Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mtu huwa mchokozi du!!Ha ha ha! MOTOCHINI umenikumbusha mke wangu alipokuwa mjamzito alikuwa anasema akisikia jina langu linatajwa anasikia kichefuchefu lakini akiwa nyumbani anaona raha eti kuvaa mashati yangu tena yale ambayo hayajafuliwa.
HIYO NDO KWANZA LEO NASIKIAkuna hii id ni kali kuliko zote jf uporo wa wali ndondo
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]duuh lakwako ndio zaidi aiseeee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hakosi kuwa mwana ccm huyoNantombe mushi
hahahaa yuko humu tangu 2013.HIYO NDO KWANZA LEO NASIKIA
Yupo jirani yao funza dume kisha wana ndugu yao yeye kavuka border anaitwa kunguni wa ulaya.Umekuja mende msafi lol! yuko ndugu yako humu lakini yeye ni mende wa chooni eeeewwwwwwww! Kuna IDs humu huwa nacheka sana lol!
[emoji1] [emoji1]kuna jamaa anajiita JAMBAZI mwingne IBILISI
Yupo jirani yao funza dume kisha wana ndugu yao yeye kavuka border anaitwa kunguni wa ulaya.
Kuna ubunifu humu wengine wanapitiliza mpaka inakera sio haya tuliyo yataja yapo mengine mpaka unajiuliza kulikoni?Lol! Huyu kunguni wa ulaya sijawahi kumtia machoni aisee! Watu wako very creative kwenye IDs zao lol!
Mkuu hata mimi umenisahau daaa kwel jina lang limekosekana..? Haya bana .Katika miaka 3 niliyojiunga humu JamiiForums nimekutana ID mbalimbali zenye majina mabaya na nyingine hata kuzisoma na kutamka ni kazi.Kama zifuatazo : NYANI MZEE ,jichawi , Bujibuji ,@mzabmzab , @chinchlla coat , nyakandula ,Erythrocyte ,Wervemarcel ,@jacspyro,GENTAMYCINE ,makalio ya kienyeji ,Mzizi wa Mbuyu,MziziMkavu ,Nyani Ngabu,@zeduduz ,@mpigamsuli,@mavimavi ,@ndyoko,kyamafi, @ulukulokwitanga,@kifilio ,Naibili , kabanga , @Kashara , Jaslaws , kitambiflat , omujubi , Tanya , gambakuffu , kwetumasoko , nanya , nitonye , nyakandula , kwenzi , MSAGA SUMU , kadololo , jangala , shonkoso , Ipycalypse nk wadau mnaweza na nyie mkaongeza kwa kuweka ID mlizokutana nazo humu