Watu wengi wa Pwani hawajui kuzungumza kiswahili Fasaha

Watu wengi wa Pwani hawajui kuzungumza kiswahili Fasaha

Man be serious 😅 nyie ndio mnaongea English yakukariri

Yan ww hapo ni kama kinaongea kitabu na sio ww😆 jamaa yangu unaongea km kitabu but it's okay umeeleweka.

Hauwezi Ukafka dukan ukaropoka three quarters kilograms of a rice, three quarters kgm of a rice zimefanya nn!? Measure out three quarters of rice nipimie robo 3 ya mchele.
Wewe utafka useme three quarters kgms of rice robo tatu ya mchele ehee imefany nn sasa😅
Nipimie robo tatu ya mchele kiminajili ipi!?
Kiminajili ya kilogram au ya tani!?
Hata tani ina robo tatu pia,kuna robo tani na kuna nusu tani,au hujui hilo!?
Halafu unajitoa akili,we were not talking about how you should say while buying a rice in the shop in kilogram accordance,but we were talking how grammatically you are supposed to say it wherever you are.
Unaanza kuhamisha magoli?
Hata ukisema I need quarter and half kilograms of rice pia ni sawa,other shops packages are already been done according to the measurement.
Sio kila sehemu kuna mizani.Kwingine umekwishapimwa na kuwekwa katika vipakia.
 
Pole sana ni kama nakunyanyasa hv 😅 nlichokiona kwako n dhahiri shahiri unakariri na n Mwl gani aliekufundisha robo 3 inatumika kwenye maumbo tu !? Na kuhusu vyeti vyeki ni km umejitusi 😁 wote tunajua Pwani ndio nyumbani kwa Vilaza.😃
Robo tatu ya unga!?😅😅😅 Hamna kweny unga labda kiwanja kwa vipimo vyake ni sawa ,robo tatu ya watu ,ila sio unga kwa vipimo vya mezani .

Pale kuna jiwe la robo ,nusu ,kilo na kuendelea ..Mimi nasema nataka nusu na robo yaani jiwe la nusu na robo ,sasa mambo ya robo tatu iweje labda ana majiwe matatu ya robo basi mimi nimeuza duka hatuna hayo matatu 😅😅.

Kilo moja mnasema robo nne😅😅wajinga kubalini kujifunza kenge nyie!!😅😅😅
 
Nipimie robo tatu ya mchele kiminajili ipi!?
Kiminajili ya kilogram au ya tani!?
Hata tani ina robo tatu pia,kuna robo tani na kuna nusu tani,au hujui hilo!?
Halafu unajitoa akili,we were not talking about how you should say while buying a rice in the shop in kilogram accordance,but we were talking how grammatically you are supposed to say it wherever you are.
Unaanza kuhamisha magoli?
Hata ukisema I need quarter and half kilograms of rice pia ni sawa,other shops packages are already been done according to the measurement.
Sio kila sehemu kuna mizani.Kwingine umekwishapimwa na kuwekwa katika vipakia.
I can not accept such a thing mzee, this debate will not have a destiny, Everyone is trying to pull on his side.

Kila mtu azungumze anavotaka yeye.
 
I can not accept such a thing mzee, this debate will not have a destiny, Everyone is trying to pull on his side.

Kila mtu azungumze anavotaka yeye.
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
Let's stick on the truth in order we can learn from each other brother.
Tuache masuala ya mwamba ngoma huvutia kwake.
 
Watu wa pwani ni nani?ni wale walio ukanda wa pwani na kukosa utambulisho wa lugha yao ya asili?kama sifa ya kuwa karibu na bahari je wanafanana kitabia kutoka tanga hadi mtwara?Mi neno sahihi ni waswahili.
 
Huku kijichi dar kuna ufukwe unaitwa msende sema ikiwa na maana msiende kusema,wenyeji kiasili ni wazaramo.
 
Sikiliza kwanza wewe kenge wa bara! Ugali unaweza kugawa robo tatu ukiwa solid kwa kukata 😅😅kama slices ila unga huwezi kupima kwa robo tatu ,una mengi ya kujifunga ila anza na kuoga kwanza.
Unga unataja vipimo exactly kutokana na mawe ya kupima ,hizo robo tatu labda ugali ushapikwa upo solid 😅😅kama unataka kula ukataka hiyo robo tatu .

Hivyo vipimo vya robo tatu mtapeleka mpaka kweny mafuta 😅😅kenge wa bara mna mengi sana ya kujifunza .

Mafuta tunatumia lita kama vimiminika vingine hata mazima ..Vipimo vingine ni mm .
Nasikitika sana namna ilivyoshindikana mjadala huu kuwa ni wa kuelimishana na kugeuka nafasi ya kutukanana.
Mimi kwetu nilikozaliwa ni bara tena bara ya mbali huko Ngara mkoani Kagera jirani na Rwanda na Burundi.
Lakini nimeishi Tanga mjini miaka 9 na nimeoa mwanamke wa kitanga na kuzaa nae watoto kadhaa.
Lakini pia mimi ni mwalimu wa madrasa, nasomesha elimu ya dini ya kiislamu kwa lugha ya kiarabu pamoja na masomo ya lugha ya kiarabu.
Mke wangu kwa kuwa ni mtanga neno nusu na robo hulitumia mara kwa mara na mimi mda mrefu nimekuwa nikomwambia hicho sio kiswahili sanifu bali kiswahili sanifu ni robo tatu!.
Watetezi wa nusu na robo nimeona hoja yao kubwa na mawe ya mizani ya muuza duka na wamesahau kwamba sio mizani yote inayokuwa na mawe bali kuna mizani yenye umbo la saa ambapo mshale huzunguka kulingana na uzito wa kitu kinachopimwa.
Kuna mizani ya kisasa kidijtali yenye screen ambayo huandikwa namba kwenye screen kipnyesha kiasi Cha uzito wa kitu kinachopimwa. Kwahiyo mizani ipo aina nyingi na siyo kwamba yote inatumia mawe ya kupimia uzito. Kwa mfano tukipima uzito wa mtu mwenye kilo sabini na mbili na 3/4 ndio tuseme ana kilo 72 na nusu na robo au kilo 72 na robo tatu.?!
Lakini pia tukifananisha kiswahili na kiarabu mwarabu 3/4 hasemi
النصف و الربع!!!
Ukimwambia maneno hayo mwarabu ambayo maana yake ndio nusu na robo hawezi kukuelewa unazungumza nini lakini ukisema
ثلاثة أرباع
Atakuelewa vizuri na hiyo maana yake ndiyo robo tatu!
Mimi sina utaalamu na lugha ya kiingereza lakini hapo juu Kuna mwenzetu kaonyesha kwamba waingereza neno wanalotumia kwa hiyo mnayoita nusu na robo inafanana zaidi na robo tatu. (three quarters)
Mwisho ndugu zanguni wazanzibari nikuusieni kumcha mola wenu.
Mtu hujafa hujaumbika , usiseme huwezi kuja bara, eti utakuja kufanya nini.?!
Nyinyi sio werevu sana kumshinda kiongozi wa NCHI yetu ambaye ni mzanzibari na katika vyuo alivyosoma ni pamoja na Mzumbe chuo kilichomo Morogoro na yeye kwa sasa anaishi Bara.
Kwenye Baraza la mawaziri wapo wazanzibari ambao ofisi zao zipo Dodoma.
Dare s salaam kuna wafanya biashara wengi toka Zanzibar ambao wamejenga nyumba na kuifanya Dar kuwa makazi yao ya kudumu.
Ukienda chuo kikuu Cha Dar es salaam, Udom Cha Dodoma , Sua Cha Morogoro na vingine wapo wazanzibari wanasoma huko na wanaishi kwa amani bila bugha Wala chuki na yeyote . Tanga wapemba wamejaa na kwa Sasa nipo Moshi mjini pia Kuna mpemba yupo hapa kikazi na tunaswali pamoja na kunywa kahawa pamoja asubuhi.
Sasa wewe unayesema huwezi kuja bara ni kwakuwa wewe ni mwerevu kushinda wazanzibari waliopo huku bara?!
 
Sasa hapo kuweka mawili ndio watu wanatenganisha kuita nusu na robo ,tuje sasa anayesema robo tatu 😅 😅 😅 😅 ndio nasikia leo tangu nazaliwa.

Vipimo kutokana na mawe mfano kilo mbili na nusu hapo umeweka jiwe na kilo mbili na nusu.

Sasa hawa wa robo tatu wametoa wapi ,wakati hivyo ni vipimo vya kweny maumbo ..Mbona kweny mafuta tunatumia lita sio sio kilogram.

Watu wa bara wanahitaji elimu sana kila sehemu kuna vipimo vyake.😅😅😅
Dah,yaani mazoweya yako ndiyo sheria!!?..robo tatu ni kipimo,mpimaji anaweza weka jiwe la robo mara tatu,anaweza pia weka jiwe la robo mara mbili ikawa nusu kilo na si robo na robo
 
Sikiliza kwanza wewe kenge wa bara! Ugali unaweza kugawa robo tatu ukiwa solid kwa kukata 😅😅kama slices ila unga huwezi kupima kwa robo tatu ,una mengi ya kujifunga ila anza na kuoga kwanza.
Unga unataja vipimo exactly kutokana na mawe ya kupima ,hizo robo tatu labda ugali ushapikwa upo solid 😅😅kama unataka kula ukataka hiyo robo tatu .

Hivyo vipimo vya robo tatu mtapeleka mpaka kweny mafuta 😅😅kenge wa bara mna mengi sana ya kujifunza .

Mafuta tunatumia lita kama vimiminika vingine hata mazima ..Vipimo vingine ni mm .
Vipimo vipo vingi, cha kwako umetolea mfano wa fraction. Lkn kuna kipimo cha Kilogram ambazo ni gram elfu 1, nusu kg ni gm 500 na robo kg ni gm 250. Mchele, unga, sukari, nyama vinatumia hivo vipimo. Either kilo kamili au nusu au robo na kuna mawe special ya hivo vipimo wanatumia kwenye mizani au mzani
 
Sasa hapo kuweka mawili ndio watu wanatenganisha kuita nusu na robo ,tuje sasa anayesema robo tatu 😅 😅 😅 😅 ndio nasikia leo tangu nazaliwa.

Vipimo kutokana na mawe mfano kilo mbili na nusu hapo umeweka jiwe na kilo mbili na nusu.

Sasa hawa wa robo tatu wametoa wapi ,wakati hivyo ni vipimo vya kweny maumbo ..Mbona kweny mafuta tunatumia lita sio sio kilogram.

Watu wa bara wanahitaji elimu sana kila sehemu kuna vipimo vyake.😅😅😅
Mkuu umesoma mass na volume pamoja na scales ⚖️ zake au physics ya form 1 ushaisahau.
Kuna vipimo vya uzito vinatumia spring balance au beam balance ndio hivyo vya kg. Na kuna vipimo vya volume-ujazo ndio hivyo vya lita. Mfano mafuta, maziwa, petrol ⛽️ n.k
 
Inaonekana wewe ndio hujui vizuri kiswahili.
Kiswahili kina lahaja tofauti tofauti na nusu na robo ni sahihi wala haijakosewa.
Kweli, akikaa na mmakunduchi huyu au mtu wa nungwi haambulii kitu japo wanaongea kiswahili.
Mie nipo zanzibar miaka lkn mmakunduchi akichowea sifaham kitu
Au umsikie mpemba wa kijijini huko ndio utablow 🤣
 
Una uhakika gani kuwa wewe unajua kiswahili? Kwanini utoe mfano wa mtu mmoja tu kati ya watu milioni kasoro?
 
Ubwabwa ni bokoboko unakuwa umeloa ila wali umekaza ...Ubwabwa wanapewa watoto yaani mfano anapika pale kabla hajafunikia ni tope anapewa .
Ila bokoboko zanzibar ni chakula hiko, ngano kwa kuku au nyama vinapikwa pamoja mpk vinakuwa laini sana then vinasongwa vinakuwa kama mseto wa mchele na chooko. So ukiwa zanzibar ukisema bokoboko wanajua bi hiko chakula.
Wali ukiwa mlaini sana huku kwetu unaitwa bondo. Ubwabwa mara nyingi inatumika kwa wali wa maji tu na mafuta sio wali wa nazi 😉
 
Back
Top Bottom