Huo sio mtazamo ni maandiko.
Sefania 3:17
BWANA, Mungu wako, yu katikati yako shujaa awezaye kuokoa; Atakushangilia kwa furaha kuu, Atakutuliza katika upendo wake, Atakufurahia kwa kuimba.
YESU
Mark 14:26 and Matthew 26:30, after the Last Supper, “After singing a hymn, they [Jesus and the disciples] went out to [Gethsemane on] the Mount of Olives,”
Kuhusu wimbo gani haujasemwa ila waliimba na kwa mujibu wa desturi ya kiyahudi siku ya pasaka ullimbwa wimbo wa zaburi 118 na zaburi ny8ngine katika kila hatua ya sherehe za Pasaka