Watu wengi wa Pwani hawajui kuzungumza kiswahili Fasaha

ZANZIBAR SWAHILI WORDS

wewe - weye

majukumu - kazi mkononi

funga mlango - tia Pete

usiniudhi - nitolee hashuo

nyanya - tungule

bubble gum - ubani

wali - ubwabwa

mjomba - ammy

sokoni - marikiti
Hizo zaitwa lahaja.
 
Inaonekana wewe ndio hujui vizuri kiswahili.
Kiswahili kina lahaja tofauti tofauti na nusu na robo ni sahihi wala haijakosewa.
Eti mtu aseme robo tatu ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…wajinga hawa
 
Kwa sentence hii umedhirisha uPwani wako๐Ÿ˜… yan ukilaza wako

Okay hyo nusu na robo kwa kingereza unaiitaje !? Ndio muone mlivyo viande ๐Ÿ˜… robo tatu ni three quarters ,jus Simple n clear, ww endelea kukuna nazi tu ndio issue mnaweza.

Na ukjua kuoga ww dada inatosha, wanaume tuna mambo mengi ๐Ÿคช
 
Soko(suuk) ni neno la kiarabu,wazanzibar wanalijua neno soko,walitumia kabla mwingereza hajaenda zenj,marikiti(market) ni la muingereza
Utohowaji wa maneno ni kawaida katika lugha.
Na lugha pia hubadilika baadhi ya misamiati ama huzalishaji misamiati mipya kwa kutokana na muingiliano wa kijamii ama maendeleo ya utandawazi.
 
ZANZIBAR SWAHILI WORDS

wewe - weye

majukumu - kazi mkononi

funga mlango - tia Pete

usiniudhi - nitolee hashuo

nyanya - tungule

bubble gum - ubani

wali - ubwabwa

mjomba - ammy

sokoni - marikiti
wali na ubwabwa ni viwili tofauti mkuu,vyote ni viswahili sanifu.
 
Wakat unatafuta uhuru na nani surely ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… wakati bila sisi had leo hii nyie mngekuwa chakula ya jamaa

Uhuru wenyewe tumewapa sie nyie kwa akili zenu hzi had leo mngekuwa mnatawaliwa waPwani nyie ๐Ÿ˜…

Nyie mlkuwa ni machawa tu kipndi hicho you were just puppets ama hata hujasoma mzee ๐Ÿ˜†
 
Nionyeshe jiwe la robo tatu hanithi wewe๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…..Mtu anasema awekewe jiwe la nusu na robo

Sasa wewe nionyeshe jiwe la robo tatu, wajinga wakati ukitaja anaweka jiwe la nusu na robo...Wanuka midomo mna mengi sana ya kujifunza.

Robo tatu inaweza kutumika kweny maumbo tu sio vipimo vya dukani ,hakuna jiwe la robo tatu.

Kwa hiyo ,ukitaka kilo 2 na nusu ,unasema nataka robo tano๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Zanzibar ni pwani lakini kiswahili chao kuna maeneo kina Shida sana,Niliwahi kukaa na mzazibari sehemu alikuwa akiongea simuelewi kabisa anaongea nini. Nimezaliwa pwani,nimekulia pwani,hakuna sehemu utapata kiswahili sahihi kama pwani. Pwani ndio kwa waswahili. Mfano mmoja wa mpemba ndio uje ukosoe watu wote wa pwani?
 
Kwa kiingereza ni quarter and a half.
 
Hv nyie huko mkifka dukani ndio mnasema niwekee jiwe la nusu na robo si ndio ๐Ÿ˜…

Kuna ktu inaitwa taaluma /someone's professional huwezi ukaenda dukan ety useme niwekee jiwe la nusu na robo kwani umeenda kuchukua mawe hapo!?

Unapoonda hospital daktari unaweza kumuelezea jinsi gan unajskia na akajua unasumbuliwa na ktu gan, ukienda dukan ukimwambia muuzaji nipe robo 3 anakuelewa sababu ile ni kaz yke anajua anafany nn kuipata hyo robo.


Kwhyo nyie huko mnaongea kwa kuangalia mawee ๐Ÿ˜…๐Ÿ™Œ elimu elimu eliiimu mavi nyie.
 
Kwa kiingereza ni quarter and a half.
Okay kwhyo ukienda dukan ukaongea kwa kiingereza utasemaje!?

Sisi huku utasema, measure out three quarters of rice inaeleweka hyo na nyie sasa.

Au ndio utasema measure out quarter and ahalf of rice ๐Ÿ˜… mlipuyanga na hamkupewa education until it's worse now.
 
Kwamba robo 3 inatumika kwenye maumbo tu ila nusu na robo ndio kwenye vipimo vingne ๐Ÿ˜… a little bit mad ๐Ÿ˜

Mjomba mm sio mtu waPwani aseeh๐Ÿ˜ wadanganye haohao vilaza wa huko๐Ÿ˜… ambao akili zao zinawaza singeli tu.
 
Kiingereza chenyewe hujui.
You are grammatically wrong.
You were supposed to say three quarters kilogram of a rice.
Na kwa kiingereza saying quarter and half kilograms of rice ndio sahihi zaidi.
 
Kiingereza chenyewe hujui.
You are grammatically wrong.
You were supposed to say three quarters kilogram of a rice.
Na kwa kiingereza saying quarter and half kilograms of rice ndio sahihi zaidi.
Man be serious ๐Ÿ˜… nyie ndio mnaongea English yakukariri

Yan ww hapo ni kama kinaongea kitabu na sio ww๐Ÿ˜† jamaa yangu unaongea km kitabu but it's okay umeeleweka.

Hauwezi Ukafka dukan ukaropoka three quarters kilograms of a rice, three quarters kgm of a rice zimefanya nn!? Measure out three quarters of rice nipimie robo 3 ya mchele.
Wewe utafka useme three quarters kgms of rice robo tatu ya mchele ehee imefany nn sasa๐Ÿ˜…
 
Kwamba robo 3 inatumika kwenye maumbo tu ila nusu na robo ndio kwenye vipimo vingne ๐Ÿ˜… a little bit mad ๐Ÿ˜

Mjomba mm sio mtu waPwani aseeh๐Ÿ˜ wadanganye haohao vilaza wa huko๐Ÿ˜… ambao akili zao zinawaza singeli tu.
Nionyeshe jiwe la robo tatu, angalia mazingira hapo sisi tunataja mawe ya vipimo sawa swa๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜….

Kwa hiyo unga wako ni robo tatu ,yaani robo tatu ya unga ๐Ÿ˜…hii neno kimantiki halipo sawa ,kaandike kingereza robo tatu ya unga then angalia grammar. Robo tatu ya eneo sio unga ndio maana manatolewa vyeti fake 99% ni wabara .

Kwa hiyo nyie pumbavu ,ukitaka nusu unasema nataka robo mbili ,wakati lipo jiwe moja la nusu .

Keki na vitu vya solid ndio vinaweza kukatwa robo tatu ila unga huwezi kutaja robo tatu labda ugali ,kwa sababu kimantiki na maandishi ni totally error yaani hujui kitu kabisa.
 
Lugha ya kiswahili ilianzia Pwani hivyo basi lugha ya kiswahili imechanyika na Lugha za watu wa pwani

Mtu wa pwani akiongea kiswahili humo humo Kuna kilugha chao

Mpemba hana lugha nyingine zaidi ya Kiswahili

Mzaramo
asilimia 75 ya misamiati ya Lugha ya kizaramo imiingizwa katika kiswahili mfano neno Kungwi , Jando, kizingiti

Nyinyi watu wa mikoani na kiswahili chenu Cha kujifunzia shuleni ukikutana na mtu wa pwani ambaye ndio founder wa lugha ya kiswahili lazima mshangae
 
Pole sana ni kama nakunyanyasa hv ๐Ÿ˜… nlichokiona kwako n dhahiri shahiri unakariri na n Mwl gani aliekufundisha robo 3 inatumika kwenye maumbo tu !? Na kuhusu vyeti vyeki ni km umejitusi ๐Ÿ˜ wote tunajua Pwani ndio nyumbani kwa Vilaza.๐Ÿ˜ƒ
 
โ€˜Nusu na roboโ€™ ina tofauti gani na โ€˜robo tatuโ€™?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ