Watu wasiojulikana wampiga risasi na kumuua Alphonce Nyinzi M/Kiti wa Mtaa wa Bulale mkoani Mwanza

Watu wasiojulikana wampiga risasi na kumuua Alphonce Nyinzi M/Kiti wa Mtaa wa Bulale mkoani Mwanza

Umeongea na OCS? Unajua maana ya OCS? Kama umeongea na OCS inakuwa vipi polisi wasiwe wamefika??? Hebu kuwa makini unaporipoti tukio
 
Poleni sana wananchi wa kijiji hicho naamini mlio wapa taarifa wamezipata.
 
Kamanda wa polisi anaundugu na watu wa kaskazini?..Hiyo "kazini" huenda ikawa kikwazo
 
Wakuu.
Nashukuru kwa msaada. Polisi wamefika lakini wamechelewa. Wameokota maganda mawili ya smg.

Nilipatwa na hofu sana kwani tukio limetokea nyumba ya pili na nilipokuwa.mwenyekiti alphose amefariki kwa kupigwa risasi mbili. Wauaji hawakuchukua chochote.
 
johnmashilatu poleni sana kwa tukio zito hilo. Huyo mwenyekiti ni chama gani? Taarifa za awali zinaonyesha nini yaweza kuwa chanzo? Ugomvi wa kibiashara? Pesa? Familia? Siasa? Au visasi??
 
Jamani tunaenda wapi sasa hivi mbona binadamu tumekuwa wakatili kiasi hiki jamani tufanye maombi nchi yetu lludi katika hali yake.
 
Tumeingiwa na nini ktk nchi yetu! Tumekula nn kinachotusumbua hadi tunauwana hivi!!
 
Wakuu.
Nashukuru kwa msaada. Polisi wamefika lakini wamechelewa. Wameokota maganda mawili ya smg.

Nilipatwa na hofu sana kwani tukio limetokea nyumba ya pili na nilipokuwa.mwenyekiti alphose amefariki kwa kupigwa risasi mbili. Wauaji hawakuchukua chochote.
Wamemkuta nyumbani kwake? Sheria ya umiliki wa bunduki na matumizi yake wafaa kuangaliwa upya. Ninaamini kuna bunduki zinamlikiwa kihalali lkn zinatumika kiharamu.

Tatizo wamiliki hawalazimishwi kutoa hesabu ya risasi wanazotumia. Wakimaliza wanaenda kuchukua nyingine bila kujojiwa, ili mradi asizidi risasi husika kwa mwaka
 
Ikiwezekana kila mmoja asimiliki bunduki maana zimekuwa zinatumaliza wenyewe.
 
Hivi msaada wa Polisi ni muhimu, sikujua!
 
serkali iongeze nguvu mwanza na mikoa jirani ktk ulinzi, wapitishe oppression ya kijeshi au timu ya upelelezi.
mikoa hiyo inaweza kua ndio maficho ya makundi ya watu wabaya, maana wabaya hao wanafanya hivyo kwa faida zao binafsi au wanaweza kutumiwa na wanasiasa wasiokua na uzalendo na nchi yetu kwa tamaa zao za madalaka .maana wanaweza kuseti matukio kama hayo ya kutisha mala kwa mala ili wananchi wa maeneo hayo wapoteze imani na serkali yao. hii ni hatari sana.

NI MTAZAMO TU.
 
Nadhani IGP aanzishe Kanda Maalumu Mwanza.

pia, IGP aimarishe kitengo cha Intelligence Mwanza ,

vile vile, kila Kata /Mtaa iwe na kituo cha POLISI,

pia, POLISI waongezwe.

Pia, Pangua pangua ya OCD na OC-CID ifanyike, pamoja kuhamisha Askari waliokaa kituoni muda
mrefu.

Ikishindikana,

Aombe msaada wa JWTZ.
 
serkali iongeze nguvu mwanza na mikoa jirani ktk ulinzi, wapitishe oppression ya kijeshi au timu ya upelelezi.
mikoa hiyo inaweza kua ndio maficho ya makundi ya watu wabaya, maana wabaya hao wanafanya hivyo kwa faida zao binafsi au wanaweza kutumiwa na wanasiasa wasiokua na uzalendo na nchi yetu kwa tamaa zao za madalaka .maana wanaweza kuseti matukio kama hayo ya kutisha mala kwa mala ili wananchi wa maeneo hayo wapoteze imani na serkali yao. hii ni hatari sana.
Asante kwa taarifa, naamini wapelelezi wamo humu, watasoma maelezo yako. Hilo la wanasiasa kuhujumu serikali kwa kuuwa watu inabidi ujiandae kulitetea, soon watakujia uwape list ya wahumu amani.
 
Wamemkuta nyumbani kwake? Sheria ya umiliki wa bunduki na matumizi yake wafaa kuangaliwa upya. Ninaamini kuna bunduki zinamlikiwa kihalali lkn zinatumika kiharamu.

Tatizo wamiliki hawalazimishwi kutoa hesabu ya risasi wanazotumia. Wakimaliza wanaenda kuchukua nyingine bila kujojiwa, ili mradi asizidi risasi husika kwa mwaka
Mkuu umeambiwa kuwa Polisi wameokota maganda mawili ya SMG nawe unasema kuna bunduki zingine zinamilikiwa kihalali lakini zinatumika kiharamu. Ulisikia wapi kuwa hapa Tanzania mtu binafsi anaruhusiwa kumiliki bunduki aina ya SMG kihalali? Hebu jaribu kusoma na kuelewa mada kabla ya kukurupuka.
 
Wanampiga risasi mwenyekiti na picha ya rais iko ukutani!!!!!!!
 
Back
Top Bottom