Watu wenye pesa/mafanikio wako very humble

Mfano mdogo angalia hata barabarani wenye fujo ni wale wa ist, dualis, soacio,raum,ractis,funcargo,rumion,etc alafu linganisha nidham na wale wenye vxr,gwagon, Cadillac,patrol,raptor,tx ,etc
Inategemea unakuta hao uliowataja sijui wa ist,dualis,spacio,raum,ractis etc maybe hawana nidhamu barabarani Kwa sababu ya gharama ya maintainance costs ya gari zao ni ndogo mfano gharama ya kurepair taa ya ist ni ndogo kuliko gharama ya land cruiser vxr ,Kwa hiyo muda mwingine kinachowafanya wawe na nidhamu hao uliowataja sijui wa vxr,Benz g wagon,Cadillac etc ni ukubwa wa maintainance costs ya vyombo vyao wanajua wakifanya mistake kidogo itawagalimu parefu sana.
 
Acha kuchekesha jamvi wewe suruali ya laki mbili utaona bei sana ila kwa tajiri anaona hela ya vocha hiyo, kwahiyo sio Kwamba wanaendesha eti kuogooa gharama ya spare wakati matajiri hapana wao wanatuliza akili na kuwaza mambo ya msingi sio vurugu za kipumbavu barabarani
 
Acha kuishi Kwa kukariri wewe,aliyekwambia nani kwamba wote wanaoendesha,nanukuu mifano yako sijui vxr,tx,patrol,raptor kwamba hao wote ni matajiri,humo barabarani wapo madereva wanaosukuma hizo gari wa serikalini,wa kampuni binafsi ,vile vile wa ubalozini pia wapo hata wadangaji ambao wamehongwa hizo aina za magari,vile vile wapo waazimaji Kwa hiyo ukiona barabarani sijui land cruiser vxr,prado tx,Ford raptor,Nissan patrol basi usizani kwamba wote kwenye hayo magari ni matajiri

Halafu kama ulikuwa hujui , maintainance costs si spea peke yake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa atakua ni bodaboda .....ndo story zao hizo....wakiwa wamelala juu ya pikipiki #kijiweni
😀😀😀whatever he/she is but mafundisho ya story ndo ya muhimu
 
Ndio shida ya kulelewa na mashemeji akili zinadumaa! Kitu wewe rofa unachokiona kina bei kwa tajiri hata hawazi. Alafu usikalili kwamba hizi gari ziingine zote zinaendeshwa na wamiliki muda wote
 
Wenye pesa waliotoka familia tajiri ndio wako humble, sio hao ukoo mzima masikini ndio yeye kabahatisha kautajiri full kutukana waalimu, waliokuwa wanaongoza darasi enzi zake😂😂😂, wakulima,
 
Wenye pesa wengi sio humble bro wengi wanathamini pesa kuliko utu na ndio maana wanazipata huyo rafiki yako ni wa kipekee tu lakini wengi ni chafu.
 
Ndio shida ya kulelewa na mashemeji akili zinadumaa! Kitu wewe rofa unachokiona kina bei kwa tajiri hata hawazi. Alafu usikalili kwamba hizi gari ziingine zote zinaendeshwa na wamiliki muda wote
Naona umezidiwa umekimbilia kwenye kejeli na matusi si mbaya hata huku tutaongea lugha moja ,sasa mbona unawesemea sana hao matajiri vipi wanakupelekeaga moto nini,jinsi unavowatetea ni kama mwanamke anavojitetea asiachwe na bwana wake
 
Tajiri la kihaya utaomba poo.... ushauri mzuri wakuzingatia
 
Wenye pesa wengi sio humble bro wengi wanathamini pesa kuliko utu na ndio maana wanazipata huyo rafiki yako ni wa kipekee tu lakini wengi ni chafu.
Mtazamo wako ..ndio maana na yeye kasema baadhi hajafungamana na upande wowote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…