Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana akili ya panya mweusi!Uyu Lizabon katoka kwenye ukoo wa shetani.
Umejuaje mi bwana mdogo?soma komenti za juu bwana mdogo siyo unakurupuka kutoa maneno tu
Antichrist.Dajjal
Hivi kwa mfano mtu anitwa DickSon ukiitafsiri kwa kiswahili ni MwanaMboo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mleta Uzi anatubagua... Atakuwa anapenda najina ya kizungu... So me Nikiitwa The scremer bug ndio angeona nzuri
Kuna wazungu wana majina mabaya ukiyatafsiri kwa kiswahili
Kiranga lkn na wewe hii ID yako huwa inanichekesha sana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hivi huwa una maana ya Kiranga-komo?Umejuaje mi bwana mdogo?
Umejuaje nimekurupuka?
Unaelewa hata nilichokuambia ni nini?
ha ha ha mkuuu...Jana niliona mende msafi nikabaki natabasamu tu dah! hivi kuna mende msafi kweli!? kwi kwi kwi kwi lol!
ha ha ha mkuuu...
Huo ni mtaa upo songea pia ni mji mkuu wa portugalLizabon