Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndiyo ukweli wenyewe mkuu.Duh akazaliwa ndani ya kifusi alaf wazazi wake wote wakafariki ila yeye akabaki. Hii inawezekana vip?!
Tena alikutwa embyocal cord ikiwa Bado haijakatwa. Huku mama yake akiwa amefariki.Duh akazaliwa ndani ya kifusi alaf wazazi wake wote wakafariki ila yeye akabaki. Hii inawezekana vip?!
Haitasaidia![emoji24][emoji24]Duh hope ataongezewa ulinzi wasijefanikiwa
Nikichambua hoja zenu naona wee ndio mpumbavu ..kila kitu kikitokea kwa waarabu bhc mnakiweka kwenye maswala ya dini .wtf ...We jamaa mpumbavu Nini unashobokea wanaume wenziyo fala Nini. Kwa hiyo hicho kichanga wakikiteka watakipatia huduma zote na kukafanya kuwa salama?
sisi tuwe wazee hadi kushindwa kuingia humu wakati Trump ni miaka yake 80 kasoro kila siku ana tweet.Amesalia duniani kwa sababu maalumu. Na nimpaka italapo timia ndipo naye ataondoka. Ishu ina kujua ni sababu gani hiyo maalumu iliyombakiza duniani. Kwa bahati mbaya wengi humu baada ya miaka 30 mtoto huyo atakapo kuwa mtu mzima mtakuwa wazee sana ambao hata kuingia mitandaoni itakuwa taabu.
Jamaa ni mpumbavu unahisi Kila mtu ni slow thinker Kama weweNikichambua hoja zenu naona wee ndio mpumbavu ..kila kitu kikitokea kwa waarabu bhc mnakiweka kwenye maswala ya dini .wtf ...