Watu wasiojulikana wampiga risasi na kumuua Alphonce Nyinzi M/Kiti wa Mtaa wa Bulale mkoani Mwanza

Watu wasiojulikana wampiga risasi na kumuua Alphonce Nyinzi M/Kiti wa Mtaa wa Bulale mkoani Mwanza

Mtaa kwa akina mimi bado hali n tete...'
Nikiwaomba bia waninipa juisi ya embe waliyoijaza makohozi.
 
tusiwe wavivu kufikiri juu ya athari za kauli, maamuzi, na vitendo vyetu.
 
Unataka waje na washawasha kwenye tukio LA ujambazi? Hapo ndo umefikia kiwango chako cha kufikiri?
Sasa kama wakiambiwa Majambazi hawaji, Sasa si bora uwaambie chadema wanaandamana ili waje kqa wakati? Halafu si kweli huwa wanakuja na washawasha, Unataka kusema aliyeuwawa kule arusha kwa bahati mbaya, hata kule zanzibar yalikuwa maji ya kuwashawasha ??
 
Polisi wa Tanzania kwenye matukio kama hayo ukiwapigia simu ndio unawakimbiza kabisa ni waoga..Ila ungewapigia kuna isuzu carry imebaba jora za vitenge na pempas wangekuja fasta na siku ya pili ungemuona RPC anaongea na waandishi wa habari..
 
Kweli aisee, usalama wa taifa wamfuatilie
Hivi silaha aliyowahi kupolwa Adamu Malima hotelini kule Morogoro ilikuwa ya aina gani? Je alikuwa sahihi kuimiliki kama raia? ANAEKUMBUKA VIZURI ATUELEZE ILIKUWA NI YA AINA GANI?
 
Polisi wa Tanzania kwenye matukio kama hayo ukiwapigia simu ndio unawakimbiza kabisa ni waoga..Ila ungewapigia kuna isuzu carry imebaba jora za vitenge na pempas wangekuja fasta na siku ya pili ungemuona RPC anaongea na waandishi wa habari..
Sukari?
 
Kweli aisee, usalama wa taifa wamfuatilie
Hivi silaha aliyowahi kupolwa Adamu Malima hotelini kule Morogoro ilikuwa ya aina gani? Je alikuwa sahihi kuimiliki kama raia? ANAEKUMBUKA VIZURI ATUELEZE ILIKUWA NI YA AINA GANI?
 
Wako busy kulinda Lugumu!.

Red brigade wakilinda wanaambiwa kazi hiyo siyo yao na hawatakiwi kabisa kufanay ulinzi. Ulinzi ni kazi ya polisi. Polisi ndiyo hao. Sasa ninadhani Watanzania viziwi na BRN, wataanza kuelewa kinachozungumziwa katika nadharia kwa njia za vitendo. Hiyo ndiyo ccm na serikali yake.

Hiyo ndiyo serikali ya ccm. Wamekaa kupiga sarakasi za sanaa lakini hakuna uhalisia wala reflection yoyote ya wanachokifanya katika maisha ya watu, huduma zinazidi kuwa mbovu, tunazidi kurudi kwenye ujima na thamani ya utu inazidi kuporomoka. They are buying time, kughribu watu ajili ya uchaguzi uajo ili waendelee kutumaliza.

Tuliwachagua UKaWA kwa sababu wana uhalisia. Cha kwanza ilikuwa ni kufumua na kuunda upya jeshi la polisi. kujenga katiba ya wananchi na kuhakikisha Mtanzania ankombolewa kutoka adha za ccm na serikali yake.

Sasa kikwete hakutaka watanznaia wapone.

Matokeo yake ni haya.
 
Nadhani IGP aanzishe Kanda Maalumu Mwanza.

pia, IGP aimarishe kitengo cha Intelligence Mwanza ,

vile vile, kila Kata /Mtaa iwe na kituo cha POLISI,

pia, POLISI waongezwe.

Pia, Pangua pangua ya OCD na OC-CID ifanyike, pamoja kuhamisha Askari waliokaa kituoni muda
mrefu.

Ikishindikana,

Aombe msaada wa JWTZ.
Mkuu askari polisi ni wachache sana ...........
 
Mashilatu na wananchi kwa ujumla, kwenye dharura kama hiyo kupiga simu kwa OCS peke yake haitoshi. Ulipaswa kuwapigia pia OCD, RPC na IGP at the same time. Kwanza OCS wa kituo kidogo kama cha Igogo huwa hana kikosi cha askari chenye dhana za kutosha za kupambana na majambazi yenye dhana za kivita kama SMG. Humubidi aombe kwa OCD. Halafu anaweza akawa yuko kwenye shughuli yake binafsi nyingine za kibinadamu.
Namba za simu za hao niliowataja zinapaswa kujulikana kwa wananchi wote. Wenyeviti wa kila mtaa anapaswa kuwa nazo na pia zinapaswa kubandikwa kwenye ubao wa matangazo ya ofisi ya kila ofisi ya serikali ya mtaa.
Kila OCD anapaswa kuwa kuwa na standbye 24 hours ya kikosi maalum cha kupigana na majambazi.
Taarifa hizo zinaweza kupelekwa hata kwa njia ya SMS. Kama baada ya nusu saa ikapita baada ya taarifa kupelekwa kwa hao makamanda bila utekelezaji, taarifa itumwe kwa Amiri Jeshi Mkuu kwa hatua za utumbuaji. This is the line of command. Maisha ya watu si ya kuchezewa na ujambazi!
Mkuu Dr akili.
Unaifahamu mwanza? Igogo ni kituo kidogo kwa vigezo gani?
Hizo namba za hao maofisa wa polisi mwananchi wa kawaida anazitoa wapi?
 
Na wewe kuwa serious kufikiri basi. Kama ameshuhudia unadhani anakosa cha kuongeza hapo?

Unajua kinamama nyie hamjuagi dharura. Alikwambia amekuja hapa kukupa wewe habari kamili as if anao muda wa kuwahoji watu pale au anaripoti tukio ili msaada upatikane?

Nenda basi wewe ukaongezee hapo, si unapenda habari kuliko kuona hatua zimechukuliwa
 
Tatizo kubwa polisi ni kama wamelea tatizo, ni mpaka SMG iue mtu ndo utaona pilika pilika za kuzunguka kutafuta salaha buhongwa. Wakati kila kukicha kuna matukio ya watu kuvamiwa na vibaka, na wanavunja nyumba zaidi ya 5 kwa usiku mmoja. Yaani wakianza saa 5 hadi saa 9 ndo wanajiondokea. Mara ya kwanza walimvamia mch. Gwajima (mmhhh....???)....baadaye wakamvamia afisa wa PCCB ndo polisi wakashtuka na kuanza kuwafuatilia.
Buhongwa kama yalivyo maeneo mengine mwanza ni shida. Mtaa hhuu pekee ndani ya mwezi huu hili ni tukio LA NNE. Vibaka na majambazi. Polisi wanawaambia wananchi wajilibde kwa kutumia fimbo na bila weledi. Mmoja akatoa pendekezo kwa wana chi tuzingire kilima ambako wauaji wanasadikiwa kupitia!
 
Wana mtaa wamechukua hatua gani? Uhalifu haupo buhongwa pekee, upo maeneo mengi na askari hawawezi fika na kuonekana kila mahali. Kuna wakati wananchi wenyewe kuhusika kwa ulinzi wao wenyewe.

Halafu, hata polisi wawe wengi kiasi gani hata kwa kufikia hiyo ratio ya 1:400, bado uhalifu hauwezi kuisha. Uhalifu dhidi ya binadamu, ulikuwepo na utaendelea kuwepo. Fikiria mifano kwenye nchi kubwa, pamoja na walivyojipanga uhalifu bado unatokea
Mkuu ntamaholo.
Kwanini kudhalilisha taaluma za wengine. Mbona hatujasikia wananchi wakiombwa kufanya kazi ya Daktari kipindupindu kikiibuka? Kwanini polisi ambao wana intelijensia inayofanya kazi wakati wa shughuli za siasa?
 
Buhongwa kama yalivyo maeneo mengine mwanza ni shida. Mtaa hhuu pekee ndani ya mwezi huu hili ni tukio LA NNE. Vibaka na majambazi. Polisi wanawaambia wananchi wajilibde kwa kutumia fimbo na bila weledi. Mmoja akatoa pendekezo kwa wana chi tuzingire kilima ambako wauaji wanasadikiwa kupitia!
Maeneo ya bugarika leo usiku(22/5/2016) mida ya saa sita zimesika risasi zikipigwa.....ambacho bado sijajua ni kama lilikuwa ni tukio la ujambazi au ni majibizano kati ya polisi na majambazi.....nikipata taarifa zaidi nitawajulisha.....
 
Tupe update mkuu.
Mkuu nawaona waabdishi na maswali ya kukatisha tamaaa juu ya wekedi wao.
Sasa anaingia diwani wa mkolani na mwebyekiti wa kamati ya huduma za jamii jiji akiwa na ujumbe wa watu wanne na gari zuri ambalo bora wangepewa polisi wa buhobgwa kulinda jamii ya eneo hili.
Wananchi wamekusanyika makubdi wakijadili suala hili huku wakisubiri taratibu za polisi ili we aweZe kuzika.
 
Back
Top Bottom