Watu wasiojulikana wampiga risasi na kumuua Alphonce Nyinzi M/Kiti wa Mtaa wa Bulale mkoani Mwanza

Watu wasiojulikana wampiga risasi na kumuua Alphonce Nyinzi M/Kiti wa Mtaa wa Bulale mkoani Mwanza

Nadhani IGP aanzishe Kanda Maalumu Mwanza.

pia, IGP aimarishe kitengo cha Intelligence Mwanza ,

vile vile, kila Kata /Mtaa iwe na kituo cha POLISI,

pia, POLISI waongezwe.

Pia, Pangua pangua ya OCD na OC-CID ifanyike, pamoja kuhamisha Askari waliokaa kituoni muda
mrefu.

Ikishindikana,

Aombe msaada wa JWTZ.
Mkuu, Ushauri wako wote hauna mashiko ukiondoa ule wa kuimarisha Intelijensia. La muhimu hapa ni kuishirikisha jamii yote katika dhana ya Ulinzi Shirikishi ili taarifa muhimu na sahihi ziweze kuvifikia vyombo kabla, wakati au baada ya tukio. Kwa kutoa taarifa tutaweza kuwa Proactive na kuzuia uhalifu usitokee.
 
Poleni ndugu zetu wa mwanza jeshi la polisi linafaa liongeze bidii kwa mwanza.
 
Basi itabidi msiwe mnawaambia majambazi wamevamia bali muwe mnawaambia chadema wanaandamana ili Polis waje kwa haraka kwani kikubwà si polis kufikà kwenye tukio kwa haraka? Fanya hvy.
 
Wamemkuta nyumbani kwake? Sheria ya umiliki wa bunduki na matumizi yake wafaa kuangaliwa upya. Ninaamini kuna bunduki zinamlikiwa kihalali lkn zinatumika kiharamu.

Tatizo wamiliki hawalazimishwi kutoa hesabu ya risasi wanazotumia. Wakimaliza wanaenda kuchukua nyingine bila kujojiwa, ili mradi asizidi risasi husika kwa mwaka
Kumbe raia wanaruhusiwa kumiliki SMG enhee? Inabidi ukapimwe akili maana unakaribia kupoteza network
 
Kumbe raia wanaruhusiwa kumiliki SMG enhee? Inabidi ukapimwe akili maana unakaribia kupoteza network
Naibu waziri Malima alikutwa na SMG hotelini Morogoro lakini haijasemwa mpaka Leo ilikuwaje akawa nayo hiyo bunduki
 
Mashilatu na wananchi kwa ujumla, kwenye dharura kama hiyo kupiga simu kwa OCS peke yake haitoshi. Ulipaswa kuwapigia pia OCD, RPC na IGP at the same time. Kwanza OCS wa kituo kidogo kama cha Igogo huwa hana kikosi cha askari chenye dhana za kutosha za kupambana na majambazi yenye dhana za kivita kama SMG. Humubidi aombe kwa OCD. Halafu anaweza akawa yuko kwenye shughuli yake binafsi nyingine za kibinadamu.
Namba za simu za hao niliowataja zinapaswa kujulikana kwa wananchi wote. Wenyeviti wa kila mtaa anapaswa kuwa nazo na pia zinapaswa kubandikwa kwenye ubao wa matangazo ya ofisi ya kila ofisi ya serikali ya mtaa.
Kila OCD anapaswa kuwa kuwa na standbye 24 hours ya kikosi maalum cha kupigana na majambazi.
Taarifa hizo zinaweza kupelekwa hata kwa njia ya SMS. Kama baada ya nusu saa ikapita baada ya taarifa kupelekwa kwa hao makamanda bila utekelezaji, taarifa itumwe kwa Amiri Jeshi Mkuu kwa hatua za utumbuaji. This is the line of command. Maisha ya watu si ya kuchezewa na ujambazi!
 
Mkuu umeambiwa kuwa Polisi wameokota maganda mawili ya SMG nawe unasema kuna bunduki zingine zinamilikiwa kihalali lakini zinatumika kiharamu. Ulisikia wapi kuwa hapa Tanzania mtu binafsi anaruhusiwa kumiliki bunduki aina ya SMG kihalali? Hebu jaribu kusoma na kuelewa mada kabla ya kukurupuka.
Huenda ikawa yeye anaimiliki,anahisi kila mtu ndio kama yeye.
 
Mashilatu na wananchi kwa ujumla, kwenye dharura kama hiyo kupiga simu kwa OCS peke yake haitoshi. Ulipaswa kuwapigia pia OCD, RPC na IGP at the same time. Kwanza OCS wa kituo kidogo kama cha Igogo huwa hana kikosi cha askari chenye dhana za kutosha za kupambana na majambazi yenye dhana za kivita kama SMG. Humubidi aombe kwa OCD. Halafu anaweza akawa yuko kwenye shughuli yake binafsi nyingine za kibinadamu.
Namba za simu za hao niliowataja zinapaswa kujulikana kwa wananchi wote. Wenyeviti wa kila mtaa anapaswa kuwa nazo na pia zinapaswa kubandikwa kwenye ubao wa matangazo ya ofisi ya kila ofisi ya serikali ya mtaa.
Kila OCD anapaswa kuwa kuwa na standbye 24 hours ya kikosi maalum cha kupigana na majambazi.
Taarifa hizo zinaweza kupelekwa hata kwa njia ya SMS. Kama baada ya nusu saa ikapita baada ya taarifa kupelekwa kwa hao makamanda bila utekelezaji, taarifa itumwe kwa Amiri Jeshi Mkuu kwa hatua za utumbuaji. This is the line of command. Maisha ya watu si ya kuchezewa na ujambazi!
Tatizo kubwa polisi ni kama wamelea tatizo, ni mpaka SMG iue mtu ndo utaona pilika pilika za kuzunguka kutafuta salaha buhongwa. Wakati kila kukicha kuna matukio ya watu kuvamiwa na vibaka, na wanavunja nyumba zaidi ya 5 kwa usiku mmoja. Yaani wakianza saa 5 hadi saa 9 ndo wanajiondokea. Mara ya kwanza walimvamia mch. Gwajima (mmhhh....???)....baadaye wakamvamia afisa wa PCCB ndo polisi wakashtuka na kuanza kuwafuatilia.
 
Basi itabidi msiwe mnawaambia majambazi wamevamia bali muwe mnawaambia chadema wanaandamana ili Polis waje kwa haraka kwani kikubwà si polis kufikà kwenye tukio kwa haraka? Fanya hvy.
Unataka waje na washawasha kwenye tukio LA ujambazi? Hapo ndo umefikia kiwango chako cha kufikiri?
 
Mashilatu na wananchi kwa ujumla, kwenye dharura kama hiyo kupiga simu kwa OCS peke yake haitoshi. Ulipaswa kuwapigia pia OCD, RPC na IGP at the same time. Kwanza OCS wa kituo kidogo kama cha Igogo huwa hana kikosi cha askari chenye dhana za kutosha za kupambana na majambazi yenye dhana za kivita kama SMG. Humubidi aombe kwa OCD. Halafu anaweza akawa yuko kwenye shughuli yake binafsi nyingine za kibinadamu.
Namba za simu za hao niliowataja zinapaswa kujulikana kwa wananchi wote. Wenyeviti wa kila mtaa anapaswa kuwa nazo na pia zinapaswa kubandikwa kwenye ubao wa matangazo ya ofisi ya kila ofisi ya serikali ya mtaa.
Kila OCD anapaswa kuwa kuwa na standbye 24 hours ya kikosi maalum cha kupigana na majambazi.
Taarifa hizo zinaweza kupelekwa hata kwa njia ya SMS. Kama baada ya nusu saa ikapita baada ya taarifa kupelekwa kwa hao makamanda bila utekelezaji, taarifa itumwe kwa Amiri Jeshi Mkuu kwa hatua za utumbuaji. This is the line of command. Maisha ya watu si ya kuchezewa na ujambazi!
Ni sahihi mkuu, ila amekiri kuwa polisi walifika. Nami nimeuliza mwanza wakasema walifika si zaidi ya 30 minutes baada ya kujulishwa. Kwa maana hiyo wamewahi.

Kwa vyovyote vile kutoka nyamagana, kuitafta mkolani, kuutafta mtaa husika hiyo ni reasonable time kufika eneo la tukio.
 
Tatizo kubwa polisi ni kama wamelea tatizo, ni mpaka SMG iue mtu ndo utaona pilika pilika za kuzunguka kutafuta salaha buhongwa. Wakati kila kukicha kuna matukio ya watu kuvamiwa na vibaka, na wanavunja nyumba zaidi ya 5 kwa usiku mmoja. Yaani wakianza saa 5 hadi saa 9 ndo wanajiondokea. Mara ya kwanza walimvamia mch. Gwajima (mmhhh....???)....baadaye wakamvamia afisa wa PCCB ndo polisi wakashtuka na kuanza kuwafuatilia.
Wana mtaa wamechukua hatua gani? Uhalifu haupo buhongwa pekee, upo maeneo mengi na askari hawawezi fika na kuonekana kila mahali. Kuna wakati wananchi wenyewe kuhusika kwa ulinzi wao wenyewe.

Halafu, hata polisi wawe wengi kiasi gani hata kwa kufikia hiyo ratio ya 1:400, bado uhalifu hauwezi kuisha. Uhalifu dhidi ya binadamu, ulikuwepo na utaendelea kuwepo. Fikiria mifano kwenye nchi kubwa, pamoja na walivyojipanga uhalifu bado unatokea
 
Nadhani IGP aanzishe Kanda Maalumu Mwanza.

pia, IGP aimarishe kitengo cha Intelligence Mwanza ,

vile vile, kila Kata /Mtaa iwe na kituo cha POLISI,

pia, POLISI waongezwe.

Pia, Pangua pangua ya OCD na OC-CID ifanyike, pamoja kuhamisha Askari waliokaa kituoni muda
mrefu.

Ikishindikana,

Aombe msaada wa JWTZ.
Uhalifu huujui mkuu. Haupunguzi uhalifu kwa kuhamisha watendaji, utapunguza uhalifu kwa kuishirikisha jamii. Utoaji wa taarifa ni hatua moja lkn pia hatua kadhaa zinahitajika. Iliwahi kutokea misungwi, misasi wananchi walipiga mwano, wakatanda kila eneo, majambazi walipiga risasi hadi wakaishiwa. Walikamatwa na wao wakazimishwa fasta
 
Nimeongea na OCS Igogo muda uunaebda hakuna msaada mwenyekiiti wa mtaa wa Bulale trazo amepigwa risasi SAA 1.45, p mpaka sasa polisi hawaonekani. Ni Mwanza, Nyamagana kata ya buhogwa
Mi sitaki kuwalaumu polisi watanzania hatuna ustaarabu nimeshashuhudia watu wanapiga simu polisi kuna tukio wanakuja mtu anatoa line anaondoka na kumbe hamna tukio na watu wa fire pia inawatokea kero hiyo mara nyingi.

Tubadilike kwanza wananchi taasisi hiyo ipo kwa kazi hiyo.
Uaminifu sehemu nyingi umepotea polisi mpaka asikie mi mwenyekiti wa mtaa ,Diwani au mbunge yaana watu wanaoaminika ndio wanareact ni culture tumeijenga wenyewe.

Poleni sana ila Mwanza shida nn jamani ?wiki ya pili sasa ni mwanza inatawala tena kwa mauwaji ya kutisha
 
Mashilatu na wananchi kwa ujumla, kwenye dharura kama hiyo kupiga simu kwa OCS peke yake haitoshi. Ulipaswa kuwapigia pia OCD, RPC na IGP at the same time. Kwanza OCS wa kituo kidogo kama cha Igogo huwa hana kikosi cha askari chenye dhana za kutosha za kupambana na majambazi yenye dhana za kivita kama SMG. Humubidi aombe kwa OCD. Halafu anaweza akawa yuko kwenye shughuli yake binafsi nyingine za kibinadamu.
Namba za simu za hao niliowataja zinapaswa kujulikana kwa wananchi wote. Wenyeviti wa kila mtaa anapaswa kuwa nazo na pia zinapaswa kubandikwa kwenye ubao wa matangazo ya ofisi ya kila ofisi ya serikali ya mtaa.
Kila OCD anapaswa kuwa kuwa na standbye 24 hours ya kikosi maalum cha kupigana na majambazi.
Taarifa hizo zinaweza kupelekwa hata kwa njia ya SMS. Kama baada ya nusu saa ikapita baada ya taarifa kupelekwa kwa hao makamanda bila utekelezaji, taarifa itumwe kwa Amiri Jeshi Mkuu kwa hatua za utumbuaji. This is the line of command. Maisha ya watu si ya kuchezewa na ujambazi!
Dhana= ZANA
 
Back
Top Bottom