Watu wenye vimradi vya kufuga kuku na kelele za kujiajiri

NASEMA HIVI MTU ALIYE JIAJILI NA AKAENDESHA MAISHA KAMA KAWAIDA BILA KUJALI UKUBWA WA KUJIAJILI KWAKE, HUYO NI BORA KULIKO MWAJILIWA NA MTU AU TAASISI YOYOTE... MIFANO TUNAYO, ILA JEURI YA WAAJILIWA NI ILE TOKEN YA KILA MWEZI, ALIYEJIAJILI HANA TOKEN YA MAWAZO HATA KAMA NI NDOGO, HANA MWISHO WA MWEZI, WALA MWANZO,...ILA KILA MMOJA ANA SUFFER KWA NAMNA YAKE, ILA KUSUFFER KWA AJILI YA MIRADI YAKO NI BORA KULIKO KUWA CHINI YA MWAJILI...
 
Kuna watu wana ajira zinawalipa vzr sana, huu ni mtazamo wako tu mkuu. Huo uhuru mnaousema ata kwenye kujiajiri haupo , jaribu kuwa huru ulale njaa. Ata ivyo mkuu ww unafuga nn? Au unalima nn??
Hebu niambie ni mtanzania yupi alieajiriwa anamzidi kipato cha mwezi bakhresa.


Niambie ni waajiriwa gani hapa bongo wanamzidi kipato millard ayo.


Sijaja kwa joti na biashara yake ya Juice ya miwa pale kinondoni, buguruni, posta na kariakoo.


Sijaenda kwa masanja kwenye kilimo chake kule kyela. Masanja amefikia hatua ananunua mpaka mashine za kilimo za milioni 70+. Ambapo hiyo hela ni kiinua mgongo kwa mstaafu wa serikali.



Sasa hapo sijaja kwa waliojiajili ambao hawana majina. Kuna rafiki yangu baba yake anaishi buza hapa dar ni mfanyabiashara wa nafaka tu. Kimuonekano yupo simple. Basi siku moja nikamsindikiza rafiki yangu bank alikuwa anafuatilia bank statement book ya baba yake ili waagize semi 10. Ndio kwa mara ya kwanza niliona bank statement ambayo imefunga mahesabu ya bilioni moja +. Na mtu yuko simpoooooooooooo akikutana na nyie waajiriwa mnabinulia midomo juu.



Tembeeni muone. Ukiondoa kazi za international NGos hapa Tanzania, kazi zingine zoooooooote ni njaa tupu na kuishi kwenye poverty cycle. HUo NDIO ukweli mchungu na kama ukitafakari vizuri utaelewa.
 
Sawa mkuu, izo sio zko ni za baba wa rafk yko.ww kama ww na ujasiriamali wko una nn mkuu?
 
Usi-panic
Cha kwanza, mi sio kijana mdogo. Pia 'sichukii' kazi ya kuajiriwa. Nakuambia NAFAHAMU kuwa kujiajiri ni BORA zaidi. Na by the way, sio kila mtu anaweza kujiajiri, hivyo watu kama nyinyi ndo mnakuwa watumishi wetu. Tunafaana.
Na hata ukiwa serikalini, unakuwa mnatuhudumia sisi ili mazingira yetu yawe bora zaidi.
Wewe kama una mtazamo huo, ni vizuri pia, maana wewe ni human resource kwa ajili ya enterpreneurs.
Kwa nini nasema ni bora zaidi?
Ni kwa sababu kama unataka ku-SURVIVE tu, ajiriwa. Na kama unataka u-STAND OUT na uwe u-MOVE MOUNTAINS, ajira ni kujidanganya.
Nachopendea maisha ni kwamba hayakulazimishi. The choice is yours. And I think you've already made your bed.
 
LEO NIMESHUHUDIA MAAJABU MA 5 YA DUNIA NA MA 2 YA BONUS=7

AJABU No 1 LA DUNIA
kwa mara ya kwanza ktk uso wa dunia naona mtu anaponda watu waliojiajiri na wenye nia ya kujiajiri, bas hata angesema usiache ajira kwa ajili ya kujiajiri, yan yeye point yake kubwa watu wasijiajiri, nimeshangaa sana sana hata ku mquote nimeona ni kupoteza mda,
KICHWA KILICHOJAA KAMASI ZA KONDOO

AJABU No 2 LA DUNIA
Watoa ajira(mshahara) wenyewe wanashauli watu wajiajiri, wewe mwajiriwa(mpokea mshahara)ndo unataka waajiriwe? Hii inamaana ushaur wako mzuri n kwamb waliokosa ajira wakae tu wasubr ajira.
KICHWA KILICHOJAA MACHICHA YA MBEGE YA USHIROMBO

AJABU No 3 LA DUNIA
wote wanaoshauri watu kujiajiri na kupinga ajira ni Upinzani kwa maana yake n kwamb wanaoajiriwa n ccm tu.
KICHWA KILICHOJAA MBEGU ZA MAPAPAI.

AJABU No 4 LA DUNIA
kusema ukweli ni kumwambia mtu ajira ni bora zaid ya kujiajiri.
PAPUCHU ILIYOJAA MBA NA MAPERE MITHILI YA UKOKO WA PILAU YA HITMA.

AJABU No 5 LA DUNIA
Mwajiriwa ni Mbunifu zaid ya Mjasiliamali
BICHWA KAMA FURUSHI LA MAPARACHICHI YA USHIROMBO.

BONUS:
6: hakuna mfumo wa kujiajiri upo wa kuajiriwa,
7: Ukijiajir hutapata kitu kwa sbb biashara zote zimeshaanzishwa kwaio n common, Hope anamaanisha ajira zote zinazotolewa n mpya na wataalam n wapya.

namhurumia baba aliyetoa sperm zilizoleta aina hii ya kiumbe angejua bora angezifyatulia kwa kondoo kuliko kumbebesha mke wake mpendwa hk kituko kwa miez 9
 
We umemove milima mingap mkuu, kwa vi mradi vya kufuga visivyo na tija eti unamove mountains? We unacho move ni vinyesi vya mifugo kwenye mabanda kila asubuhiπŸ˜€πŸ˜€
 
Sindano imekuingia mkuuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
We umemove milima mingap mkuu, kwa vi mradi vya kufuga visivyo na tija eti unamove mountains? We unacho move ni vinyesi vya mifugo kwenye mabanda kila asubuhiπŸ˜€πŸ˜€
Hahahhaahhahhaha... Haya bhana... Man, your poor mind, smh. Ukiamka, karibu tuendelee na ubishani.
 
Mtoa Mada Bhan,sijui Amekula Maharage Ya Wapi Huyu Mtu!
 
Kwanza uwe na uwelewa sijapinga maada nimepinga hoja, then how umeni quote nakat hukutajwa popote? Unless una papuchu au double ID umesahau ku switch off na kushndwa kujicontroo. Kama hayo n kweli basi haya sindano imeniingia
Sindano imekuingia mkuuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Najua umekejeri ili ucheke tu lkn hivi vimtaji vidogo siku zote ndio hukua na kuwa mkubwa wenye uhakika.

wanaoanza na mitaji mikubwa wengi wao wanaanguka.
wanapata tabu ili baadae wapate raha. na nikwambie tu kimawazo bhakresa anapata tabu sana kuliko yule mtu mwenye kibaiskeli chake cha lambalamba pale mtaani. mfanyakazi akili lazima idumae huwezi pata tabu hata siku moja tabu unaianza ukistaafu, kuachishwa kazi au kuondoshwa kazini. Tabu wanaipata wanao na wategemezi wako.
Fikilia tena.
 
Sema ATM inakudanganya sana..na kukupa nguvu ya kuongea Shombo...ila fanya kuheshimu waliojiajiri ,walio na ubunifu ambao wewe huna na ubunifu ulionao wao hawana..ndio tulivyoumbwa mkuu
 
Uzuri nikishawahi Fanya kazi kwenye ofisi flani wanakopesha wafanyakazi!
Kwahiyo mawazo kama yako nikiona nacheka sana.....

Maisha mnayoishi waajiriwa Ni vile kuoga na kufua nguo vizuri ndo kunawasitiri!
[emoji134][emoji16]
 
We umemove milima mingap mkuu, kwa vi mradi vya kufuga visivyo na tija eti unamove mountains? We unacho move ni vinyesi vya mifugo kwenye mabanda kila asubuhiπŸ˜€πŸ˜€
Unatukosea adabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…