Acha theory zako zisizo na mshiko. Bill Clinton? Schwarzenegger? Raisi Kennedy? Bill Gates?Haina ubishi, sababu ni kama zifuatavyo;
1. Wanakua na uwezo mdogo wa kudhibiti hisia zao.
2. Hawana jambo linaloichangamsha akili like having intellectual project to be solved and fulfilled.
3. Uwezo wa ku reason ni mdogo hivyo ana act on feelings and not logic.
4. Wanauwezo mdogo wa kutatua matatizo, mfano, mwenza wake alimsumbua kidogo, kuliko kutatua tatizo yeye analikimbia kwa kuchepuka.
5. Anahitaji external stimuli ili ajione anafaa au kutatua tatizo.
Wanafaidi nini mkuu.Ukikua utachepuka,waache wakubwa wafaidi,
Huyu labda nguvu za kiume zimepungua ameanza kuwa joka la kabisa, halafu anasingizia ana IQ kubwa.Usikute bwana sanalii anajiona kamzidi IQ ndugu Albert Eistein
Watu mna ma role model hadi kwenye kuchepuka?🙌Acha theory zako zisizo na mshiko. Bill Clinton? Schwarzenegger? Raisi Kennedy? Bill Gates?
Na Watanzania vipanga ma-professor nawaheshimu tu kutowataja humu
Nabii Sulemani na maakili yote aliyopewa na sir god IQ na hekima kama zote alikuwa na wake 700 na michepuko 300Haina ubishi, sababu ni kama zifuatavyo;
1. Wanakua na uwezo mdogo wa kudhibiti hisia zao.
2. Hawana jambo linaloichangamsha akili like having intellectual project to be solved and fulfilled.
3. Uwezo wa ku reason ni mdogo hivyo ana act on feelings and not logic.
4. Wanauwezo mdogo wa kutatua matatizo, mfano, mwenza wake alimsumbua kidogo, kuliko kutatua tatizo yeye analikimbia kwa kuchepuka.
5. Anahitaji external stimuli ili ajione anafaa au kutatua tatizo.
Contrary to people with high IQ, wengi huishi akilini mwao, mental energy yao hutumika kwa problem solving and challenges, sex is there but not everything, wanahimili hisia zao na htutumia mantik kuliko hisia.
Mimi nipo kundi la wenye akili nyingi sana, my mind is my entertainment, mwandani wangu is my soul mate.