Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

uko sahihi Mkuu...
Hapa Ofcn niko na jamaa mmoja wa Kabila maarufu sana toka Wilayani Tarime. Jamaa akiwa anakula chakula huwezi kaa karibu yake maana ni zaidi ya mnyama "Mbwa" maana ni hovyo kuliko hovyo yenyewe. Bado sijajua tatizo la jamaa zetu hawa ni nini.
 
Na akiona umemzid anakutushia kwa ku-ignore
Baada ya kumuona anatishia watu kwa kuwa-ignore nikagundua uwezo wake ni mdogo wa kupambana kihoja
 
nimekuwa karibu na watu wa huko miaka mingi mbona icho kitu sijawahi kukiona ndugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…