Tena mtu anaye tembea na mgodi wake katikati ya mapaja yakehuwez kuchunga li mtu li kubwa lenye akili timamu 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena mtu anaye tembea na mgodi wake katikati ya mapaja yakehuwez kuchunga li mtu li kubwa lenye akili timamu 😂
Na ikiwezekana wamchukue kabisa watokomee nae gizani.nakaziaWamle tu tena wa mkule sana hata hainitishi
hatari sanaTena mtu anaye tembea na mgodi wake katikati ya mapaja yake
Dah wauza bucha ni hatari na nusu, utasikia husband hayupo nikujie na nyama kilo usisahau na tumaini maini na nyongo ya ng'ombe hahaaUMEWASAHAU WAUZA NYAMA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aiseee...Kaenda masomoni urusi au sio mkuu, ila ndoa ni ngum, NYIIEEEKuna sisi ndugu wa mume ambao tupo tupo hapo home kwa broo na huku broo kaenda masomoni Urusi mwaka wa pili sasa. msitusahau tupeni heshima yetu kwenye huu uzi. Asanteni.
Umesahau dereva bajajiWakuu Hawa ni Watu Ambao Wanaweza Kumla Mwanamke Wako Bure Kabisa.
-Ex Wake
-Baba Mchungaji
-Bosi Wake
-Rafiki Yake Wa Kiume
-Baba Mwenye Nyumba
-Dokta mtoa mimba
-Muuza Chipsi
-Bodaboda
-Mangi dukani(akimkazia)
-Wasafisha kucha na miguu
-Wasuka rasta wale wakiume
-chief admin wa group [emoji4]
-Muuza genge
We ni kama mimi aisee. Mtu mbususu ni yake. Yaani kwa akili zake kamili na bila kuvunja katiba ya Jamhuri ameamua kwenda kuigawa huko eti mimi ndo nihangaike sijui kupigana mpaka hata kuuliwa. Hell no!Mi mwenzio wa mlee tuu maana sina hata hisia nae...
Tena nlivyo hata nikiwafuma naweza wapisha nikaendelea na kazi zangu
maisha ni mzunguko,hakuna jipya anayechepuka pale naye anachepukiwa.Muhimu kila mmoja atekeleze wajibu kwake mana anaweza kuwaka tamaa mahala kumbe kwake hakuni vema.Wakuu Hawa ni Watu Ambao Wanaweza Kumla Mwanamke Wako Bure Kabisa.
-Ex Wake
-Baba Mchungaji
-Bosi Wake
-Rafiki Yake Wa Kiume
-Baba Mwenye Nyumba
-Dokta mtoa mimba
-Muuza Chipsi
-Bodaboda
-Mangi dukani(akimkazia)
-Wasafisha kucha na miguu
-Wasuka rasta wale wakiume
-chief admin wa group [emoji4]
-Muuza genge
Tuungane kabisa kupiga vita, kisa kugombana kuhusu Mbususu la mtu alie amua kuumpa mwamba alipakue...We ni kama mimi aisee. Mtu mbususu ni yake. Yaani kwa akili zake kamili na bila kuvunja katiba ya Jamhuri ameamua kwenda kuigawa huko eti mimi ndo nihangaike sijui kupigana mpaka hata kuuliwa. Hell no!
Kabisaa... Ye agawe tuu..huwez kuchunga li mtu li kubwa lenye akili timamu 😂
Wakuu Hawa ni Watu Ambao Wanaweza Kumla Mwanamke Wako Bure Kabisa.
-Ex Wake
-Baba Mchungaji
-Bosi Wake
-Rafiki Yake Wa Kiume
-Baba Mwenye Nyumba
-Dokta mtoa mimba
-Muuza Chipsi
-Bodaboda
-Mangi dukani(akimkazia)
-Wasafisha kucha na miguu
-Wasuka rasta wale wakiume
-chief admin wa group [emoji4]
-Muuza genge
Mbona mimi ni Lekchara! Lakini pia ni Mheshimiwa! Halafu hujaniweka kwenye orodha yako?Wakuu Hawa ni Watu Ambao Wanaweza Kumla Mwanamke Wako Bure Kabisa.
-Ex Wake
-Baba Mchungaji
-Bosi Wake
-Rafiki Yake Wa Kiume
-Baba Mwenye Nyumba
-Dokta mtoa mimba
-Muuza Chipsi
-Bodaboda
-Mangi dukani(akimkazia)
-Wasafisha kucha na miguu
-Wasuka rasta wale wakiume
-chief admin wa group [emoji4]
-Muuza genge
Kupitia hyo nimechakata sna ogopa mtu Hana Kaz mzee wake za watu wanainamishwa sna kwenye Kochi zakoKijana aliyemaliza chuo halafu yupo jirani yenu na wewe unashinda zako kwenye mihangaiko.
Kibaya zaidi wanaazimana CD na kijana anakuja kurekebisha king'amuzi kinapo leta shida.
Ushauri wa kishamba tangu nimeijua JF!Hainaga makombo...na kama ni wa kuliwa ataliwa tu hata na plumbers, shamba boy na hata mwanaume ye yote katika mazingira husika. Fanya mambo ya muhimu na usipoteze muda wako wa thamani kuwaza mkeo/mpenzi wako analiwa na nani. Mpende mkeo sana. Timiza wajibu wako kama mume, baba na kuhani wa familia na mengine yaache.
#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani
Aaah wapi! Umechelewa tu kuwajuaWanawake wana siri kubwa sana!
Ni kawaida kutokuwa na mzuka naye sana, unakuwa umeshamzoea.Mi mwenzio wa mlee tuu maana sina hata hisia nae...
Tena nlivyo hata nikiwafuma naweza wapisha nikaendelea na kazi zangu