Watu watatu wahukuiwa kifo kwa kumkashifu Mtume Muhammad kwenye mitandao ya kijamii

Watu watatu wahukuiwa kifo kwa kumkashifu Mtume Muhammad kwenye mitandao ya kijamii

Hujaonyesha upumbavu unao usema, sababu nitakuuliza jambo la kijinga wewe unalipimaje ? Kwa akili zako cha kichwa mchunga au kwa matamanio yako ? Yaani marejeo yako ya kujua ujinga ni yapi ?

Pili, hii si maana ya mpumbavu uliyo itoa, inabidi utuambie kwanini umetuwekea maana isiyo ya mpumbavu huku ukakusudia ya kuwa ni mpumbavu ?

Tatu, hujaainisha ujinga ni upi na usawa wa mambo hapo ni upi ?

Swali langu bado hujajibu. Nimeelewa ulichokiandika ndiyo maana nimekukosoa.
Wewe sio wa kupanga hoja na mimi sababu akili yako nimeshaisoma
 
Ndio kweli izi dini za kipumbavu Lakin usiingilie upumbavu wa watu wengine fanya mambo yako bila kuwabugudh watu
Upumbavu hutakiwi kwenye jamii inayojitambua! Tutaupiga vita upumbavu hadi ubaki kuwa historia
 
Of Course Mtume asingefanya hayo mambo....

Mtu mmoja aliongea vizuri, "Don't be a Christian, Be Christlike"

Watu badala ya kutenda kama viongozi wa dini zao wangetenda, wanadhani kuwa wakali kwa wanaokashifu dini zao ndio muhimu zaidi.
Inasikitisha sana
 
Unapoita dini ni upumbavu ukumbuke kuna watu wanaiona dini ni kitu cha thamani kwao. Kuanza kudhihaki waumini wa dini ni kuingilia haki na uhuru binafsi wa watu kuamini. Haikubaliki!!!

Ukiona dini flani ni upumbavu basi hilo liishie kichwani kwako wala usitake watu wajue. Achana na hao watu wafanye vile wanaamini.
 
Sioni kama ni sahihi kumpambania MUNGU. Yani nisababishe kifo kwaajili yake halafu kuuwa ni dhambi..... Kwa nini asimuondoe mapema kabla hajatukana.... Au mtukanaji asiadhibiwe.MAWAZO YA MVINYO
 
Unapoita dini ni upumbavu ukumbuke kuna watu wanaiona dini ni kitu cha thamani kwao. Kuanza kudhihaki waumini wa dini ni kuingilia haki na uhuru binafsi wa watu kuamini. Haikubaliki!!!

Ukiona dini flani ni upumbavu basi hilo liishie kichwani kwako wala usitake watu wajue. Achana na hao watu wafanye vile wanaamini.
Ila watu wa Dini ndio wanaoongoza kuwaita watu wasio na dini majina mabaya, wapumvavu, waovu, makafiri, n.k
 
Ila watu wa Dini ndio wanaoongoza kuwaita watu wasio na dini majina mabaya, wapumvavu, waovu, makafiri, n.k
Hapo ndio makosa yalipo...Mi niko neutral sijajikita katika dini ila mtu akileta ngebe naruka nae.
 
Back
Top Bottom