Watu wengi watajiuliza kuhusu Iran ajali iliyotokea ila ni wajuze kuhusu Helikopta

Watu wengi watajiuliza kuhusu Iran ajali iliyotokea ila ni wajuze kuhusu Helikopta

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Mimi nashangaa sana tena hapa kwetu kila kukicha wanaojitokeza kwa kusema wanavipaji vya kutengeneza helikopta.

Helikopta sio maputo wala utani kama wanvofikiria watu wengi na usalama wake ni mdogo sana sababu balance yake inategemea uwezo wa panga zake ikishindikana basi.

Idadi ya mafundi wengi ukosea kutengeza na kupelekea kupata matatizo na kusababisha vifo mifano mingi tunayo ukilinganisha na ndege japo inaweza kutokea ila inaweza kuchukua hatua na kusalimika.

Lilotokea Iran ni sawa sawa na kenya na yote makosa ya kiufundi ambayo helikopta ikishindikana sana kwenye matengenezo au mafundi wakishindwa kujua tatizo ndio haya ya kudondoka tu.

Mkibisha mtakuja kuniambia ripoti yake
 
Elevate your dating game with the top site for hassle-free connections.
Free relationships, no obligations
Authentic Damsels
Outstanding casual Dating
 
Mimi nashangaa sana tena hapa kwetu kila kukicha wanaojitokeza kwa kusema wanavipaji vya kutengeneza helikopta.

Helikopta sio maputo wala utani kama wanvofikiria watu wengi na usalama wake ni mdogo sana sababu balance yake inategemea uwezo wa panga zake ikishindikana basi.

Idadi ya mafundi wengi ukosea kutengeza na kupelekea kupata matatizo na kusababisha vifo mifano mingi tunayo ukilinganisha na ndege japo inaweza kutokea ila inaweza kuchukua hatua na kusalimika.

Lilotokea Iran ni sawa sawa na kenya na yote makosa ya kiufundi ambayo helikopta ikishindikana sana kwenye matengenezo au mafundi wakishindwa kujua tatizo ndio haya ya kudondoka tu.

Mkibisha mtakuja kuniambia ripoti yake
We ndo umemaliza kutujuza,we ni tapeli kama matapeli wengine
 
Mimi nashangaa sana tena hapa kwetu kila kukicha wanaojitokeza kwa kusema wanavipaji vya kutengeneza helikopta.

Helikopta sio maputo wala utani kama wanvofikiria watu wengi na usalama wake ni mdogo sana sababu balance yake inategemea uwezo wa panga zake ikishindikana basi.

Idadi ya mafundi wengi ukosea kutengeza na kupelekea kupata matatizo na kusababisha vifo mifano mingi tunayo ukilinganisha na ndege japo inaweza kutokea ila inaweza kuchukua hatua na kusalimika.

Lilotokea Iran ni sawa sawa na kenya na yote makosa ya kiufundi ambayo helikopta ikishindikana sana kwenye matengenezo au mafundi wakishindwa kujua tatizo ndio haya ya kudondoka tu.

Mkibisha mtakuja kuniambia ripoti yake
Huna akili. Baki kuwa msomaji tu
 
Back
Top Bottom