na kazi zangu
We ni kama mimi aisee. Mtu mbususu ni yake. Yaani kwa akili zake kamili na bila kuvunja katiba ya Jamhuri ameamua kwenda kuigawa huko eti mimi ndo nihangaike sijui kupigana mpaka hata kuuliwa. Hell no!
 
Wewe mtu umeoa dunga embe .
Usifosi watu wawe kama huyu malaya wako lifuska lisilojitambua eh!

Kwa mlivyooana hamkukulana ndio mkaoana ??
Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
Meaning hata wewe na hilo dudu washa lako
 
Akiamua kuliwa analiwa na yoyote popote pale muda anaotaka yeye so hivi vitu visiumize kichwa sana
 
maisha ni mzunguko,hakuna jipya anayechepuka pale naye anachepukiwa.Muhimu kila mmoja atekeleze wajibu kwake mana anaweza kuwaka tamaa mahala kumbe kwake hakuni vema.
 
We ni kama mimi aisee. Mtu mbususu ni yake. Yaani kwa akili zake kamili na bila kuvunja katiba ya Jamhuri ameamua kwenda kuigawa huko eti mimi ndo nihangaike sijui kupigana mpaka hata kuuliwa. Hell no!
Tuungane kabisa kupiga vita, kisa kugombana kuhusu Mbususu la mtu alie amua kuumpa mwamba alipakue...
Maana kuna Mbunye nzuri smart zimeenda shule na hazina mazingaombwe asee...
Yanini ufe kwa Li Ke. Lamtu
 
It depends na mwanaume anajiwekaje kwa mke wake, sasa kama lipo lipo tuu lazima wengine kat ya hao waenjoy
 

Sijui moyo wangu ukoje, Ila masuala ya kuanza kuwaza sijui nani atamla demu au mke wangu kwa kweli hayani husu. Mtu anayobo ambalo baada tu ya kupigwa mashine linarudi hali ile ile uanze kumuwazia. Nikujipa stress zisizo za msingi. Aliwe anavyojua kikubwa awe msiri tu nisijue na mimi nawala huku pembeni kama kawaida. Ukiishi kuanza kuwaza sijui ataliwa na fulani mara imekua hivi nikujitafutia kufa mapema. We ombea tu anapokua anapigwa mashine asisahau kuvaa Condom au basi ahakikishe huyo anayemla yuko vizuri asije kuleta magonjwa ndani tukashindwa kulea watoto bure.
Mbususu ni Mali yake Mwanamke na Hogo ni langu sio lake. That is what it’s 🫱[emoji2533]β€πŸ«²[emoji2534]🫱[emoji2533]β€πŸ«²[emoji2534]
 
Mbona mimi ni Lekchara! Lakini pia ni Mheshimiwa! Halafu hujaniweka kwenye orodha yako?
 
Kijana aliyemaliza chuo halafu yupo jirani yenu na wewe unashinda zako kwenye mihangaiko.

Kibaya zaidi wanaazimana CD na kijana anakuja kurekebisha king'amuzi kinapo leta shida.
Kupitia hyo nimechakata sna ogopa mtu Hana Kaz mzee wake za watu wanainamishwa sna kwenye Kochi zako
 
Ushauri wa kishamba tangu nimeijua JF!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…