Watu watatu wafikishwa Mahakamani kwa kosa la mauaji yaliyotokea miaka 20 iliyopita

Yaani waliua wakiwa na miaka kumi.

Hii nchi bana
 
Wakazi wa mitaa ya Machinjioni na Makaburini! Waathirika wa majina ya mitaa.
 
Kosa miaka 20 iliyopita, watumiwa miaka 30, 32 na 34; maana yake walikuwa miaka 10,12 na 14. Okay
Nimejiuliza swali ilo ilo. Kwamba tukirudisha nyuma 20 years, how was that possible? Kwamba watoto walimbeba marehemu na kwenda kumtupa, watoto waliweza kuitunza Siri?
 
Watoto wa miaka kumi na nne,kumi na tatu miaka 20 iliyopita walikuwa kidogo wana miili unaweza kusema ni sawa tu na watoto wa form 3 miaka hii hivyo akili ya kutenda jinai hiyo wanaweza kuwa nayo na hata akili ya kusema tufiche mwili wanaweza kuwa nayo vilevile,miaka ya 80 tukiwa bado wadogo kuna mtoto mwenzetu mtaani alimpiga teke la tumbo mwenzie na kumuua tukiwa tunacheza tu kiutaniutani hivyo labda tusikie mazingira ya kifo yalikuwaje kwa wenzetu hao
 
Watuhumiwa wakati wa tukio walikuwa na hiyo miaka 2002 ,kwa hiyo sasa wapo na miaka hamsini plus nilivyoelewa mimi.
 
mbona maelezo yanaeleza vizuri,mwandisha umri wa watuhimiwa wakati wa tukio
... huyo ni mtu aliyesoma hiyo habari mwenyewe yet hakuelewa; sijui akienda kumsimulia mwingine na huyo mwingine naye akaenda kusimulia; after 5 recipients haitakuwa hiyo habari tena; itakuwa habari "mpya" kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…