Wewe sio wa kupanga hoja na mimi sababu akili yako nimeshaisomaHujaonyesha upumbavu unao usema, sababu nitakuuliza jambo la kijinga wewe unalipimaje ? Kwa akili zako cha kichwa mchunga au kwa matamanio yako ? Yaani marejeo yako ya kujua ujinga ni yapi ?
Pili, hii si maana ya mpumbavu uliyo itoa, inabidi utuambie kwanini umetuwekea maana isiyo ya mpumbavu huku ukakusudia ya kuwa ni mpumbavu ?
Tatu, hujaainisha ujinga ni upi na usawa wa mambo hapo ni upi ?
Swali langu bado hujajibu. Nimeelewa ulichokiandika ndiyo maana nimekukosoa.
Upumbavu hutakiwi kwenye jamii inayojitambua! Tutaupiga vita upumbavu hadi ubaki kuwa historiaNdio kweli izi dini za kipumbavu Lakin usiingilie upumbavu wa watu wengine fanya mambo yako bila kuwabugudh watu
Mtume wa wapi wakati aliyemtuma hayupo?Si sawa kumdhihaki rais ila ni sahihi kumdhihaki mtume?
Jaribu kufikiria kwa kutumia ubongo badala ya kifikiri kwa kitumia makamasi.
Utakua kama wenzako wa Pakistan kujifanya MA memba kushobokea upumbavu wa watuUpumbavu hutakiwi kwenye jamii inayojitambua! Tutaupiga vita upumbavu hadi ubaki kuwa historia
Ww una ushahidi gani kwamba hayupo?Mtume wa wapi wakati aliyemtuma hayupo?
Of Course Mtume asingefanya hayo mambo....Alijibuje?
Inasikitisha sanaOf Course Mtume asingefanya hayo mambo....
Mtu mmoja aliongea vizuri, "Don't be a Christian, Be Christlike"
Watu badala ya kutenda kama viongozi wa dini zao wangetenda, wanadhani kuwa wakali kwa wanaokashifu dini zao ndio muhimu zaidi.
Hakuna nchi isio ongozwa na Sheria mkuu Pakistan asilimia 90 ni waislam je unajua amewakosea wapakistan wangap na hao walokosea ni watatu tuu lazima tuheshimu dini za watu hiyo sio siasa unagusa mioyo ya watuNdio maana nasema huu upumbavu unatakiwa kupigwa vita na kila mwenye akili timamu!
Kaongelee haya Pakistan halafu ulete mrejeshotoka mtume amuingilie mtoto wa miaka tisa sina hΓ mu naye,mshikaji analikuwa anapenda chini sana
Eeh wamepasuka kwa haki kabisa, amna namna katiba na iheshimiweIngekua uonevu kama hiyo sheria imetungwa baada ya wao kuzingua, lakini kama mkeka upo toka kitambo acha wapigwe mawe tu πππππ
ππππ katiba na sheria ziheshimiwe au warudi tena mjengoni kubadilisha ila kwa sasa hamna namnaEeh wamepasuka kwa haki kabisa, amna namna katiba na iheshimiwe
ππππ katiba na sheria ziheshimiwe au warudi tena mjengoni kubadilisha ila kwa sasa hamna namnaEeh wamepasuka kwa haki kabisa, amna namna katiba na iheshimiwe
Ila watu wa Dini ndio wanaoongoza kuwaita watu wasio na dini majina mabaya, wapumvavu, waovu, makafiri, n.kUnapoita dini ni upumbavu ukumbuke kuna watu wanaiona dini ni kitu cha thamani kwao. Kuanza kudhihaki waumini wa dini ni kuingilia haki na uhuru binafsi wa watu kuamini. Haikubaliki!!!
Ukiona dini flani ni upumbavu basi hilo liishie kichwani kwako wala usitake watu wajue. Achana na hao watu wafanye vile wanaamini.
Hapo ndio makosa yalipo...Mi niko neutral sijajikita katika dini ila mtu akileta ngebe naruka nae.Ila watu wa Dini ndio wanaoongoza kuwaita watu wasio na dini majina mabaya, wapumvavu, waovu, makafiri, n.k