Watu weusi hawapaswi kuwa viongozi kwa sasa hadi pale watakapopata akili

Nasikitika kusema kwamba umechelewa Sana kulifahamu hilo mkuu.siku waafrika tukishinda ubinafsi wetu ndio tutafanya mageuzi makubwa katika Kila sekta za kuleta maendeleo katika bara letu.

P.W.Botha kasha wahi sema "mwafrika hawezi kujitawala"
And we can't prove wrong this statement from P.William Botha
 
Botswana wameweza,sijui wengine tumefeli wapi
 
Hizo zote ulizotaja kasoro Ghana zina mixer ya watu weusi na weupe,mfano Mauritius kule full wahindi nadhani ndiyo wapo vyema
 
Jamiiforums kupata Tuzo
kwa
Thread maarufu Jamiiforums
 
weusi wa South Africa wamenishamgaza sana. South Africa inaweza kuwa ndiyo uthibitisho mkubwa. Nasikia hata Liberia walikuwa wamatekani weusi waliorudi kutawala nchi na zikaanza vita, yaani hopeless
Afrika kusini toka makaburu waachie madaraka nchi imekwisha collapse, sisi bado sana katika uongozi.
 
Sawa
 
Huyo Mungu wa namna hiyo ni mpumbavu, tuliza kichwa soma andiko nawe ni sample ile ile kuwa watu weusi hatuna akili maana ulicho andika kina thibitisha hilo.
 
Umemshambulia mtoa mada bure kbs bila kutoa hoja juu ya hoja yake! Ni vzr ungemueleza ni Nchi gan Africa imepiga hatua kubwa kimaendeleo angalau kufikia hatua za Asia na magharib, issue ya ushoga haikua na mantiki kuiweka kweny hoja maan hiyo ni tabia ya watu haihusian na maendeleo ya nchi au utawala bora!!
 
Si mmekataa serikali ya majimbo lakini! Huu mfumo ungeleta maendeleo sana hasa mikoa yenye rasilimali kubwa kusaidia mikoa ya jirani yake ambayo iko less fortune.
Hayo majimbo hata yakiwepo hataleta faida yoyote. Nigeria na Kenya wanejaribu huo mtindo lakini hakuna kitu.

magovernor tu ndio wana jilimbikizia mali wao na familia zao, pumbavu kabisa rushwa na umasikini umekithiri majimboni huko mpaka kinyaa.
 
Haya yote yana thibitisha kuwa sisi hatuna akili tofauti na wengine, mbona Singapore na Malaysia hawapo hivi na kupata uhuru tulifuatana ?

Siku tukipata akili baada ya miaka 100 ya kuchanganya damu tuna wafikia tu.
 
Watu weusi tuna akili nadhani walioingia kwenye siasa na wanaotuongoza siyo wabunifu na uwezo wao haukidhi matakwa ya ofisi walizokalia
Kwani hao walio ingia kwenye siasa wanatoka katika jamii ya rangi gani ? Si hi hi nyeusi .
 
Nawashangaa wengi mnaotetea ujinga wa mleta mada, kama mnakubaliana hamna akili ni nyie, sio wote.
Wewe umejitofautisha vipi na sisi tulio kosa akili katika hii serikali na hili taifa ?
 
Nasikitika kusema kwamba umechelewa Sana kulifahamu hilo mkuu.siku waafrika tukishinda ubinafsi wetu ndio tutafanya mageuzi makubwa katika Kila sekta za kuleta maendeleo katika bara letu.

P.W.Botha kasha wahi sema "mwafrika hawezi kujitawala"
Alikuwa sahihi mpaka sasa tumeshindwa wala hakuna mjadala juu ya hili suala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…