Watu wenye uwezo mdogo wa kiakili ndiyo huchepuka

Watu wenye uwezo mdogo wa kiakili ndiyo huchepuka

Hamana lolote nakuhakikishia. Hawa wa dada wapo ivi wapo smart na pia mara nyingi financially wapo stable. Pia mostly unakuta wapo kwenye mahusiano na mtu ambaye sio smart kama yeye. Sasa huyu akija kukutana na mtu smart ameenda. Sometimes mtu unashangaa yupo na mtu wake lkn bado anasumbua unaskia ulti naomba unisaidie hichi mara hichi, mara naomba uniazime ile novel yako uliokua unaisoma. Anakuuluza upo wapi (labda upo home) nipo nyumbani nafanya analysis au reconciliation anakuambia anakuja

Raha ya hawa watu bhana hawa ombi ombi ela
 
 
Mwanaume yoyote mwenye akili nyingi hawezi kukaa au kuishi na Mwanamke,ukiona unaishi na Mwanamke bila mikwaruzano yoyote basi jua fika wewe Mwanaume akili zako ni ndogo ndio maana umeweza kuishi nae.
 
Haina ubishi, sababu ni kama zifuatavyo;
1. Wanakua na uwezo mdogo wa kudhibiti hisia zao.

2. Hawana jambo linaloichangamsha akili like having intellectual project to be solved and fulfilled.

3. Uwezo wa ku reason ni mdogo hivyo ana act on feelings and not logic.

4. Wanauwezo mdogo wa kutatua matatizo, mfano, mwenza wake alimsumbua kidogo, kuliko kutatua tatizo yeye analikimbia kwa kuchepuka.

5. Anahitaji external stimuli ili ajione anafaa au kutatua tatizo.
Acha theory zako zisizo na mshiko. Bill Clinton? Schwarzenegger? Raisi Kennedy? Bill Gates?
Na Watanzania vipanga ma-professor nawaheshimu tu kutowataja humu
 
Sasa si inamana asilimia 80-90 basi wana uwezo mdogo wa akili?
 
Acha theory zako zisizo na mshiko. Bill Clinton? Schwarzenegger? Raisi Kennedy? Bill Gates?
Na Watanzania vipanga ma-professor nawaheshimu tu kutowataja humu
Watu mna ma role model hadi kwenye kuchepuka?🙌
 
S
Haina ubishi, sababu ni kama zifuatavyo;
1. Wanakua na uwezo mdogo wa kudhibiti hisia zao.

2. Hawana jambo linaloichangamsha akili like having intellectual project to be solved and fulfilled.

3. Uwezo wa ku reason ni mdogo hivyo ana act on feelings and not logic.

4. Wanauwezo mdogo wa kutatua matatizo, mfano, mwenza wake alimsumbua kidogo, kuliko kutatua tatizo yeye analikimbia kwa kuchepuka.

5. Anahitaji external stimuli ili ajione anafaa au kutatua tatizo.

Contrary to people with high IQ, wengi huishi akilini mwao, mental energy yao hutumika kwa problem solving and challenges, sex is there but not everything, wanahimili hisia zao na htutumia mantik kuliko hisia.

Mimi nipo kundi la wenye akili nyingi sana, my mind is my entertainment, mwandani wangu is my soul mate.
Nabii Sulemani na maakili yote aliyopewa na sir god IQ na hekima kama zote alikuwa na wake 700 na michepuko 300
 
Back
Top Bottom