Watu wengi wa Pwani hawajui kuzungumza kiswahili Fasaha

Watu wengi wa Pwani hawajui kuzungumza kiswahili Fasaha

Sikiliza kwanza wewe kenge wa bara! Ugali unaweza kugawa robo tatu ukiwa solid kwa kukata 😅😅kama slices ila unga huwezi kupima kwa robo tatu ,una mengi ya kujifunga ila anza na kuoga kwanza.
Unga unataja vipimo exactly kutokana na mawe ya kupima ,hizo robo tatu labda ugali ushapikwa upo solid 😅😅kama unataka kula ukataka hiyo robo tatu .

Hivyo vipimo vya robo tatu mtapeleka mpaka kweny mafuta 😅😅kenge wa bara mna mengi sana ya kujifunza .

Mafuta tunatumia lita kama vimiminika vingine hata mazima ..Vipimo vingine ni mm .
Kwa sentence hii umedhirisha uPwani wako😅 yan ukilaza wako

Okay hyo nusu na robo kwa kingereza unaiitaje !? Ndio muone mlivyo viande 😅 robo tatu ni three quarters ,jus Simple n clear, ww endelea kukuna nazi tu ndio issue mnaweza.

Na ukjua kuoga ww dada inatosha, wanaume tuna mambo mengi 🤪
 
Soko(suuk) ni neno la kiarabu,wazanzibar wanalijua neno soko,walitumia kabla mwingereza hajaenda zenj,marikiti(market) ni la muingereza
Utohowaji wa maneno ni kawaida katika lugha.
Na lugha pia hubadilika baadhi ya misamiati ama huzalishaji misamiati mipya kwa kutokana na muingiliano wa kijamii ama maendeleo ya utandawazi.
 
ZANZIBAR SWAHILI WORDS

wewe - weye

majukumu - kazi mkononi

funga mlango - tia Pete

usiniudhi - nitolee hashuo

nyanya - tungule

bubble gum - ubani

wali - ubwabwa

mjomba - ammy

sokoni - marikiti
wali na ubwabwa ni viwili tofauti mkuu,vyote ni viswahili sanifu.
 
Robi tatu kweny unga? Hakuna weny akili kutoka bara tangu nchi iumbe ,wakati tunatafuta uhuru nyie hata kuoga hamjui😅😅😅.

Bara wengi wathenge ndio maana mnajazana huku pwani ,angalia context eti kipimo cha unga robo tatu ina maana aweke majiwe matatu ya robo?

Wajinga sana mna mengi ya kujifunza hakuna aliyeoza meno huku, tunachek sijui mnakula kinyesi meno yana kutu kama ngedere.

Akili mzitoe wapi 😅? Wachafu shenzi kabisa!

Entertainment zote zipo pwani kila kitu mpaka elimu..Mfano mimi nije bara kufanya nn ? Sehemu ina washamba watu wachafu wananuka kama mbuzi!

Hayo manukato bara hamna ,wezi mnanuka.😅😅😅
Wakat unatafuta uhuru na nani surely 😅😅 wakati bila sisi had leo hii nyie mngekuwa chakula ya jamaa

Uhuru wenyewe tumewapa sie nyie kwa akili zenu hzi had leo mngekuwa mnatawaliwa waPwani nyie 😅

Nyie mlkuwa ni machawa tu kipndi hicho you were just puppets ama hata hujasoma mzee 😆
 
Kwa sentence hii umedhirisha uPwani wako😅 yan ukilaza wako

Okay hyo nusu na robo kwa kingereza unaiitaje !? Ndio muone mlivyo viande 😅 robo tatu ni three quarters ,jus Simple n clear, ww endelea kukuna nazi tu ndio issue mnaweza.

Na ukjua kuoga ww dada inatosha, wanaume tuna mambo mengi 🤪
Nionyeshe jiwe la robo tatu hanithi wewe😅😅😅..Mtu anasema awekewe jiwe la nusu na robo

Sasa wewe nionyeshe jiwe la robo tatu, wajinga wakati ukitaja anaweka jiwe la nusu na robo...Wanuka midomo mna mengi sana ya kujifunza.

Robo tatu inaweza kutumika kweny maumbo tu sio vipimo vya dukani ,hakuna jiwe la robo tatu.

Kwa hiyo ,ukitaka kilo 2 na nusu ,unasema nataka robo tano😅😅😅
 
Kwa sentence hii umedhirisha uPwani wako😅 yan ukilaza wako

Okay hyo nusu na robo kwa kingereza unaiitaje !? Ndio muone mlivyo viande 😅 robo tatu ni three quarters ,jus Simple n clear, ww endelea kukuna nazi tu ndio issue mnaweza.

Na ukjua kuoga ww dada inatosha, wanaume tuna mambo mengi 🤪
Zanzibar ni pwani lakini kiswahili chao kuna maeneo kina Shida sana,Niliwahi kukaa na mzazibari sehemu alikuwa akiongea simuelewi kabisa anaongea nini. Nimezaliwa pwani,nimekulia pwani,hakuna sehemu utapata kiswahili sahihi kama pwani. Pwani ndio kwa waswahili. Mfano mmoja wa mpemba ndio uje ukosoe watu wote wa pwani?
 
Kwa sentence hii umedhirisha uPwani wako😅 yan ukilaza wako

Okay hyo nusu na robo kwa kingereza unaiitaje !? Ndio muone mlivyo viande 😅 robo tatu ni three quarters ,jus Simple n clear, ww endelea kukuna nazi tu ndio issue mnaweza.

Na ukjua kuoga ww dada inatosha, wanaume tuna mambo mengi 🤪
Kwa kiingereza ni quarter and a half.
 
Nionyeshe jiwe la robo tatu hanithi wewe😅😅😅..Mtu anasema awekewe jiwe la nusu na robo

Sasa wewe nionyeshe jiwe la robo tatu, wajinga wakati ukitaja anaweka jiwe la nusu na robo...Wanuka midomo mna mengi sana ya kujifunza.

Robo tatu inaweza kutumika kweny maumbo tu sio vipimo vya dukani ,hakuna jiwe la robo tatu.

Kwa hiyo ,ukitaka kilo 2 na nusu ,unasema nataka robo tano😅😅😅
Hv nyie huko mkifka dukani ndio mnasema niwekee jiwe la nusu na robo si ndio 😅

Kuna ktu inaitwa taaluma /someone's professional huwezi ukaenda dukan ety useme niwekee jiwe la nusu na robo kwani umeenda kuchukua mawe hapo!?

Unapoonda hospital daktari unaweza kumuelezea jinsi gan unajskia na akajua unasumbuliwa na ktu gan, ukienda dukan ukimwambia muuzaji nipe robo 3 anakuelewa sababu ile ni kaz yke anajua anafany nn kuipata hyo robo.


Kwhyo nyie huko mnaongea kwa kuangalia mawee 😅🙌 elimu elimu eliiimu mavi nyie.
 
Kwa kiingereza ni quarter and a half.
Okay kwhyo ukienda dukan ukaongea kwa kiingereza utasemaje!?

Sisi huku utasema, measure out three quarters of rice inaeleweka hyo na nyie sasa.

Au ndio utasema measure out quarter and ahalf of rice 😅 mlipuyanga na hamkupewa education until it's worse now.
 
Nionyeshe jiwe la robo tatu hanithi wewe😅😅😅..Mtu anasema awekewe jiwe la nusu na robo

Sasa wewe nionyeshe jiwe la robo tatu, wajinga wakati ukitaja anaweka jiwe la nusu na robo...Wanuka midomo mna mengi sana ya kujifunza.

Robo tatu inaweza kutumika kweny maumbo tu sio vipimo vya dukani ,hakuna jiwe la robo tatu.

Kwa hiyo ,ukitaka kilo 2 na nusu ,unasema nataka robo tano😅😅😅
Kwamba robo 3 inatumika kwenye maumbo tu ila nusu na robo ndio kwenye vipimo vingne 😅 a little bit mad 😁

Mjomba mm sio mtu waPwani aseeh😁 wadanganye haohao vilaza wa huko😅 ambao akili zao zinawaza singeli tu.
 
Okay kwhyo ukienda dukan ukaongea kwa kiingereza utasemaje!?

Sisi huku utasema, measure out three quarters of rice inaeleweka hyo na nyie sasa.

Au ndio utasema measure out quarter and ahalf of rice 😅 mlipuyanga na hamkupewa education until it's worse
Kiingereza chenyewe hujui.
You are grammatically wrong.
You were supposed to say three quarters kilogram of a rice.
Na kwa kiingereza saying quarter and half kilograms of rice ndio sahihi zaidi.
 
Kiingereza chenyewe hujui.
You are grammatically wrong.
You were supposed to say three quarters kilogram of a rice.
Na kwa kiingereza saying quarter and half kilograms of rice ndio sahihi zaidi.
Man be serious 😅 nyie ndio mnaongea English yakukariri

Yan ww hapo ni kama kinaongea kitabu na sio ww😆 jamaa yangu unaongea km kitabu but it's okay umeeleweka.

Hauwezi Ukafka dukan ukaropoka three quarters kilograms of a rice, three quarters kgm of a rice zimefanya nn!? Measure out three quarters of rice nipimie robo 3 ya mchele.
Wewe utafka useme three quarters kgms of rice robo tatu ya mchele ehee imefany nn sasa😅
 
Kwamba robo 3 inatumika kwenye maumbo tu ila nusu na robo ndio kwenye vipimo vingne 😅 a little bit mad 😁

Mjomba mm sio mtu waPwani aseeh😁 wadanganye haohao vilaza wa huko😅 ambao akili zao zinawaza singeli tu.
Nionyeshe jiwe la robo tatu, angalia mazingira hapo sisi tunataja mawe ya vipimo sawa swa😅😅😅.

Kwa hiyo unga wako ni robo tatu ,yaani robo tatu ya unga 😅hii neno kimantiki halipo sawa ,kaandike kingereza robo tatu ya unga then angalia grammar. Robo tatu ya eneo sio unga ndio maana manatolewa vyeti fake 99% ni wabara .

Kwa hiyo nyie pumbavu ,ukitaka nusu unasema nataka robo mbili ,wakati lipo jiwe moja la nusu .

Keki na vitu vya solid ndio vinaweza kukatwa robo tatu ila unga huwezi kutaja robo tatu labda ugali ,kwa sababu kimantiki na maandishi ni totally error yaani hujui kitu kabisa.
 
Licha ya kiswahili kuzaliwa katika pwana ya Afrika mashariki, na kuzungumzwa zaidi Tanzania kuliko Mataifa yote. Kiswahili fasaha bado ni changamoto katika ukanda wa pwana ya Tanzania na visiwa vya Zanzibar.

Leo katika harakati zangu za pimbi katika mkoa wa pwani, nikapita katika duka moja la Mpemba hili kununua mahitaji yangu. Kwanza nikauliza kuna dawa ya meno, akanijibu ndio zipo, ila rafudhi imekaa kizanzibari fulani hivi, nikajua huyu mpemba. Akanitajia bei ya bidhaa niliyokuwa nahitaka, zilikuwepo bei za bidhaa tofauti tofauti na mbili wapo zilipishana utofauti wa bei ya shilingi 100, nikauliza kwa nini dawa hizi za kampuni moja zipishane utofauti wa 100.

Jamaa akazungumza kiswahili ambacho mimi binafsi nilikuwa sielewi nini anazungumza, niliona ana bwabwaja tu, kikugha si kilugha kiswahili si kiswahili huku mimi nikinasa maneno machache tu. Sentensi pekee niliyoinasa ni "Ndio maana watanzania mkienda Kenya mnawekwa mahabusu hamsikilizwi, polisi wanakwepa kuzungumza nanyi kiswahili" moja kwa moja nikajua jamaa kiswahili anapata tabu sana kizungumza kwa ufasaha.

Wazaramo na makabila mengine ya pwani wanapuyanga sana kwenye kiswahili;

Mfano: Robo tatu, wao wanaita nusu na robo ambacho si kiswahili fasaha.
Lugha ya kiswahili ilianzia Pwani hivyo basi lugha ya kiswahili imechanyika na Lugha za watu wa pwani

Mtu wa pwani akiongea kiswahili humo humo Kuna kilugha chao

Mpemba hana lugha nyingine zaidi ya Kiswahili

Mzaramo
asilimia 75 ya misamiati ya Lugha ya kizaramo imiingizwa katika kiswahili mfano neno Kungwi , Jando, kizingiti

Nyinyi watu wa mikoani na kiswahili chenu Cha kujifunzia shuleni ukikutana na mtu wa pwani ambaye ndio founder wa lugha ya kiswahili lazima mshangae
 
Nionyeshe jiwe la robo tatu, angalia mazingira hapo sisi tunataja mawe ya vipimo sawa swa😅😅😅.

Kwa hiyo unga wako ni robo tatu ,yaani robo tatu ya unga 😅hii neno kimantiki halipo sawa ,kaandike kingereza robo tatu ya unga then angalia grammar. Robo tatu ya eneo sio unga ndio maana manatolewa vyeti fake 99% ni wabara .

Kwa hiyo nyie pumbavu ,ukitaka nusu unasema nataka robo mbili ,wakati lipo jiwe moja la nusu .

Keki na vitu vya solid ndio vinaweza kukatwa robo tatu ila unga huwezi kutaja robo tatu labda ugali ,kwa sababu kimantiki na maandishi ni totally error yaani hujui kitu kabisa.
Pole sana ni kama nakunyanyasa hv 😅 nlichokiona kwako n dhahiri shahiri unakariri na n Mwl gani aliekufundisha robo 3 inatumika kwenye maumbo tu !? Na kuhusu vyeti vyeki ni km umejitusi 😁 wote tunajua Pwani ndio nyumbani kwa Vilaza.😃
 
Licha ya kiswahili kuzaliwa katika pwana ya Afrika mashariki, na kuzungumzwa zaidi Tanzania kuliko Mataifa yote. Kiswahili fasaha bado ni changamoto katika ukanda wa pwana ya Tanzania na visiwa vya Zanzibar.

Leo katika harakati zangu za pimbi katika mkoa wa pwani, nikapita katika duka moja la Mpemba hili kununua mahitaji yangu. Kwanza nikauliza kuna dawa ya meno, akanijibu ndio zipo, ila rafudhi imekaa kizanzibari fulani hivi, nikajua huyu mpemba. Akanitajia bei ya bidhaa niliyokuwa nahitaka, zilikuwepo bei za bidhaa tofauti tofauti na mbili wapo zilipishana utofauti wa bei ya shilingi 100, nikauliza kwa nini dawa hizi za kampuni moja zipishane utofauti wa 100.

Jamaa akazungumza kiswahili ambacho mimi binafsi nilikuwa sielewi nini anazungumza, niliona ana bwabwaja tu, kikugha si kilugha kiswahili si kiswahili huku mimi nikinasa maneno machache tu. Sentensi pekee niliyoinasa ni "Ndio maana watanzania mkienda Kenya mnawekwa mahabusu hamsikilizwi, polisi wanakwepa kuzungumza nanyi kiswahili" moja kwa moja nikajua jamaa kiswahili anapata tabu sana kizungumza kwa ufasaha.

Wazaramo na makabila mengine ya pwani wanapuyanga sana kwenye kiswahili;

Mfano: Robo tatu, wao wanaita nusu na robo ambacho si kiswahili fasaha.
‘Nusu na robo’ ina tofauti gani na ‘robo tatu’?
 
Back
Top Bottom