Watu wema bado wapo na wanaishi

Tuendelee kumshukuru Mungu kwa kutuletea watu wema kuishi nasi.

Gusa maisha ya wengine as gratitude kwa Mungu
 
Thanks ciccy,. masai dada
Nimekutumia Tayari 🙏🙏
 
Kuna kipindi nilitaka ushauri wa mawazo juu ya Jambo Fulani Fulani huwezi amini

Jamaa walikuja inbox na nili shauriwa bureeee kabisa Tena ushauri mzuri wenye tija na mashiko kabisa sikutegemea na ulinisaidia Sanaa

Good people are still existing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…