King smoker
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,002
- 675
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Watu wafupi wanahasira sana kwakua moyo wao upo karibu na mfuko wa mavi so muda wote unachemka tu!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Naskia hua vinaroho mbaya et kwasababu ubongo uko karibu na makalio
Namshukulu Mungu sana kila nikikatiza naitwa hyo mlefu , huyo kaka mlefu , kuna kaka mlefu, we mlefu njoo uweke taa, we mlefu tungua hyo , walefu nyuma yan had raha,
Hakuna mwenye jibu la moja kwa moja, mimi ni mfupi nina kimo cha futi tano na inchi 2Kwani ili uwe na sifa ya ufupi unatakiwa uwe na urefu wa futi ngapi?
Wafupi ni wajinga sana halafu mna roho mbaya
hata katika sekta muhimu wengi hampewi kipaumbele kwa upimbi wenu (udereva,upolisi,uanajeshi nk)
Watu wafupi huanza kujiwenga kwanza wao halafu wengi hawafurahii muonekano wao wa nje utakuta kavaa mibuti mikubwa ili tu imbust asidharaulike na mbele ya watu
Hahahaha ina maana waha ni wafupiWafupi ni wabishi sana, waha mtanisamehe
Mpaka nawaonea hurumaKweli, warefu huwa tunapata tabu sana.
Wafupi ni wajinga sana halafu mna roho mbaya
hata katika sekta muhimu wengi hampewi kipaumbele kwa upimbi wenu (udereva,upolisi,uanajeshi nk)
Watu wafupi huanza kujiwenga kwanza wao halafu wengi hawafurahii muonekano wao wa nje utakuta kavaa mibuti mikubwa ili tu imbust asidharaulike na mbele ya watu
Teh teh teh basi tufupi tunalinga twenyewe tunapokuwa na mtetezi makini [emoji16][emoji16][emoji16]Ahahhaha Naona imekugusa.
Sasa tafiti hupingwa kwa tafiti.
Osama ni mfupi? Mbona alihangaika kulipua wenzake hovyo.
Trump? Obama? Bush? Ni wafupi mbona ile war on terror inawaua waarab wengi sana? Na mbona wanapenda sana kuwawekea wenzao vikwazo?
Nikisema warefu wajinga mnanuna. Sasa sekta muhimu ni udereva? Uanajeshi? Uaskari? Manina kwahiyo enzi magari hakuna maisha yalikua hayaendi? Rudi shule ukaone nchi zinazoishi bila jeshi.
Ndimi Castr Magige,
Mwakilishi Kanda ya Kusini,
Short People United (SPU),
SLP 1, Igwachanya.
mkuu yakupasa uwe mwenyekiti kitaifa, unatuwakilisha vyema hata huku kanda ya ziwa, nmeanza kujivunia ufupi wanguAhahhaha Naona imekugusa.
Sasa tafiti hupingwa kwa tafiti.
Osama ni mfupi? Mbona alihangaika kulipua wenzake hovyo.
Trump? Obama? Bush? Ni wafupi mbona ile war on terror inawaua waarab wengi sana? Na mbona wanapenda sana kuwawekea wenzao vikwazo?
Nikisema warefu wajinga mnanuna. Sasa sekta muhimu ni udereva? Uanajeshi? Uaskari? Manina kwahiyo enzi magari hakuna maisha yalikua hayaendi? Rudi shule ukaone nchi zinazoishi bila jeshi.
Ndimi Castr Magige,
Mwakilishi Kanda ya Kusini,
Short People United (SPU),
SLP 1, Igwachanya.
Ukisikia mfupi ni mfupi kila sehemu ,na kupendwa mnalazimisha.Wafupi tunajua thamani ya mwanamke halafu hatuwadharau
Hoja ya kibwege sana hii
Unamdanganya nani?Mbona me mfupi sina hizo Tabia!!
Mfupi kila sehemu weeeeeeee, tuko vizuri Mandingo anasubiriUkisikia mfupi ni mfupi kila sehemu ,na kupendwa mnalazimisha.
Sijadanganya!!Unamdanganya nani?
JwtzMkuu wewe umepewa sekta gani muhimu?