Ah ok ndy zile nguo ukifua tuKawaida tu kama maduka mengine.. ila ndio varieties kibao, anapokukamata ni kwenye bei chee...duka la Arusha kuna mpaka box la kusagula t-shirts...elfu 9...watu wanashona hatari, maanake ukitoka nje tu kwenye maduka mengine utauziwa 15 hadi 20...upo dukani lakini unaeza jihisi upo mitumbani tandika
Kuwapelekea tu mahitaji gerezani inatakaHao bongo muvi wamekwenda siku ya kwanza tu....
watachoka wenyewe....
manake kinachofatia ni mention ya kesi kila baada ya siku 14 kwa miaka kadha WA kadha labda wakiri kosa...
AsanteeeFamba mkuu,miezi 2 kitu kishapauka
Hao watakuwa wanatumiwa kama chimbo&supplier mzg ukiuzika wana ganji30KG of Heroine?! Siamini kama hao madogo wanaweza kuwa ndio wamiliki wa huo mzigo!!
Ushamba ndiyo unawasukuma huko ili nao waonekane warushweee hewaniHivi hapa bongo ukiwa kijana ukishika pesa nying bila kuwa karibu na hawa bongo muvi haiwezekani au??
Yan kila dogo aliyebahtika kuvuna mkwanja mrefu below 35 yers basi lazma akae karibu na hawa watu ndio mana dili zinajamba mambo mengine inand kufanya chini chini kidogo
Sure mkuu,kama una jicho la kulenga nguo za watoto ndio zinafaa,maana hawavai kihivyo halafu muda mchache uwa zinawarukaAsanteee
Mjanja hawez vaa midoshoo hiyoo
Kwa kusema ukweli
Ova
Mana ishu ka unga hela inaingia sema full time ni kupanga strategy za kuendelea kusavaivu bila kudakwa sa nashangaa watu wanajianika tu... Money laundering imewakalia kushoto...Ushamba ndiyo unawasukuma huko ili nao waonekane warushweee hewani
Ova
Kama nna hela wapo watu maalum una wa engage unawalipa kazi yao inakuwa kupeleka chakula siku zote....Kuwapelekea tu mahitaji gerezani inataka
Moyo sana
Ova
mkuu hii pesa utanunua nyumba saa ngapi wakati ipo kwenye mali kauli pesa ipo kwa mzunguko na hawa nyumba tofauti na masaki au mbezi beach hawanunuiMana ishu ka unga hela inaingia sema full time ni kupanga strategy za kuendelea kusavaivu bila kudakwa sa nashangaa watu wanajianika tu... Money laundering imewakalia kushoto...
Afu hv vitoto vilikua na mkwanja ila hat kununua nyumba vimeshindwa vyote vimepanga
Usiishi kwa kukariri faza, koneksheni, konekshen! Tatizo hao watoto hawajajua tu kucheza na mdundoUkumbuke enzi hizi sio za jakaya, unadhani kg 30 watatoka kirahisi? Mzee case za madawa siku hizi ni tofauti na unavozifikiria, ashindwe kuchomoka omari yanga wachomoke hao madogo? Kirahisi.
Usikariri ndugu
Ishu ni nini? Ishu ni huyo mtu mzito yupo kwenye circle iliyopoo!???Sio kwa utawala huu mkuu..
Kuna watu wana watu wazito kuliko hao.
Lakini miaka sasa wapo ndani.
Asanteee
Mjanja hawez vaa midoshoo hiyoo
Kwa kusema ukweli
Ova
Usiishi kwa kukariri faza, koneksheni, konekshen! Tatizo hao watoto hawajajua tu kucheza na mdundo
Tatizo kubwa ni huyu Kingpin wao na ukurupukaji wake. Hana mipangoMh ngumu mjomba kesi za madawa sahvi zimebadilika siajabu huyo mjomba sahv kawazimia sim
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ishu ni nini? Ishu ni huyo mtu mzito yupo kwenye circle iliyopoo!???
Tatizo kubwa ni huyu Kingpin wao na ukurupukaji wake. Hana mipango